WiseLady
JF-Expert Member
- Jan 22, 2010
- 3,268
- 531
ana post mia nne katongozwa na waziri, akifika post kama zako nazani atatongozwa na mfalme wa Uganda.
hahahaha! utanivunja mbavu zangu tablet,,lol! atajuta kuleta haka kasred
ana post mia nne katongozwa na waziri, akifika post kama zako nazani atatongozwa na mfalme wa Uganda.
tunashkuru na wewe umechangia. umemaliza au tusubiri utaendelea?
2subr anaonekana kaguswa! Au ndo Naz kam2ma amjibie?
Ankal hao ndio wale wale tutunashkuru na wewe umechangia. umemaliza au tusubiri utaendelea?
tunashkuru na wewe umechangia. umemaliza au tusubiri utaendelea?
bado kidogo naona.....
hii sredi ni ya mawaziri bana! kama wewe ni diwani tafta sredi nyengine haraka. hapa hatudili na alfabeti, tunadili na ma vyeo tu.Duh! nina siku nyingi sijanyuka tongozo!
Nahisi skills zishakuwa butu, Kloro nikumbushe abc
hii sredi ni ya mawaziri bana! kama wewe ni diwani tafta sredi nyengine haraka. hapa hatudili na alfabeti, tunadili na ma vyeo tu.
Aisee naibu waziri atakuwa anasoma hii thread kama guest ili akampe majibu waziri wakehii sredi ni ya mawaziri bana! kama wewe ni diwani tafta sredi nyengine haraka. hapa hatudili na alfabeti, tunadili na ma vyeo tu.
yule mlalahoi keshalog out? asije akasababishia watu ban hapa?Niambie waziri wa vijicent!Wkend tunaenda wapi?
hii sredi ni ya mawaziri bana! kama wewe ni diwani tafta sredi nyengine haraka. hapa hatudili na alfabeti, tunadili na ma vyeo tu.
nimeguswa mie? au nyie mpaka mkapomoleshea maneno kama mama mwenye nyumba alienyimwa kodi.....:bored::A S 2152:
Aisee naibu waziri atakuwa anasoma hii thread kama guest ili akampe majibu waziri wake
We mambo ya kumkashifu baba mwenye nyumba achana nayo!Tunatoka au hatutoki?yule mlalahoi keshalog out? asije akasababishia watu ban hapa?
umesahau kama kuna kikao dodoma leo? think! wiselady thinkNamtafuta mwenye hii useful sred,,,ze fainesti na tablet do ze needful ASAP
Hii sredi ni kwa ajili ya mawaziri hata ukiwa mbunge hauruhusiwi kutia maguu hapa klorokwin hakikisha ni mawaziri tu hapa wiselady na lizzy ni manaibu waziri?Namtafuta mwenye hii useful sred,,,ze fainesti na tablet do ze needful ASAP
Kwani hujui kwamba mimi ndo nlimtumia Naz PM kumzingua?Hii sredi ni kwa ajili ya mawaziri hata ukiwa mbunge hauruhusiwi kutia maguu hapa klorokwin hakikisha ni mawaziri tu hapa wiselady na lizzy ni manaibu waziri?
invizibo mwenyewe haruhusiwi kukanyaga hii sredi.Hii sredi ni kwa ajili ya mawaziri hata ukiwa mbunge hauruhusiwi kutia maguu hapa klorokwin hakikisha ni mawaziri tu hapa wiselady na lizzy ni manaibu waziri?