Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,845
First to laugh/smile
First to laugh/smile
Kuchapiwa ni siri ya ndani mimi najiandaa kusali Mabibo farasi leo KKKTKwema kiongozi? Ibada wapi Leo? Tukasali kuepusha kazia za kuchapiwa, I don't know how it works ila kuchukulia poa na kuvumilia wife kuchepuka inahitaji ujasiri sana
Wewe upogo kumbe????
Never missWewe upogo kumbe????
wapi sasa??Never miss
Kama sinema vile mara wameoana kesho wameshatengana kila mtu na hamsini zake! Labda ni kuanguka kwa maadili na watu kutaka kuishi maisha ya kisanii. Unashangaa kuona watu wanavyoachana kwa sababu ambazo hazina uzito wowote ule na baadhi ya wazazi ndugu nao wanachangia sana kuziua ndoa. Ukilinganisha na enzi za wazazi wetu ambapo wazazi na ndugu walijitahidi kila namna kuwasuluhisha ili ndoa isivunjike.
wapi sasa??
Najua hutaamini ila kakofi kamoja tu katika maisha yenu yote kanasaidia katika ndoa ila isiwe mara mbili. YaisheeeeeeeeeHalafu utamsikia mwingine analalamika mume wangu mpole kupita kiasi mpaka anakera. Huwezi kujua hata kama ndani ya nyumba kuna mwanaume lol! Ndoa kweli ndoana siku hizi ni bahati tu ya mume/mke kumpata mwenziwe watakaelewana, kupendana, kuheshimiana na kila wanapotofautiana hawanuniani bali hukaa chini pamoja kutafuta namna ya kumaliza tofauti zao kwa amani.