Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Inategemea mkuu umekaa tanga sehemu gani, nenda tanga mjini maeneo ya chichi hadi nyumbani kwetu hotel, nenda tanga pazuri, bado hujaenda sokoni mgandini, mitaa ya mikanjuni, sahare, mabanda ya papa, makorora na barabara za namba. Tanga kila kitu, tena unaweza kudhani unaishuhudia sodoma na gomora mpya, hatari sana. Nakumbuka siku nilipotembelea forodhani saa mbili usiku, nilishangaa kukuta wanaume wamekaa kando ya barabara wanajiuza, nilitetemeka mwili mzima sikuamini nilichokiona
Kumbe unazungumzia tabia za ushoga, mbona dar hamshangai kuna mambo ya kweli lakini mengi ni chumvi tupu, niliwahi kuambiwa Tanga ukipiga teke hata kifuu kinaongea lakini nilikuwa napiga hata kuku lakini sijawahi kushuhudia hicho kitu.
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
Kajamaa umefika Tanga gani Wewe?
Una uhakika?
 
Inategemea mkuu umekaa tanga sehemu gani, nenda tanga mjini maeneo ya chichi hadi nyumbani kwetu hotel, nenda tanga pazuri, bado hujaenda sokoni mgandini, mitaa ya mikanjuni, sahare, mabanda ya papa, makorora na barabara za namba. Tanga kila kitu, tena unaweza kudhani unaishuhudia sodoma na gomora mpya, hatari sana. Nakumbuka siku nilipotembelea forodhani saa mbili usiku, nilishangaa kukuta wanaume wamekaa kando ya barabara wanajiuza, nilitetemeka mwili mzima sikuamini nilichokiona
Hahahaha umenikumbusha mbali

Hivi kwanini Tanga kuta nyingi mitaani zimeandikwa 'fulani shoga' 😅😅😅 labda 'ommy shoga' nimekutana nayo sana hii na wanaume kukuambia 'mamboo' huku wakikusindikiza na macho.
 
Hawaoni improvement yako na hawajali.
Hakuna kutambiana huko...! ukute gari lako hilo wanalitumia usiku kufanya shughuli zao wakati umelala. Sasa wakuonee wivu kwa lipi (Purely Jokes, mkuu. Usije ukahama mji bure. Ha ha ha aaa!)
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
Ukimpa kazi mtu wa Tanga uwe mvumilivu kusubiria.
Mtu anakuwa radhi ailaze kazi ambayo inamwingizia kipato kwasababu ya kucheza bao.
 
Baada ya kuingia Tanga nikapata na lodge maeneo ya Sahare. Nikamtafuta bodaboda anipeleke kwenye "Wajasirimali" akanipeleka City centre ilipokua La Cassa Chika club karibu na posta/soko daah mademu wazee na wabovu sana japo jamaa aliwasifia kishenzi. Baadae ananiambia ooh twende Pongwe (yapata 15kms eti Kuna mademu wa kisomali) Nilikataa kulipia boda kwa ujinga wake na kunipotezea muda.
Tanga Nyumba Mganga Nyumba......
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
Ha ha ha !
Tanga kunani hiyo.
Nimekaa hapo miaka takriban 18 iliyopita.
Tanga hakuna majotro!!
Ukija na mihemuko utapoa au kupozwa na uwe mpole tu.
Mitaa ya Nyumbani Kwetu, u Tanga by Night sijui kma ipo.
 
Tanga ni kati ya mji wa kipekee sana hapa Tanzania.

Watu hawana haraka na hawajali kabisa. Watu hawaendi na muda na they don't care about it. Ukidrive town wanaona shida hata ku-overtake, sababu hana haraka.

Maduka yanachelewa sana kufunguliwa. Na pia yanawahi kufungwa. Watu hawana wivu wa maendeleo kabisa. Hata ukinunua gari lako zuri, watu hawana time nalo. Hawaoni improvement yako na hawajali.

Kila mwanamke unayekutana nae kavaa hijab, ukimuuliza umeolewa anasema hajaolewa. Na anaweza akakupa chochote, muda wowote na kwa namna yoyote. Tanga aisee hakuna haraka. Ukija huku hakikisha haufuati sana ratiba yako.

Life is simple!
Wanaume wa Tanga wanaukubwa gani wale?

Wanawezaje kuenea kwenye beseni la kuogea tu ?
 
massage ya kiswahili wenyewe wanaita kusinga, hahahahaha Tanga kuna raha zake bwana kwa tunaopenda burudani....kilago chawekwa chini wenyewe waita kijamvi kidume unalazwa hahahahahaha lazima usahau kufa...me simo muoe vijana..
 
Mkuu hizi nj propaganda tu za vijiweni kama zile zibazovumishwa kuwa sumbawanga kuna uchawi saba ilhali ukifika kule mambo ni tofauti. Kwa hiyo zisikunyime usingizi
Usifanye mchezo na Sumbawanga wewe
 
Back
Top Bottom