Ukiwa mwizi, ukiibiwa tuliza komwe

Ukiwa mwizi, ukiibiwa tuliza komwe

Hamna akili za kuishi na sisi, sisi ndio tunaishi na nyinyi kwa akili.

Nyinyi muishi na sisi kwa kutulia ...
Oohh!! Mambo yamebadilika hujui siku hzi wanawake ndo wanaishi na wanaume kwa akili!?.
 
Oohh!! Mambo yamebadilika hujui siku hzi wanawake ndo wanaishi na wanaume kwa akili!?.
Mnaweza ishi kwa akili, lakini akili hizo za kuishi kwa akili na sisi hamna...
Nyie utulivu ndio jambo kubwa, ndio akili yenu yenyewe.
 
Back
Top Bottom