Ukizaa mtoto wa hivi utafanyaje?

Ciprofloxacin.

JF-Expert Member
Apr 15, 2015
1,583
2,696
Wanajamvi,

Mtoto ni baraka na neema kutoka kwa Mungu, ndo maana hakuna ndoa yenye furaha bila mtoto.Mwanamke asipozaa ktk ndoa huwa anasimangwa sana hadi kufikia kuambiwa kuwa anajaza choo tu na hana faida kwa mumewe wala familia ya mumewe, na ktk kuzaa tunatarajia kupata watoto wa kutulea pindi tumezeeka na hatuwezi tena kufanya kazi.

Kwa mfano wewe ni kiongozi mkubwa wa serikali, jamii yote inakuheshimu kwa ufanyakazi wako uliotukuka. Mtoto wako wa kwanza akawa wa kiume na ukamsomesha kwa gharama kubwa nje ya nchi.

Anarudi nyumbani huoni matunda ya Elimu ya mwanao zaidi ya kushinda vijiweni na kumbi za starehe huku akipenda sifa na kujitapa, umri wa mwanao unaenda hadi kufikia miaka 50 ila tabia zake zinakuwa sawa na kijana wa miaka 17,na ndo mtoto wako pekee huna tena mwingine.

Hajishughulishi na kazi yoyote wala biashara yoyote zaidi ya mishen town tu, na zaidi ya yote ktk umri huo wa miaka 50 anakaa nyumbani na hajaweza kujitegemea, wewe baba yake umri umeenda upo kwenye age ya 80 ,umeshampatia sana mitaji ila huwa anakula tu na kuendelea kuishi nyumbani, sasa kama ni wewe ndo mzazi utalifanya nini toto la hivi?

Na hasa ukuzingatia kuwa vijana wengi waliozaliwa ktk familia maskini na wana mitaji midogo lakini wanainuka kimaisha, toto la hivi utalifanyaje?
 
Wanajamvi mtoto ni baraka na neema kutoka kwa Mungu, ndo maana hakuna ndoa yenye furaha bila mtoto.
Mwanamke asipozaa ktk ndoa huwa anasimangwa sana hadi kufikia kuambiwa kuwa anajaza choo tu na hana faida kwa mumewe wala familia ya mumewe, na ktk kuzaa tunatarajia kupata watoto wa kutulea pindi tumezeeka na hatuwezi tena kufanya kazi.
Kwa mfano wewe ni kiongozi mkubwa wa serikali, jamii yote inakuheshimu kwa ufanyakazi wako uliotukuka.
Mtoto wako wa kwanza akawa wa kiume na ukamsomesha kwa gharama kubwa nje ya nchi.
Anarudi nyumbani huoni matunda ya Elimu ya mwanao zaidi ya kushinda vijiweni na kumbi za starehe huku akipenda sifa na kujitapa, umri wa mwanao unaenda hadi kufikia miaka 50 ila tabia zake zinakuwa sawa na kijana wa miaka 17,na ndo mtoto wako pekee huna tena mwingine,
Hajishughulishi na kazi yoyote wala biashara yoyote zaidi ya mishen town tu, na zaidi ya yote ktk umri huo wa miaka 50 anakaa nyumbani na hajaweza kujitegemea, wewe baba yake umri umeenda upo kwenye age ya 80 ,umeshampatia sana mitaji ila huwa anakula tu na kuendelea kuishi nyumbani, sasa kama ni wewe ndo mzazi utalifanya nini toto la hivi?
Na hasa ukuzingatia kuwa vijana wengi waliozaliwa ktk familia maskini na wana mitaji midogo lakini wanainuka kimaisha ,toto la hivi utalifanyaje?

mbona kama una mchimba jamaa yule anayekwenda kwao kwa kupitia Mvomero
 
Atakuja kujichagulia adhabu mwenyewe si yupo humu
 
Mbona kama unazunguka zunguka unashindwa nini kumtaja jina.

Wanajamvi,

Mtoto ni baraka na neema kutoka kwa Mungu, ndo maana hakuna ndoa yenye furaha bila mtoto.Mwanamke asipozaa ktk ndoa huwa anasimangwa sana hadi kufikia kuambiwa kuwa anajaza choo tu na hana faida kwa mumewe wala familia ya mumewe, na ktk kuzaa tunatarajia kupata watoto wa kutulea pindi tumezeeka na hatuwezi tena kufanya kazi.

Kwa mfano wewe ni kiongozi mkubwa wa serikali, jamii yote inakuheshimu kwa ufanyakazi wako uliotukuka. Mtoto wako wa kwanza akawa wa kiume na ukamsomesha kwa gharama kubwa nje ya nchi.

Anarudi nyumbani huoni matunda ya Elimu ya mwanao zaidi ya kushinda vijiweni na kumbi za starehe huku akipenda sifa na kujitapa, umri wa mwanao unaenda hadi kufikia miaka 50 ila tabia zake zinakuwa sawa na kijana wa miaka 17,na ndo mtoto wako pekee huna tena mwingine.

Hajishughulishi na kazi yoyote wala biashara yoyote zaidi ya mishen town tu, na zaidi ya yote ktk umri huo wa miaka 50 anakaa nyumbani na hajaweza kujitegemea, wewe baba yake umri umeenda upo kwenye age ya 80 ,umeshampatia sana mitaji ila huwa anakula tu na kuendelea kuishi nyumbani, sasa kama ni wewe ndo mzazi utalifanya nini toto la hivi?

Na hasa ukuzingatia kuwa vijana wengi waliozaliwa ktk familia maskini na wana mitaji midogo lakini wanainuka kimaisha, toto la hivi utalifanyaje?
 
Tatizo kubwa huwa liko kwa akina mama ndiyo wanaweza kulea mitoto isiyo riziki hadi wanaenda kaburini. Kwa mwanamume huwa rahisi, toto likionekana hakuna kitu unafukuzia mbali na kuishi mkiwa kuliko kubeba kiroba cha mawe uzeeni!!
 
Naona sheria ya makosa ya mtandao imekubana otherwise ni wazi unamzungumzia Le Baharia digrii tatu mabebez + bataz Le Mutuz mbururaz.

Kama ni yeye hauko sahihi na ni umbea tu. Kila mtu ana uhuru wa kuishi maisha yake atakavyo ali mradi huvunji sheria. Na kama wewe ni mwanaume basi nitakushangaa zaidi lakini kama ni mwanamke angalau kuna unafuu kidogo. Shigongoooo+
 
Wanajamvi,

Mtoto ni baraka na neema kutoka kwa Mungu, ndo maana hakuna ndoa yenye furaha bila mtoto.Mwanamke asipozaa ktk ndoa huwa anasimangwa sana hadi kufikia kuambiwa kuwa anajaza choo tu na hana faida kwa mumewe wala familia ya mumewe, na ktk kuzaa tunatarajia kupata watoto wa kutulea pindi tumezeeka na hatuwezi tena kufanya kazi.

Kwa mfano wewe ni kiongozi mkubwa wa serikali, jamii yote inakuheshimu kwa ufanyakazi wako uliotukuka. mtoto wako wa kwanza akawa wa kiume na ukamsomesha kwa gharama kubwa nje ya nchi.

Anarudi nyumbani huoni matunda ya Elimu ya mwanao zaidi ya kushinda vijiweni na kumbi za starehe huku akipenda sifa na kujitapa, umri wa mwanao unaenda hadi kufikia miaka 50 ila tabia zake zinakuwa sawa na kijana wa miaka 17, na ndo mtoto wako pekee huna tena mwingine.

Hajishughulishi na kazi yoyote wala biashara yoyote zaidi ya mishen town tu, na zaidi ya yote ktk umri huo wa miaka 50 anakaa nyumbani na hajaweza kujitegemea, wewe baba yake umri umeenda upo kwenye age ya 80 ,umeshampatia sana mitaji ila huwa anakula tu na kuendelea kuishi nyumbani, sasa kama ni wewe ndo mzazi utalifanya nini toto la hivi?

Na hasa ukuzingatia kuwa vijana wengi waliozaliwa ktk familia maskini na wana mitaji midogo lakini wanainuka kimaisha, toto la hivi utalifanyaje?
W. J. Malecela

:popcorn:
:popcorn:
 
Last edited by a moderator:
baba sihajui uchungu wa leba
Tatizo kubwa huwa liko kwa akina mama ndiyo wanaweza kulea mitoto isiyo riziki hadi wanaenda kaburini. Kwa mwanamume huwa rahisi, toto likionekana hakuna kitu unafukuzia mbali na kuishi mkiwa kuliko kubeba kiroba cha mawe uzeeni!!
 
Back
Top Bottom