pepsin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 3,486
- 6,172
Elimu haina mwisho,kajielimishe kuhusu Udikteta unaopingwa!
Jielimishe kuhusu uendeshaji bunge!
Jielimishe kuhusu haki ya vyama Vya siasa kufanya sasa muda wote kisheria!
Jielimishe kuhusu haki zingine za kuraia.
Magufuli anafanya baadhi ya mambo vizuri,hususani nidhamu kazini na ukusanyaji kodi
UKUTA haipo kwa hayo mambo.Raia tutaijuaje serikali yetu kama vyama Vya upinzani vinazibwa mdomo? Vyama hivi ndio vioo Vya raia juu ya serikali yao.
Jielimishe kuhusu uendeshaji bunge!
Jielimishe kuhusu haki ya vyama Vya siasa kufanya sasa muda wote kisheria!
Jielimishe kuhusu haki zingine za kuraia.
Magufuli anafanya baadhi ya mambo vizuri,hususani nidhamu kazini na ukusanyaji kodi
UKUTA haipo kwa hayo mambo.Raia tutaijuaje serikali yetu kama vyama Vya upinzani vinazibwa mdomo? Vyama hivi ndio vioo Vya raia juu ya serikali yao.