anti-Glazer
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 291
- 478
Hbari za wakati huu.
Ni katika falsafa zangu binafsi naona kabisa maisha ni magumu sana ukiwa hai na ukifa ni magumu vilevile.
Kuna watu wanapokuwa hapa duniani ni dhahiri hatufanani. Hats m apotangukia mbele ya haki mnakuwa tofauti sana.
Uwepo wa wazaz wetu wapenz, wanapotuhudumia na wakatoweka Ina athari sana akilin, lkn pia anapokuwa amefariki na Hana jambo la kumtafakari inakuwa kama hayupo TU.
Paamojaa na ukweli kwamba mzee magufuli aliganya mengi na Yale yaliyowaumiza wengine ataonekana hayupo na hayupo kweli.
Ukisoma kitabu Cha mzee mengi utaona kweli yule Mzee hayupo na amefariki.
Kwetu sisi wananchi tunapokuwa masikini ukifa unaonekana umekufa tu, lakini ukiwa tajiri kama kina mzee Mengi unaonekana umekufa kweli.
Ni katika falsafa zangu binafsi naona kabisa maisha ni magumu sana ukiwa hai na ukifa ni magumu vilevile.
Kuna watu wanapokuwa hapa duniani ni dhahiri hatufanani. Hats m apotangukia mbele ya haki mnakuwa tofauti sana.
Uwepo wa wazaz wetu wapenz, wanapotuhudumia na wakatoweka Ina athari sana akilin, lkn pia anapokuwa amefariki na Hana jambo la kumtafakari inakuwa kama hayupo TU.
Paamojaa na ukweli kwamba mzee magufuli aliganya mengi na Yale yaliyowaumiza wengine ataonekana hayupo na hayupo kweli.
Ukisoma kitabu Cha mzee mengi utaona kweli yule Mzee hayupo na amefariki.
Kwetu sisi wananchi tunapokuwa masikini ukifa unaonekana umekufa tu, lakini ukiwa tajiri kama kina mzee Mengi unaonekana umekufa kweli.