The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,018
- 8,100
- Thread starter
- #101
Kwani mkuu pesa kuna mtu hana kabisa, sema it depends on expenses sasa ishi kadiri ya kipato chako. Wengi wanao jishughulisha na kazi either waajiriwa au waliojiajiri kwa biashara ndogo wengi 80% wana earning not less than 250,000 per month. Do your simple maths utashindwa kuongeza kipato au kujikwamua tena in 6 months if you're earning 250K kwa mwezi lets say na uko pekee yako huwezi shindwa kitu ukiamua lakini tofauti na mwenye mshahara wa laki kwa mwezi.Naona uko ndotoni...
Yote hayo yatakuwepo ukiwa na hela