grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Mkuu aliyeanzisha mada hii alisema, nanukuu "nitamwambia ndani ya hiyo soda nimechanganya na kiroba". Mwisho wa kunukuu.Mazingira ndo hayo hayo uliyopewa,sasa useme unaelewa anapenda kinywaji gani wakati anaona unakunywa sprite(maji) na hiyo hiyo ndo anaitaka,alafu wakati unanunua hukuliwaza hili.
Eti hapendi,hujaambiwa kama hapendi ama hawezi kuinywa sprite,kifupi anaitaka hiyo sprite iwe anaipenda ama haipendi yeye si ndo kaamua.
Kuanzia hapo ndiyo wadau wakaanza kuchangia hivyo tulivyokuwa tunachangia. Hoja ya kutumia sababu y akinywaji asichopenda haikuanzia kwenye soda tu bali baada ya mtoa hoja kuleta hilo hapo juu.