VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Tangu kuanza kwa vikao vya Bunge hapa Dodoma, hukuonekana wala kusikika. Hata hafla za kitaifa zilizohitaji uwepo wako kama kuapishwa kwa Majaji na AG hukuwepo.
Badala yake, Naibu Spika Dr. Tulia Ackson Mwansasu na Mtemi Andrew Chenge wamekuwa wakiendesha Bunge na kukuwakilisha.
Uko wapi Mheshimiwa Spika? U mzima wa afya? U salama salmini? We miss you Comrade!
Nabii Tito!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Makao Makuu Dodoma)
Badala yake, Naibu Spika Dr. Tulia Ackson Mwansasu na Mtemi Andrew Chenge wamekuwa wakiendesha Bunge na kukuwakilisha.
Uko wapi Mheshimiwa Spika? U mzima wa afya? U salama salmini? We miss you Comrade!
Nabii Tito!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Makao Makuu Dodoma)