Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Hahahhaa uandishi wako wa hili tukio Hahahahha ungekua unatoka Tanga Ningejua ni wewe, Ila Mimi mhusika wangu Sidhani kama ni member humu. Yaani ile amelaza Kanga tu chini, Kidume nimeshavua pensi nimeshikilia bunduki kuelekeza eneo la tukio, lahaula ni Siafu wa kufa mtu!! Sitakaa nisahau, ninavyoandika hapa ni kama vile naliona kabisa lile tukio
hadi na khanga mkatandika ha ha ha
Yani mi nmesimama zangu, jeans ipo nusu mlingoti mara pa pa pa puu heee vitu vinantembelea kumulika na kinokia tochi siafu hawa hapa yani nlitimua acha tu na hivi jamaa alikua anaishi mbali sijui ilikuaje nahisi walimshughulikia sana
 
Pole mwaya sikujua kama we ni mwanamke nilikua nadhani njemba mwenzangu kumbe mwanamke, aaah ungesema mapema wala nisingeendelea maana mwanamke umbea ni suna
Hahahaaha sasa je
 
C just friend tu? maana tukiongea jmn hatutaki urafiki wa kijinga jinga kati ya wake zetu na wanaume wengne tunaitwa macomplicator tumepitwa na wakati bc sawa tuchapiwe tu tutafanyaje ss!
Mmmmh
 
hadi na khanga mkatandika ha ha ha
Yani mi nmesimama zangu, jeans ipo nusu mlingoti mara pa pa pa puu heee vitu vinantembelea kumulika na kinokia tochi siafu hawa hapa yani nlitimua acha tu na hivi jamaa alikua anaishi mbali sijui ilikuaje nahisi walimshughulikia sana
Aliuguliaa maumivu mara mbili ya kukimbiwa na kungatwa na siafu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom