Ukiwa kama mjanja,.,.. HUU MSALA UNAUSOVU VP?

Ukiwa kama mjanja,.,.. HUU MSALA UNAUSOVU VP?

Joined
Aug 13, 2013
Posts
12
Reaction score
3
MPENZI wako anakutembelea Home kwa kushtukiza.
mfukoni Una Mia sita Tu, unaamua kumchukulia
cocacola moja ili asione kama huna kitu. Alafu
wewe unaamua kuchukua chupa ya Sprite
unajaza maji, yeye unampa ile Coca we
unakunywa zako maji kwenye ile chupa ya sprite
(mpenzi wako anadhani unakunywa soda)
Wakati mkiendelea kunywa, uku mkiwa na furaha mpenzi wako anakwambia
mbadilishane vinywaji.....
 
Hii kitu hii kitu,hapo nafanya kama natania kima-mapenzi penzi,nahesabu moja,mbili,tatu,then naibugia chupa na kunywa maji yote moja kwa moja bila kusimama na hivi hayana hata gesi,nikishusha chupa nyeupeee yani iko empty yani maji yote kwishinei,yapo ndani ya tumbo,alafu maelezo mengine nitajibu ila chupa ikiwa empty.
 
Namwambia nimechanganyia Kiroba Original

kama nae anakunywa kiroba si ndo ngoma isambe?Na pengine umefungua chupa mbele yake sasa kiroba kinatoka wapi?Ama anakwambia lete hivyo hivyo.
Wacha majibu yanaweza ku-complicate zaidi stuation.
 
Unamwambia hukupiga mswaki hivyo mdomo wako unanuka asithubutu
 
Namwambia mimi huwa sinywi cocacola
Je kama anajua huwa unakunywa coka?Kumbuka kwanza inawekana ndo mara ya kwanza kuonekana na sprite na pengine kabla wewe ndo mnywaji mzur wa coca cola.
 
kama nae anakunywa kiroba si ndo ngoma isambe?Na pengine umefungua chupa mbele yake sasa kiroba kinatoka wapi?Ama anakwambia lete hivyo hivyo.
Wacha majibu yanaweza ku-complicate zaidi stuation.
Pengine anamuelewa mpenzi wake hatumii hicho kinywaji.
 
Hilo jibu laweza kumuumbua kuliko kumsaidia.
uNajua mkuu kila mwanaume anakuwa anamuelewa mpenzi wake anatumia kinywaji gani na hapendi kinywaji gani. Hapo ndipo unatumia mwanya huo kumuepuka. Vinginevyo labda kama umeanza naye mahusiano siku hiyo hiyo.
 
Hii kitu hii kitu,hapo nafanya kama natania kima-mapenzi penzi,nahesabu moja,mbili,tatu,then naibugia chupa na kunywa maji yote moja kwa moja bila kusimama na hivi hayana hata gesi,nikishusha chupa nyeupeee yani iko empty yani maji yote kwishinei,yapo ndani ya tumbo,alafu maelezo mengine nitajibu ila chupa ikiwa empty.

"ha ha ha ha uwiiiiiiii mbavu zangu" comment nyingi zimenichekesha sana mpaka nimepaliwa mihogo....hili la kubugia linaweza kusaidia
 
uNajua mkuu kila mwanaume anakuwa anamuelewa mpenzi wake anatumia kinywaji gani na hapendi kinywaji gani. Hapo ndipo unatumia mwanya huo kumuepuka. Vinginevyo labda kama umeanza naye mahusiano siku hiyo hiyo.

Mazingira ndo hayo hayo uliyopewa,sasa useme unaelewa anapenda kinywaji gani wakati anaona unakunywa sprite(maji) na hiyo hiyo ndo anaitaka,alafu wakati unanunua hukuliwaza hili.
Eti hapendi,hujaambiwa kama hapendi ama hawezi kuinywa sprite,kifupi anaitaka hiyo sprite iwe anaipenda ama haipendi yeye si ndo kaamua.
 
namwambia nahisi ime expire hii mbona haitoi gesi ngoja nikajaribu kuimwaga nje!
Ha ha ha,unahisi ime-expire baada ya kuombwa wakati mwanzoni uliendelea kunywa bila shida na tena soda yenyewe ishafika nusu?Kuna msala wakuambiwa uirudishe dukani ukabadilishiwe ama ukachukue nyingine ili mje mfanye romantic deeds kwa kubadilishana chupa,na hela hata mia huna tena.
Mana demu hawezi kufuta mpango wake hivi mana yeye hajui kama huna hela,je utatoa wapi hela?Na kujaza maji dili lilishaota mbawa.
Ama inabidi ukubali aibu ya kukosa hela wakati ndo aibu unayoiogopa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom