Uko wapi Udikteta wa Rais Magufuli?

Uko wapi Udikteta wa Rais Magufuli?

Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA ?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA ?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.
Yaani umesema sahihi jkabisa. CHADEMA hawaelewiki wanachokitaka. Tumepata mkombozi wa wananchi. Hatudanganyiki na mafisadi wachache!
 
Mr Mpendazoe, tatizo siyo hilo bali tatizo ni Magufuli kuendesha nchi kiimla, kukiuka misingi mingi ya katiba, kuamini kuwa nchi hii kuna CCM pekee na ni lazima kila Mtanzania awe mwana CCM.
halafu anasahau yeye kapata kura mil8 na mwenzake kapata kura mil6
 
Yaani umesema sahihi jkabisa. CHADEMA hawaelewiki wanachokitaka. Tumepata mkombozi wa wananchi. Hatudanganyiki na mafisadi wachache!
sema sidanganyiki sio hatu..... wew na nan?
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.
Unatumia nguvu nyingi sana kuweka point ndogooooo, kimo cha mbuzi

I think JPM is doing things to the best of his abilities, knowledge and understanding... with a little support hasa kwenye nini cha kutamka hadharani tutakua better sana

Hayo mengine unayoongea na yale yale mataptap ya siasa za zamani ambazo sidhani hata kama JPM anazipenda sana

Babu pole kwa yote, ila usitumie nguvu sana kutuletea yaleyale ya siasa zilizokufanya ukafeli kila mtihani
 
Ukabila tu unakusumbua wewe, haya jitahidi unaweza kuambulia udc katika hii teua tumbua ya mkulu.
 
dah, siamini kama uandishi huu ni wa mtu aliewahi kuwa mbunge kweli?
 
Mpendazoe nani amekuambia uchaguzi unaondoa haiba ya udikteta duniani?

Kuna nchi ngapi zinafanya uchaguzi chini ya madikteta.
Hoja hapa ni kuwa,uchaguzi ni hatua moja, kusimamia sheria za nchi ni hatua nyingine.

Ni sawa na mzazi anayejifungua mtoto. Uzazi haumaanishi mzazi huyo mwema lazima atatoa mtoto mwema. Umeelewa! Uchaguzi una lengo la kupata viongozii! hauelezi Zaidi Hivyo ana dhima ya kukubali kila ushauri?

Kwa Mpendazoe hata kama ingalitokea kipande cha nchi kikauzwa, midhali kuna ushauri basi mamlaka zifuate tu.

Rais anashauriwa, dhima ya kupima ushauri na matokeo ya ushauri huwa mikononi mwake. Rais alipoapa kwa katiba, hakushirikisha CCM au baraza
Hapa unapindisha hoja. Sijui kama kuna hoja ya kupinga hatua zinazochukuliwa. Hoja ni kupinga marufuku ya mikutano.

Mpendazoe, huu ulaghai unakusiadiaje katika kujenga taswira na haiba yako?

Labda onyesha sehemu moja tu wapinzani waliposema hatua zinazochukuliwa dhidi ya ufisadi na rushwa ni za kidikteta ili nasi tuunge tela Hali ilifika pabaya kutokana na usimamizi wa hapo CCM! Hakuna anayepinga hatua ilimradi tu ziwe ndani ya sharia Tusaidie kuelewa, marufuku ya mikutano ya kisiasa yapo katika sharia gani za nchi, yanatumika wapi na kwasababu zipi.
Hapo tutajua uchochezi wa vyama vya siasa

Kama huna kifungu cha sheria, kuna tatizo gani ukakaa kimya! kuliko kuendelea na 'uchochezi' huu unaoufanya! Kumbuka kuongea jambo bila ushahidi ndio uchochezi Mpendazoe, unawekaje demokrasia ya chama cha siasa katika mizani na demokrasia ya Taifa?

Kumbuka Rais alipoapishwa alitumia katiba ya JMT ya mwaka 1977.

Ni Rais wa kila mmoja, anachokifanya ni kwa ajili ya Taifa.
Unapochukua mambo ya vyama ukayaweka katika mizani na hadhi ya Rais, humtendei haki. Hadhi ya Rais ni kubwa kuliko chochote kile unachokifikiria.

Please hebu jaribu kuheshimu mamlaka za nchi kwa kutoziweka katika mizani na vyama vya siasa. Uzalendo ungeanzia kumshtaki kwanza.

Hapo CCM hawakuweza kumfikisha katika sheria, walikuwa naye hadi hatua ya mwisho ya mchujo wa Urais. Hawakuweza hata kumzuia.

Aliotuhumiwa nao wapo Bungeni tena wakiwa na nyadhifa.

CCM imekaa kimya , uzalendo upi unaongelea Mpendazoe?
Hivi magamba tuliyoambiwa yalivuliwa?

Wizi unaoendelea hadi kwenye taasisi nyeti ukifunikwa kwa 'wamalize kazi' ndio uzalendo? Mpendazoe, unaongelea uzalendo gani?
Nondo za Nguvu.
 
Ni hatari sana kumsikiliza mwanasiasa muflisi kama Fred Mpendazoe
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.

Hii nchi inavituko sana, huyu fred mpendazoe alikuwa mbunge aliyekuwa na nafasi ya karibu kabisa ya kuwa waziri wa wizara fulani na hii ndiyo akili aliyokuwa nayo kuongea mambo kama mjinga.

Mtu mjinga si kwamba hana akili ila akili yake haijachangamshwa kuweza kufikia kiwango cha kufikiri kwa ufasaha na kutoa/kufanya maamuzi sahihi.

“better to write for yourself and have no public, than to write for the public and have no self." c. Connolly

“a people that values its privileges above its principles soon loses both.” d. Eisenhower
“people can't live with change if there's not a changeless core inside them.” s. Covey


"Wenye werevu huwa ni watu wenye mipango na wenye busara huwa ni watu wenye misimamo"

Lakini nathubutu kusema wewe bwana mkubwa fred mpendazoe umekosa vyote, huna werevu wala busara.

Kukutoa shaka mimi si mwanasiasa na sina chama huwa napiga kura kutumia misimamo yangu.

Ila kwa kufatilia maandiko yako mengi nimeona kuwa wewe ni kati ya wale watu wasiojua nini wanataka wapo wapo tu na wanaongozwa na njaa au mahitaji ya tumbo lao.

"In matters of style, swim with the current; in matters of principle, stand like a rock." t. Jefferson

Watu wenye misimamo huwa hawajumbishwi na matukio au vitu. Huwa wanasimama kwenye misimamo ya hata kama wako peke yao sababu wanaamini kwenye wanachokisimamia lakini siyo wewe bwana mkubwa fred mpendazoe .

Kwa msaada wako nenda kajaribu kilimo nchi hii inamapori mengi tu huko yanahitaji wakulima huna sifa za kuwa kiongozi, huwezi kuwa kiongozi bora kama umejaa unafiki.
 
dicteta ni kufanya mambo kinyume na katiba,kama kuna jambo Makufuli amelifanya kinyume na katiba anastahili kuitwa Dicteta
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.
1471973604886.jpg

Nilitumiwa kama ilivyo naomba kufafanuliwa
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.
Kama haya ndiyo mawazo ya mtu anayeitwa Fred Mpendazoe, basi kumbe watu wana shida vichwani mwao. Ndiyo Wtz wengi hufeli kuanzia ngazi ya familia.....
 
Mtoa mada - Raisi mvunja katiba hatufai. Akalime shamba lake -- By Mwalimu Julius Nyerere (RIP).
 
Vyama vinavyounda UKAWA vimetangaza kufanya maandamano yenye lengo la kupinga udikteta, UKUTA. Maana yake ni Kwamba serikali ya Rais Magufuli in ya kidikteta.

Niwakumbushe UKAWA yafuatayo:

1. Serikali ya Rais Magufuli imechaguliwa na watanzania kikatiba katika Uchaguzi mkuu 2015.

2. Kulingana na katiba, Rais hushauliwa na Baraza la mawaziri. Na pia Rais hushauriwa na Chama chake. Hivyo, Rais Magufuli anafanya maamuzi Kwa kushauriwa na taasisi hizi. Hivyo madai Kwamba anaamua bila kushauriwa hayana mashiko.

3. Madai Kwamba anawagandamiza baadhi ya watanzania, ni jambo la kushangaza. Tukumbuke wakati WA sakata la EPA, Chadema walipiga kelele sana wakati JK alipowaomba wezi WA fedha za EPA wazirudishe. Wakasema anaongea na wezi. Rais Magufuli amechukua msimamo tofauti, amekuwa dhabiti. Sasa Chadema wanadai dikteta. Hapana.

4. Rais Magufuli amekuwa na msimamo Mkali dhidi ya Ufisadi, wakwepa kodi, ubadhirifu kwenye serikali na halmadhauri na mashirika ya umma. Anapigania utajiri WA Nchi Yetu uwanufaishe watanzania wote. Ukweli Rais Magufuli ni Jibu Kwa maombi ya watanzania wengi kutokana na hali ilivyokuwa imefika.

4. Upinzani wanachokifanya ni kutaka kuwapotodha watanzania ili waichukie serikali yao. Upotodhaji lengo ni uchochezi.

Ukowapi udikteta wa Rais Magufuli? Lakini uchochezi wa UKAWA in dhahiri. UKAWA wanadai demokrasia inaminywa. Tukumbuke, mgombea UKAWA alivyopatikana. Ilikuwa ndani ya chopa na watu wachache siyo kwenye vikao. Hapakuwa na mchakato ulio wazi. Iko wapi demokrasia kwenye UKAWA?

Pia tukumbuke, walimtuhumu Lowassa Kwa muda mrefu kuwa ni fisadi na wakawaeleza watanzania kuwa wanao ushahidi. Ghafla wakaamua awe mgombea urais. Uko wapi Uzalendo WA kweli ndani ya UKAWA?

Watanzania tumuunge Mkono Rais Magufuli.
mtu mzima hovyo si kwa kujikomba huko we watu na akili zao na mitazamo yao uwaambie wanadanganywa pye!!!!!MWENYE MACHO HAAMBIWI TAZAMA.HUO NI MTAZAMO WAKO SIO KILA MTU AUFATE.SO PITA HIVII........
 
1.Kuudhibiti ufisadi
2.Kuasisi mmahakamaya mmafisadi.
3.Kudhibiti MMatumizi.
4.Kusimamia nidhamu ya utumishi wa umma.
5.Kufufua ATC,TRL,Meli....Nk
6.Kuimarisha huduma za afya,elimu nk.
7.Kuongeza mapato ya serikali nk..
Hahahaha pole yako
 
Hautakaa uuone udikteta manake we ni kipofu. Suburi usimuliwe
 
Back
Top Bottom