Mrs Van
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 7,767
- 17,800
Kwenda kule nani mdogo ako. Unaitwa josefu acha kukana jina lakoWe muhindi mm siitwi josefu😁😁 njoo dm dogo ntakujuza mdogo angu
Kwenda kule nani mdogo ako. Unaitwa josefu acha kukana jina lakoWe muhindi mm siitwi josefu😁😁 njoo dm dogo ntakujuza mdogo angu
Nina 25 kwa sasa mkuu. Moja ya wazo nililonalo kwa sasa ni kuwa na mwanamke wa uhakika nimchumbie kabisa, na Eliza ndo kapita humo humo kwenye mawazo yanguPole mkuu, ila huyo dogo umri wake bado sana, bado hawezi kufocus kichwa kina moto. Japo sijajua we una umri gani, huenda mnaendana.
Unaumizwaje akili na dogo kama huyo bana, ila katakutafta inaonekana kamekuelewa.
Af we muhindi bhana mm siitwi josefu...halaf muhind we ni mdogo wangu😎Kwenda kule nani mdogo ako. Unaitwa josefu acha kukana jina lako
Mwili na sura visikuongopee. Kibibi mie hapa mdogo angu JosefuAf we muhindi bhana mm siitwi josefu...halaf muhind we ni mdogo wangu😎
Nisamehe mkuu 🙏umepanic broo!
Joke
Kibibi kigori cha kihind kizurii😍😍🤤Mwili na sura visikuongopee. Kibibi mie hapa mdogo angu Josefu
Kumbe!Mbolea n NPK mkuu, ekari 10 niko nazo.
Location n gawidu, manyara mkuu. Karibu
Upofu kwa binti wa 17 ambae unaweza ukamzaa? Chizi kabisa wwMapenz n upof mkuu, ata sidhan kama still n mshamba wa haya mambo
Hamna watu muleKitu cha kinyaturu hicho bablai
😂😂 dozi, au sio doktaVile siku amefika, jioni yake simu ilidondokea chooni (si unajua vyoo vya shimo), imemfanya akose mawasiliano na wewe.
Endelea kuvumilia hadi pale atakaporudisha laini hewani kisha aazime simu ili apate kuwa hewani. Na wewe usisahau kuipigia namba yake kutwa mara tatu.
Eliza Eliza ElizaEliza nipo hapa...
Saivi nimeokoka...
We si ukikataa kuokoka, unanitafutia Nini...