Uko nchi maskini na bado uko mkoani?

Angeweka wazi kuwa wawe wanatembelea mjini ila sio kuishi kama alivyosema mkuu
 
Utakuwa mmasai mlinzi 😏😏
 
Kuna watu wanakaa Dar es Salaam na watu wanakaa daslama kama watu wa yombo vituka
 
Sasa mliolewa dar mtapemdaje mkoa?

Wafirwaji dar mnalipwa vizuri huku mkoa utafirwa na hutapata faida kwann kusiwe kutamu dar?
Khaaaaa

Ila watu wa JF mnapenda vayolensi πŸ€πŸ™Œ
 
Utakuwa mmasai mlinzi 😏😏
Dada mi Arusha ni nyumbani napajua vzr siongei kwa kutania nimetoka huko sio miaka mingi sana, Arusha hamna mazingira rafiki wa wajasiriamali wadogo wadogo kulinganisha na daslam
 
Khaaaaa

Ila watu wa JF mnapenda vayolensi
Unajua ndugu yangu hata biblia imeruhusu kuujibu upumbavu sawasawa na upumbavu wenyewe. Mada ingekuwa ya kiakili unajibu kwa akili tu. Lkn hizi za hovyo tunajibu hovyo tu.
 
Usiwadanganye vijana,

Ndo ninyi mbawaahidi KAZI, wakifika bus terminal mnazima simu,

Vijana wa dar Kila mtu ni dalali, anauza Kila aina ya bidhaa na Bei anzazijua!!!

Mali Iko shambani, saiz wakulima wanapiga ela.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…