Ukiwa na mpenzi ambaye hawezi kuendana na wewe lazima uteseke

Naona uko ndotoni...

Yote hayo yatakuwepo ukiwa na hela
Kwani mkuu pesa kuna mtu hana kabisa, sema it depends on expenses sasa ishi kadiri ya kipato chako. Wengi wanao jishughulisha na kazi either waajiriwa au waliojiajiri kwa biashara ndogo wengi 80% wana earning not less than 250,000 per month. Do your simple maths utashindwa kuongeza kipato au kujikwamua tena in 6 months if you're earning 250K kwa mwezi lets say na uko pekee yako huwezi shindwa kitu ukiamua lakini tofauti na mwenye mshahara wa laki kwa mwezi.
 
Mimi mwanamke wangu Ana tabia zote hizo ulizoandika, hahahaha aise ni fully burudani wakuu.

Mtoa mada waeleze vijana ukipata girl Kama huyo aise utaenjoy life Sana. Uzuri Zaid kanizalia ka girl kazuri Kama yeye .. next week atatua hapa Hougang, Singapore kula maisha na baba la baba hahaha
#Singapore
Singidani sio
 
Kwasie tuliokomaa kiakili huwa tunamaanisha tusemacho! Wavulana ndio hubadilika badilika tu
Ula kweli. Hapa kwa wavulana i do agree. Yaan hawajuagi wanataka nini. U dedicate ur life to them lakini bado watahangaika kukutafutia makosa kama refarii kwenye match. Mukishapataga sehem zingine za kukojoleaga huwa ni tatizo sana
 
Extrovert Hawa kina ebitoke mkuu tunawaita kuku wa kienyeji hawa wana kiharufu cha kienyeji hadi kwenye papuchi.

Demu naye mtaka ni yule ambae hanikeri asiwe wa kununa nuna na kukuza vitu,
nataka yule naspend naye home ile kuwatch TV yaani ananipa vibe mara kavaa shati langu mara ananiziba macho kiutani utani mara ananikwapua remote, mara anazima taa ghafla, mara anikwapue sahani yaani I really like mwanamke wa hivi aje hata PM....😋
Mapenzi ya kwenye tamthilia hayo. Bahati mbaya huwa hayana uarithia zaidi ya kudanganywa tu
 
Ula kweli. Hapa kwa wavulana i do agree. Yaan hawajuagi wanataka nini. U dedicate ur life to them lakini bado watahangaika kukutafutia makosa kama refarii kwenye match. Mukishapataga sehem zingine za kukojoleaga huwa ni tatizo sana
Yan ndo Mana me sikuhiz sihangaiki na hiv viumbe Mana Kama biblia tu imeshindwa kuwadifine sisi Ni kina Nani mpaka tuweze....?
 
Back
Top Bottom