Ally7
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 517
- 768
Nadhani pesa ni kwajili ya kuwavutia wasichana i mean mpenzi.Bro kuna jamaa anafanya kazi BoT ana hela hatari, ana Nyumba 3, gari 6 na biashara kibao. Mwisho wa siku mkewe alikuwa anachukuliwa na jamaa mchovu hata gari hamiliki. Kama utaiangalia hio video utaona jamaa anavyojieleza hapo. Ana kazi mbili, Mercedes Benz, na anampa kila kitu wife wake hela sio kila kitu hio uwono wa masikini tu.
Ila kulinda penzi hiyo ni topic nyingine na ni zaidi ya kumiliki maburungutu ya pakee(pesa)