Uko wapi Udikteta wa Rais Magufuli?

Uko wapi Udikteta wa Rais Magufuli?

Mleta maada elewa hoja kuu ya ukawa ni kuzuiwa kwa mikutano ya kisiasa mpaka 2020, kwa hii awamu mpya. Wakati katiba haijabadilika na uongozi uliopita wapinzani walikuwa huru mikutano ya kisiasa.
 
Hivi kwenye uchaguzi mkuu uliopita ulipata kura ngapi kwenye kura za maoni? Ilikuwaje ukawa mgombea kupitia CHADEMA ilhali wewe ulikuwa wa mwisho kwenye kura za maoni?Au uamuzi unaoku-favour wewe automatically unakuwa democratic? Nauliza tu.
 
Wake up Tanzania. Acheni unafiki hata kwa kile kinachoonekana. Ni utawala gani ambao kila mtawala anafukuza watu kama watoto wa shule. Kwani huwezi kuwa na maendeleo bila kufuata katiba?
 
Mfano huu utasaidia sana kueleza hali iliyopo kati wanavyoona UKAWA na hali halisi:

One day a school teacher wrote on the board the following:
9×1=7
9×2=18
9×3=27
9×4=36
9×5=45
9×6=54
9×7=63
9×8=72
9×9=81
9×10=90
When she was done, she looked to the students and they were all laughing at her, because of the first equation which was wrong, and then the teacher said the following,
"I wrote that first one wrong on purpose, because I wanted you to learn something important. This was for you to know how the world out there will treat you. You can see that I wrote RIGHT 9 times, but none of you congratulated me for it; you all laughed and criticized me because of one wrong thing I did. So this is the lesson...:
'The world will never appreciate the good you do a million times, but will criticize the one wrong thing you do... But don't get discouraged, ALWAYS RISE ABOVE ALL THE LAUGHTER AND CRITICISM. STAY STRONG.' "

Hata kwa wana Ukawa, JPM kafanya mambo mengi mema. Lakini wanang'ang'ana na vitu vidogo dogo tu.
UKAWA Toeni Boliti Kwenye Macho yenu hakika mtaona vizuri na mtamuunga mkono JPM.
 
Jamaa njaa imemshika sawa sawa sasa kaamua kuja hapa kuandika upumbavu wake ili naye aonekane na labda arushiwe ukuu wa Wilaya/Mkoa.

Kuzuia bunge kuwa huru ni 'vitu vidogovidogo'?

Kufungia vyombo vya habari na kuviamuru habari ipi iandikwe na ipi isiandikwe
ni 'vitu vidogovidogo'?

kweli 'politics of the stomach'ni very very dangerous
 
Mpendazoe
Kwa unavyofikiri JPM atakufikria kwa Mazuri yako ama msimamo wake utakuwa kama ule aliosema Ng'ombe asiye na Mkia wakirudi Zizini husiwakataze ila Ng'ombe wengine watawashangaa?
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA ?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA ?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.
Fred Mpendazoe

Kwanza kabisa naomba nionyeshe masikitiko yangu kwa kauli zako.
Ni mmoja wa watu waliodhani kama tuna Watanzania wanaoiangalia Tanzania kwa jicho la nchi na Taifa wewe ni mmoja wapo.Hakika wasi wasi wangu umenitoka

Mpendazoe, lazima uelewe nchi inaendeshwa na sheia si baraza la mawaziri au chama.

Hivyo ni vyombo viavyomsaidia Rais kufikia maamuzi lakini si vyombo vilivyo juu ya sharia

Kinachopiganiwa na wengi si demokrasia ya vyama, ni demokrasia ya wananchi. Unless unajizuia kuelewa upana wa demokrasia, napenda nikufahamishe demokrasia si suala la chama, kupiga kura, au kuhama chama au kuteuliwa. Demokrasia ina upana sana mbali ya siasa

Marufuku ya mikutano hayakutolewa na CCM au baraza la mawaziri.

Nikukumbushe kidogo

1. Waziri Mkuu akiwa jimboni alisema wenye haki ya kufanya mikutano ni walioshinda si walioshindwa. Hapa ni kabla ya baraza la mawaziri halijatangazwa.

Na wala CCM haijabadili uongozi. Unaposema ni ushauri wa baraza la mawaziri, au CCM unapotosha umma na kutueleza ufahamu wako wa mambo ya nchi

2. Marufuku ya mazishi ya mawazo kule Mwanza yalitolewa na Polisi.
Hakukuwa na kikao cha baraza la mawaziri au CCM.

Mazishi kama hayo yaliurhusiwa kwa Beatrice Shelukindo bila kikao cha baraza la mawaziri wala CCM. Kama unadhani baraza la mawaziri lina kazi ya kuratibu mazishi, unatupa habari nyingine...

3. Marufuku ya kipindu pindu yametolewa na Polisi. Si wizara ya afya, idara ya afya au mtu mwingine. Hakukuwa na kikao cha baraza au CCM. Unatueleza kitu gani?

4. Marufuku ya mikutano mingine iliyofuata yaliyotokana na Polisi na siwezi kuorodhesha

5. Rais alipiga marufuku kwasababu ya kuwapa watu nafasi ya kufanya kazi.
Ingawa mikutano yake imejaza watu hakuna ushahidi watu hao walikuwa kazini

6. Rais akasema mikutano inachagizwa na nchi za magharibi ili zipate fursa ya 'kuchukua'rasilimali zetu. Alsema hayo kanda ya ziwa

7. Marufuku yalitokana na siasa ziachwe hadi 2020

Kwasababu hizo hapo juu, eleza jamvi hili, ni ipi hasa inayozuaia mikutano

Mpendazaoe, haki ya mikutano ipo kikatiba na ipo katika sheria za usajili wa vyama.

Nilitegemea utoe ushahidi wa sheria kuonyesha uhalali wa marufuku hayo

Kinyume chake unaeleza umma ni baraza la mawaziri na CCM.

Kama ni CCM na baraza la mawaziri, tueleze ni kwa sheria gani ya nchi haki ya mrufuku ya mikutano imetumika?

Mpendazaoe, usiingize hoja za ufisadi kupindisha hoja muhimu.

Hujaweza kutueleza sheria gani imetumika, unachokifanya ni kubabaisha umma

Harakati zako mitandaoni katika kujenga jina zinaweza kukusaidia kupata uteuzi, kwa bahati mbaya zinazidi kujenga chuki isiyo ya lazima kwa sehemu ya jamii

Zinazidi kuchochea hasira kwasababu unapofanya watu wajinga, huwatendei haki

Umerudi CCM ni haki yako , lakini usitumie haki hiyo katika kuleta farki ndani ya jamii

Nakuomba ueleze jamvi, sheria gani imetumika, na katika sababu 7 hapo juu ipi hasa muhimu. Tueleze CCM au baraza la mawaziri lina uwezo gani Zaidi ya sheria za nchi yetu

Please please, ifike mahali uiangalie Tanzania kama nchi na Taifa, usiangalie tumbo lako kwa gharama ya Tanzania.
 
Mleta maada elewa hoja kuu ya ukawa ni kuzuiwa kwa mikutano ya kisiasa mpaka 2020, kwa hii awamu mpya. Wakati katiba haijabadilika na uongozi uliopita wapinzani walikuwa huru mikutano ya kisiasa.

Imegeuka kuwa hivyo tena?

Kati ya UKUTA na maelekezo ya siasa kufanyikia majimboni kipi kilimtangulia mwenzake.....ukiwa mwongo usiwe msahalifu....one basi aibu kidogo.....ni fisadi siyo fisadi...tuna UKUTA or tunapinga kukatazwa kufanya siasa....mfa maji haachi kitapa
 
Waliwahadaa watanzania kuwa Lowassa ni fisadi toka 2007 pale Mwembeyanga leo hii wanatuambia eti walitumia report ya Mwakyembe ambayo ilitoka 2008,huu si upumbavu?

Leo hii wameanza tena kutuimbia ngonjera nyingine kwamba Magufuli dikteta kama walivyofanya kwa Lowassa.

Huwezi kuwapumbaza watu wote kwa muda wote.

Dikteta gani hatujasikia hata mkosoaji mmoja wa serikali yake kaokotwa bila kichwa?

Leo hii watu mnaharisha tu mnavyojisikia sababu mnajua mtapelekwa mahakamani,hebu nendeni hata Bunjumbura tu hapo mkaulize waandishi wangapi wameokotwa mizoga ndani ya mwezi huu.

Nashagaa Ndugai naye analeta habari ya maridhiano huko bungeni.

I've never seen people negotiating with hooligans!!
Watu wakipagawa na Ibilisi ni kawaida kutamani kukata vichwa vya wenzao. Kwani Shetani anajua thamani ya mtu? Nasema tena narudia nyie ni Interahamwe, mnamchochea Rais awauwe Watanzania, Hamtaweza. Mwenyezi Mungu Muumba Mbingu na dunia hatawaruhusu kutekeleza uhayawani wenu. Wazee wetu walihangaika kuijenga nchi kwa ustaarabu wa kisomi, ninyi mnaleta mabavu na matamko yasiyotumia hata chembe ya hoja zenye mashiko. Mtakwama tu.
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA ?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA ?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.
habari ndugu
maana ya haraka haraka ya dikteta ni mtu anayetumia nguvu zaidi katika maamuzi yake kwa manufaa yake au chama chake, Raisi amejitahidi sana sana kwa vitu vingi ambavyo watu wengi walikuwa wanavipigia kelele lakini kuna tatizo kubwa pia...katika maamuzi yake mengi ni kukurupuka tu, especially viongozi wake wengi nao wanakurupuka kwa matamko yasiyo na mbele wala nyuma
magufuli sio dikteta ila anatumia nguvu nyingi sana sana kuwaangamiza upinzani...katiba ya Tanzania inatambua uwepo wao basi haki itendeke kama kweli anakubalika na watu anaogopa nini kuwaacha wapinzani wafanye mikutano yao na kudhibiti vurugu zitakazotokea
 
Fred Mpendazoe

Kwanza kabisa naomba nionyeshe masikitiko yangu kwa kauli zako.
Ni mmoja wa watu waliodhani kama tuna Watanzania wanaoiangalia Tanzania kwa jicho la nchi na Taifa wewe ni mmoja wapo.Hakika wasi wasi wangu umenitoka

Mpendazoe, lazima uelewe nchi inaendeshwa na sheia si baraza la mawaziri au chama.

Hivyo ni vyombo viavyomsaidia Rais kufikia maamuzi lakini si vyombo vilivyo juu ya sharia

Kinachopiganiwa na wengi si demokrasia ya vyama, ni demokrasia ya wananchi. Unless unajizuia kuelewa upana wa demokrasia, napenda nikufahamishe demokrasia si suala la chama, kupiga kura, au kuhama chama au kuteuliwa. Demokrasia ina upana sana mbali ya siasa

Marufuku ya mikutano hayakutolewa na CCM au baraza la mawaziri.

Nikukumbushe kidogo

1. Waziri Mkuu akiwa jimboni alisema wenye haki ya kufanya mikutano ni walioshinda si walioshindwa. Hapa ni kabla ya baraza la mawaziri halijatangazwa.

Na wala CCM haijabadili uongozi. Unaposema ni ushauri wa baraza la mawaziri, au CCM unapotosha umma na kutueleza ufahamu wako wa mambo ya nchi

2. Marufuku ya mazishi ya mawazo kule Mwanza yalitolewa na Polisi.
Hakukuwa na kikao cha baraza la mawaziri au CCM.

Mazishi kama hayo yaliurhusiwa kwa Beatrice Shelukindo bila kikao cha baraza la mawaziri wala CCM. Kama unadhani baraza la mawaziri lina kazi ya kuratibu mazishi, unatupa habari nyingine...

3. Marufuku ya kipindu pindu yametolewa na Polisi. Si wizara ya afya, idara ya afya au mtu mwingine. Hakukuwa na kikao cha baraza au CCM. Unatueleza kitu gani?

4. Marufuku ya mikutano mingine iliyofuata yaliyotokana na Polisi na siwezi kuorodhesha

5. Rais alipiga marufuku kwasababu ya kuwapa watu nafasi ya kufanya kazi.
Ingawa mikutano yake imejaza watu hakuna ushahidi watu hao walikuwa kazini

6. Rais akasema mikutano inachagizwa na nchi za magharibi ili zipate fursa ya 'kuchukua'rasilimali zetu. Alsema hayo kanda ya ziwa

7. Marufuku yalitokana na siasa ziachwe hadi 2020

Kwasababu hizo hapo juu, eleza jamvi hili, ni ipi hasa inayozuaia mikutano

Mpendazaoe, haki ya mikutano ipo kikatiba na ipo katika sheria za usajili wa vyama.

Nilitegemea utoe ushahidi wa sheria kuonyesha uhalali wa marufuku hayo

Kinyume chake unaeleza umma ni baraza la mawaziri na CCM.

Kama ni CCM na baraza la mawaziri, tueleze ni kwa sheria gani ya nchi haki ya mrufuku ya mikutano imetumika?

Mpendazaoe, usiingize hoja za ufisadi kupindisha hoja muhimu.

Hujaweza kutueleza sheria gani imetumika, unachokifanya ni kubabaisha umma

Harakati zako mitandaoni katika kujenga jina zinaweza kukusaidia kupata uteuzi, kwa bahati mbaya zinazidi kujenga chuki isiyo ya lazima kwa sehemu ya jamii

Zinazidi kuchochea hasira kwasababu unapofanya watu wajinga, huwatendei haki

Umerudi CCM ni haki yako , lakini usitumie haki hiyo katika kuleta farki ndani ya jamii

Nakuomba ueleze jamvi, sheria gani imetumika, na katika sababu 7 hapo juu ipi hasa muhimu. Tueleze CCM au baraza la mawaziri lina uwezo gani Zaidi ya sheria za nchi yetu

Please please, ifike mahali uiangalie Tanzania kama nchi na Taifa, usiangalie tumbo lako kwa gharama ya Tanzania.
Asante Nguruvi3, Haya ni maneno yake mwenyewe aliyowahi kuandika dhidi ya uongozi wa CCM na Serikali yake; "Mawe yaliyoko mtoni hayawezi kuijua kiu ya mtende ulioko jangwani". Kweli leo hii Fred haijui kiu ya Watanzania juu ya demokrasia ya kweli!!!
 
Ile makala yako ya "Lowassa tusamehe" ungali unaiamini?

Hahahah ajizi ni nyumba ya njaa!!!

Utadhalilika sana mbele ya watoto wako.


Duh! Kwa umri alionao na aliyoyafanya mpaka sasa kama mwanasiasa asingejiunga humu na kuja na haya.
Unahitaji kuwa kilaza wa kulazimishwa na siyo wa nature/natural Birth kuweza kuitetea CCM na Serikali yake.

Hongera kwa ukomavu wa Kisiasa.
Yako mazuri mengi ya Raisi Magufuli.Eneo mmoja ambalo lina leta ukakasi nalo ni Demokrasia tu.Mengine yote Raisi Magufuli anangeendlea kutatekeleza kwa bidii na ufanisi hata UKAWA wangekosa hoja.
Kulinganisha Demokrasia ya vyama vya Siasa na Nchi ni mawazo potovu na ya kipropaganda .
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA ?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA ?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.

1024px-ASP-TANU_kanga.jpg


"USIAMUE PEKE YAKO SHAURIANA NA WENZAKO"
 
Muheshim miwa kila siku ukiwa unatupia hivi nyuzi tatutatu nakwambia huchelewi kuwa mkuu wa wilaya. Naona unakijua vema chama chako na una mbinu kali
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA ?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA ?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.
Chadema toka wampokee lowassa hawaeleweki wamevurugwaaa
 
Muheshim miwa kila siku ukiwa unatupia hivi nyuzi tatutatu nakwambia huchelewi kuwa mkuu wa wilaya. Naona unakijua vema chama chako na una mbinu kali


Umeonaeeeeeeeeeee!.
Ila angeelekeza nguvu kwa mzee Mapesa au kwa Zitto akawa mshirika wa Lumumba kwa siri kama Mrema anagejifaidia kidogo maisha. Lakini hili la kuwa mpiga debe kaaaaaa too much kwa hadhi yake.
 
Udicteta wa mtukufu Rais Magufuli in kule kukiuka katiba ya nchi Kwa mini amepiga marufuku vyama vya upinzani kufanya mikutano huku chama chake kikiendelea na mikutano ya kisiasa? Je katiba inasemaje?
 
Back
Top Bottom