Ukiwa kijana Fanya biashara au shughuli ya kukutoa, sio kupoteza muda kwenye biashara za ovyo

Ukiwa kijana Fanya biashara au shughuli ya kukutoa, sio kupoteza muda kwenye biashara za ovyo

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Tuambizane ukweli ambao watu wengi huwa hatuambiani, Huwa tunafarijiana tu
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aliwambia vijana huwezi kutoboa maisha Kwa kuuza uduvi, watu wakamwijia juu

Huo uvivu wa kukataa kumwaga jasho na kuumiza akili ndo hivo tunauwa vijana wanakosa ubunifu na kuishia kuwa masikini wa kutupwa

Kijana ukiwa na nguvu Fanya kazi au biashara Kwa bidii na tengeneza kesho yako

Kijana uliyekamilika usifanye biashara au shughuli zifuatazo

1. Kuuza genge
Kijana wa miaka 20/ 22/23, unajisifu kumiliki genge, yaani nguvu zako zote na akili unashinda unakata kabichi na kuuza kitunguu 100, lini utashika million 100, lini utaenda China au Dubai, lini utakaa baa ule mtungi wa laki 5
Kwanini usikimbie Kariakoo ukachukua mzigo wa nguo au cover A simu ukimbize chap upige faida ya maana

2 Kushona viatu
Kijana mwenye nguvu upo kibarazani unashona na kungarisha viatu.
Binafsi laZima ni kudharau nikikuta unafanya hii shughuli Dar es salaam

3. Kuchoma vitumbua
Kijana mwenye nguvu unaibuka na idea ya kuchoma vitumbua, utatoboa lini, fikiria biashara ya kukutoa mapema

4 Kuuza miguu ya kuku
Hii biashara inatakiwa wafanye wabibi, kijana mdogo unauzaje biashara ya mabibi kama hii
Amka acha uvivu Katie jasho upate pesa

5. Kuchemsha mayai
Kijana mjinga unatembea na trey ya mayai mtaani ati upo mjini unapambana, we ni jinga na pumbavu kwanini usije huku tukalime maharage na mahindi

6. Kuuza kahawa, tangawizi na kashata
Hapa kijana unajimaliza kifikira, jinga sana wewe Tanzania kubwa hivi, amani yote hii, unapata wazo la kutembeza kahawa kwenye birika.
Kwanini usifate kuku Morogoro,

7 kuchoma mahindi

8. Kuuza vipande vya matikiti kwenye deli
Yaani ununue Tikitiki ukate vipande kadhaa na eti ukawe tajiri

9 Kuuza supu ya utumbo na makongoro

10 kuuza dawa za mbu na sumu ya panya

Hizi ni baadhi ya biashara za kijinga ambazo kijana hupaswi kuzifanya
 
Tuambizane ukweli ambao watu wengi huwa hatuambiani, Huwa tunafarijiana tu
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aliwambia vijana huwezi kutoboa maisha Kwa kuuza uduvi, watu wakamwijia juu

Huo uvivu wa kukataa kumwaga jasho na kuumiza akili ndo hivo tunauwa vijana wanakosa ubunifu na kuishia kuwa masikini wa kutupwa

Kijana ukiwa na nguvu Fanya kazi au biashara Kwa bidii na tengeneza kesho yako

Kijana uliyekamilika usifanye biashara au shughuli zifuatazo

1. Kuuza genge
Kijana wa miaka 20/ 22/23, unajisifu kumiliki genge, yaani nguvu zako zote na akili unashinda unakata kabichi na kuuza kitunguu 100, lini utashika million 100, lini utaenda China au Dubai, lini utakaa baa ule mtungi wa laki 5
Kwanini usikimbie Kariakoo ukachukua mzigo wa nguo au cover A simu ukimbize chap upige faida ya maana

2 Kushona viatu
Kijana mwenye nguvu upo kibarazani unashona na kungarisha viatu.
Binafsi laZima ni kudharau nikikuta unafanya hii shughuli Dar es salaam

3. Kuchoma vitumbua
Kijana mwenye nguvu unaibuka na idea ya kuchoma vitumbua, utatoboa lini, fikiria biashara ya kukutoa mapema

4 Kuuza miguu ya kuku
Hii biashara inatakiwa wafanye wabibi, kijana mdogo unauzaje biashara ya mabibi kama hii
Amka acha uvivu Katie jasho upate pesa

5. Kuchemsha mayai
Kijana mjinga unatembea na trey ya mayai mtaani ati upo mjini unapambana, we ni jinga na pumbavu kwanini usije huku tukalime maharage na mahindi

Hizi ni baadhi ya biashara za kijinga ambazo kijana hupaswi kuzifanya
Kuuza kahawa na tangawizi Je?
 
Tuambizane ukweli ambao watu wengi huwa hatuambiani, Huwa tunafarijiana tu
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aliwambia vijana huwezi kutoboa maisha Kwa kuuza uduvi, watu wakamwijia juu

Huo uvivu wa kukataa kumwaga jasho na kuumiza akili ndo hivo tunauwa vijana wanakosa ubunifu na kuishia kuwa masikini wa kutupwa

Kijana ukiwa na nguvu Fanya kazi au biashara Kwa bidii na tengeneza kesho yako

Kijana uliyekamilika usifanye biashara au shughuli zifuatazo

1. Kuuza genge
Kijana wa miaka 20/ 22/23, unajisifu kumiliki genge, yaani nguvu zako zote na akili unashinda unakata kabichi na kuuza kitunguu 100, lini utashika million 100, lini utaenda China au Dubai, lini utakaa baa ule mtungi wa laki 5
Kwanini usikimbie Kariakoo ukachukua mzigo wa nguo au cover A simu ukimbize chap upige faida ya maana

2 Kushona viatu
Kijana mwenye nguvu upo kibarazani unashona na kungarisha viatu.
Binafsi laZima ni kudharau nikikuta unafanya hii shughuli Dar es salaam

3. Kuchoma vitumbua
Kijana mwenye nguvu unaibuka na idea ya kuchoma vitumbua, utatoboa lini, fikiria biashara ya kukutoa mapema

4 Kuuza miguu ya kuku
Hii biashara inatakiwa wafanye wabibi, kijana mdogo unauzaje biashara ya mabibi kama hii
Amka acha uvivu Katie jasho upate pesa

5. Kuchemsha mayai
Kijana mjinga unatembea na trey ya mayai mtaani ati upo mjini unapambana, we ni jinga na pumbavu kwanini usije huku tukalime maharage na mahindi

Hizi ni baadhi ya biashara za kijinga ambazo kijana hupaswi kuzifanya
Cha ajabu Wanyambo wa Kagera na Mkoa wao ni Watatu kutoka mwisho kwa Umaskini kati ya mikoa 30 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Hizo za kuuza miguu ya kuku pia zimewashinda.
 
Tuambizane ukweli ambao watu wengi huwa hatuambiani, Huwa tunafarijiana tu
Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam aliwambia vijana huwezi kutoboa maisha Kwa kuuza uduvi, watu wakamwijia juu

Huo uvivu wa kukataa kumwaga jasho na kuumiza akili ndo hivo tunauwa vijana wanakosa ubunifu na kuishia kuwa masikini wa kutupwa

Kijana ukiwa na nguvu Fanya kazi au biashara Kwa bidii na tengeneza kesho yako

Kijana uliyekamilika usifanye biashara au shughuli zifuatazo

1. Kuuza genge
Kijana wa miaka 20/ 22/23, unajisifu kumiliki genge, yaani nguvu zako zote na akili unashinda unakata kabichi na kuuza kitunguu 100, lini utashika million 100, lini utaenda China au Dubai, lini utakaa baa ule mtungi wa laki 5
Kwanini usikimbie Kariakoo ukachukua mzigo wa nguo au cover A simu ukimbize chap upige faida ya maana

2 Kushona viatu
Kijana mwenye nguvu upo kibarazani unashona na kungarisha viatu.
Binafsi laZima ni kudharau nikikuta unafanya hii shughuli Dar es salaam

3. Kuchoma vitumbua
Kijana mwenye nguvu unaibuka na idea ya kuchoma vitumbua, utatoboa lini, fikiria biashara ya kukutoa mapema

4 Kuuza miguu ya kuku
Hii biashara inatakiwa wafanye wabibi, kijana mdogo unauzaje biashara ya mabibi kama hii
Amka acha uvivu Katie jasho upate pesa

5. Kuchemsha mayai
Kijana mjinga unatembea na trey ya mayai mtaani ati upo mjini unapambana, we ni jinga na pumbavu kwanini usije huku tukalime maharage na mahindi

Hizi ni baadhi ya biashara za kijinga ambazo kijana hupaswi kuzifanya
Sijaona mbadala wa hizi unazoziponda
 
Naongezea
KAZI za usafirishaji kama Bajaj na bodaboda.
Zinakuandaa kijana kuwa masikini huwezi kutoboa maisha kwa kuendesha bodaboda na Bajaj sana sana utaishia kuwa mlemavu au tegemezi kwenye maisha Yako yote


Mkuu naomba kama Kuna addition ongeza juu ya KAZi hii takataka
 
Kuna biashara za kukupa kula na biashara za kukupa luxury life...

Wengi wetu tupo kwenye biashara za kutupa kula akini tunafikiria zitatupa luxury life which is not trueee...

We have to go beyond that comfort zone na kuwaza mambo mazito ila ni jambo gumu maana linahitaji iwe smart kicheani,nguvu ya ushaeishi,uwezo wa kuongea na kutengeneza connection
 
Naongezea
KAZI za usafirishaji kama Bajaj na bodaboda.
Zinakuandaa kijana kuwa masikini huwezi kutoboa maisha kwa kuendesha bodaboda na Bajaj sana sana utaishia kuwa mlemavu au tegemezi kwenye maisha Yako yote


Mkuu naomba kama Kuna addition ongeza juu ya KAZi hii takataka
Hapa nakupinga mkuu, bajaji au pikipiki ukiendesha miaka miwili mkataba ukaisha s unauza unafanya ishu nyingine
 
Upo sahihi mfano wa hivo vitu ni business service kama real estate, logistics companies, kuwekeza kente ardhi which siyo rahisi kwa vijana
Kuna biashara za kukupa kula na biashara za kukupa luxury life...

Wengi wetu tupo kwenye biashara za kutupa kula akini tunafikiria zitatupa luxury life which is not trueee...

We have to go beyond that comfort zone na kuwaza mambo mazito ila ni jambo gumu maana linahitaji iwe smart kicheani,nguvu ya ushaeishi,uwezo wa kuongea na kutengeneza connection
 
Back
Top Bottom