Ukitaka tu 'Mswahili' akupende na akuachie 'Umtawale' hata 'Milele' mfanyie mambo haya tu machache

Marais woote wastaafu Walijenga Barabara, Madaraja, Mabwawa ya umeme,walijenga viwanja vya ndege lakini sio kwao, walikusanya Kodi, hospital nk.

Nyerere Alijenga reli kununua trein na kujenga viwanja vya ndege.

i. Lakini waliajiri watumishi wa uma.
ii.Walipandisha madaraja na kuongeza mishahara.
iii. Waliheshimu haki za watumishi na haki za binadamu.
iv. Walipeleka maendeleo kila kona pasi na kujali hawajampigia kura ama mbunge ni mpinzani.

MAGUFULI HATUFAI WATANZANIA
Kwahyo serekali iajiri wahitimu wote ama. Kwenye suala la ajira za wahitimu wa vyuo ilkua muda tu unasubiriwa ifikie hatua ya kutokuweza kuwaajiri wote hata kama kikwete angeendelea kuwa raisi. Sekta binafsi ipewe nafasi kubwa unaweza kuwa solution ya ajira lakini km sekta binafsi ikiendelea kuyumba hakika ajira tutazisikia tu.
 
Wewe ndio unasema hivyo, lakini nijuavyo mimi Marekani ilichukua miaka kama 50 ya kujipanga kimaendeleo, ambapo sisi watanzania kama tumempata kiongozi mwenye kuweza kutenda kwa nini tusimpe ushirikiano kwa manufaa ya vizazi vyetu vya baadae?

Acha 'Kudanganya' Watu hapa na bahati nzuri sana umekutana na 'Historians' Wabobezi. Imewachukua Miaka 200 'USA' kuwa hivi leo. Kajisomee!!!
 
Renewable energy (nishati ya jua na upepo) gharama yake utakimbia nchi hii kuweka miundombinu yake. Hivi Lissu anawaza kwamba serikali ya Magufuli hawajafanya cost benefit analysis hadi kuamua kujenga Stigler's?

Ulaya wanaimba renewable energy baada ya kutengeneza hela za ajabu kwenye nishati ya petroli na non-renewable zinginezo cheap. Za kuambiwa changanya na zako.

Yapo mengi ya maana kwenye hoja za Lissu ila asitudanganye kwenye nishati au kodi.

Zipo 'approaches' nyingi tu za 'Kiuchumi' za kufanya hiyo 'Cost Benefit Analysis' yako na si lazime itumike hii anayoitumia JPM na CCM yake sawa?
 
Nimesoma hiyo namba tano,kuwa acha kujenga Sgr ila imarisha hizi zilizopo nimefanya conclusion kuwa unafikiri kwa kutumia makalio sio ubongo. Yaani reli aliyoacha mkoloni ya narrow gauge inafaa kw ulimwengu wa leo?

Pesa na fine za wauza madawa ya kulevya zinatosha kuimarisha sekta ya afya?
Amesema "imarisha iliopo"

Sent from my E6653 using JamiiForums mobile app
 
Na Magufuli amefanya hayo yote na kupitiliza ndio maana amesema ana uhakika urais atashinda tena kwa kura nyingi
Lini kaongeza mishahara ya wafanyakazi ?
Hayo madaraja yanasomesha watoto shule?
Unaweza kunitajia shule moja inayosomesha watoto bure?
Au huja zaa wewe?
Yaani mgumba?
 
Lini kaongeza mishahara ya wafanyakazi ?
Hayo madaraja yanasomesha watoto shule?
Unaweza kunitajia shule moja inayosomesha watoto bure?
Au huja zaa wewe?
Yaani mgumba?

Kwa hii 'Dozi' Kali uliyompa naomba akirudi tena 'Kujibizana' nawe au hata 'Kukujibu' tu hebu 'nitagi' tafadhali. Umempa 'Jibu' toshelezi kabisa tu.
 
Amesema "imarisha iliopo"

Sent from my E6653 using JamiiForums mobile app
Kwa akili yako ndogo kama mtoa mada unadhani reli iliyochakaa ambayo ilijengwa na mkoloni inatakiwa kuimarishwa? Au inatakiwa kujengwa mpya?
Wewe pia ni bichwa maji ambae una shabikia upuuzi, kama kudai eti tuachaane na bwawa la historia ili tuzalishe umeme wa upepo na jua.
 
Kwa hii 'Dozi' Kali uliyompa naomba akirudi tena 'Kujibizana' nawe au hata 'Kukujibu' tu hebu 'nitagi' tafadhali. Umempa 'Jibu' toshelezi kabisa tu.
Acha kishabikia upuuzi na ujinga. Kwani kuna watoto wanaotozwa ada sasa hivi kuanzia msingi hadi serikali?
Bila miundo mbinu mizuri kama madaraja na barabara nzuri watoto wataenda shule kwa urahisi!
Mishahar ya wafanyaki unadai iongezwe wewe kama nani? Mbona Tucta wako kimya?
 
Kwa hii 'Dozi' Kali uliyompa naomba akirudi tena 'Kujibizana' nawe au hata 'Kukujibu' tu hebu 'nitagi' tafadhali. Umempa 'Jibu' toshelezi kabisa tu.
Leo umeshusha ni nondo za maana sana.
Pamoja na yote Raisi ni lazima apende wananchi wake na sio kupenda vitu tu huku wananchi wakiteseka.
Kama mtu Ana maoni mbadala anaweza kuongeza na sio kukukosoa kwa kejeri.
Sisi si North Korea. Wanaofaidi wacheche na ndio wanaosumbua mitandaonj.
Shame on them
 
Sio kwa binadamu, hujawai kuona mtu ana mke mzuri lakini bado anachepuka? Kufuga koboko ni timming yake ya kichwa na hakikisha umemdumbukiza kwenye cage yake vizuri mpe panya maji unga nk. Lakini sio binadamu, binadamu ataukimpa moyo wako wote bado atakunanga tuu kwa watu kuwa unamnyanyasa nk.
 
Acha kishabikia upuuzi na ujinga. Kwani kuna watoto wanaotozwa ada sasa hivi kuanzia msingi hadi serikali?
Bila miundo mbinu mizuri kama madaraja na barabara nzuri watoto wataenda shule kwa urahisi!
Nitajie shule moja ya sekondari ambayo mtoto anasoma bure.
Hivi ada ya elfu ishirini na michango ya laki mbili ipi ghali.
 
Asante Genta Leo umemsaidia mheshimiwa Raisi John Pombe Magufuli kujua Anavyopotoshwa na washauri wake.
Pia umemsaidia nini aseme kwenye kampeni.
Na umefanya hivyo kwa nia njema kabisa ya kumsaidia mheshimiwa Raisi.
Washauri wa Raisi inawapasa wawe kama wewe waseme Ukweli.
Na sio kusema anachotaka Raisi kukisikia
 
Lini kaongeza mishahara ya wafanyakazi ?
Hayo madaraja yanasomesha watoto shule?
Unaweza kunitajia shule moja inayosomesha watoto bure?
Au huja zaa wewe?
Yaani mgumba?
1. Wafanyakazi wamepinguziwa PAYE, wengine wamepandishwa madaraja kwani hela haijaongezeka ?
2. Madaraja yanawezesha raia wachapakazi na wazalendo kutafuta hela ya kula na kujiongezea kipato, yanachochea uchumi ndio maana tupo uchumi wa kati.
3. Hakuna elimu bure, kuna elimu bila malipo
(Tuition free education)
IMG_20200917_175848.jpg
 
Raisi ni lazima atambue.
Kuwaongezea watumishi wa umma mishahara ni jambo la hali zao kisheria na ni la lazima.

Lazima atambue mkulima anavuja jasho kulima mazao yake na bila ya msaada wowote, aruhusiwe kuuza anapo taka yeye ili atimize mahitaji yake kwa Wakati.
Mtoto a nahitaji ada Leo, mgonjwa anahitaji kutibiwa Leo.

Mstaafu anataka kulipwa take home yake na pensheni anapo staafu.

Magufuli kazi yake ni kupush upp ili Mwananchi apate haki yake mapema na aridhike.
Na sio vinginevyo
 
Marais woote wastaafu Walijenga Barabara, Madaraja, Mabwawa ya umeme,walijenga viwanja vya ndege lakini sio kwao, walikusanya Kodi, hospital nk.

Nyerere Alijenga reli kununua trein na kujenga viwanja vya ndege.

i. Lakini waliajiri watumishi wa uma.
ii.Walipandisha madaraja na kuongeza mishahara.
iii. Waliheshimu haki za watumishi na haki za binadamu.
iv. Walipeleka maendeleo kila kona pasi na kujali hawajampigia kura ama mbunge ni mpinzani.

MAGUFULI HATUFAI WATANZANIA
Pamoja na ma raisi wote hao lakini bado hamkulidhika na kusema serikali kwa miaka yote imeshindwa kuwapa mahitaji mlioyoyataka.
Kwa maana hiyo hao ma raisi hawakufanya kwa kiwango sahihi.
Na kipindi hicho mlikuwa na maendeleo ya watu ila mlikosa maendeleo ya vitu
Lakini mliandamana kuvidai,
Sasa vinatengenezwa mna lalamika tena.
 
Pamoja na ma raisi wote hao lakini bado hamkulidhika na kusema serikali kwa miaka yote imeshindwa kuwapa mahitaji mlioyoyataka.
Kwa maana hiyo hao ma raisi hawakufanya kwa kiwango sahihi.
Na kipindi hicho mlikuwa na maendeleo ya watu ila mlikosa maendeleo ya vitu
Lakini mliandamana kuvidai sasa vinatengenezwa mna lalamika tena.
Mswahili hana shukurani.
 
Raisi ni lazima atambue.
Kuwaongezea watumishi wa umma mishahara ni jambo la hali zao kisheria na ni la lazima.

Lazima atambue mkulima anavuja jasho kulima mazao yake na bila ya msaada wowote, aruhusiwe kuuza anapo taka yeye ili atimize mahitaji yake kwa Wakati.
Mtoto a nahitaji ada Leo, mgonjwa anahitaji kutibiwa Leo.

Mstaafu anataka kulipwa take home yake na pensheni anapo staafu.

Magufuli kazi yake ni kupush upp ili Mwananchi apate haki yake mapema na aridhike.
Na sio vinginevyo
Tucta wanasemaje juu ya hili?
Unataka nyongeza ya kila mwaka au ongezeko la kima cha chini?
 
1. Wafanyakazi wamepinguziwa PAYE, wengine wamepandishwa madaraja kwani hela haijaongezeka ?
2. Madaraja yanawezesha raia wachapakazi na wazalendo kutafuta hela ya kula na kujiongezea kipato, yanachochea uchumi ndio maana tupo uchumi wa kati.
3. Hakuna elimu bure, kuna elimu bila malipo
(Tuition free education)
View attachment 1572524
Payee imepungua kwa ongezeko la asilimia ndogo sana ambayo ni ongezeko la shillingi isiyo zaidi ya elfu hamsini
Ukigawanya elfu hamsini kwa miaka mitano ni ongezeko la Shiringi elfu kumi kwa mwaka.
Unachosifu ni kuongezewa kwa mfanya kazi shillingi 10,000/= kwa mwaka....!
Kuongezewa madaraja ni kwa wafanyakazi wachache sana ama wamejiendeleza kwa kusoma au wamepandishwa vyeo ambayo ni mara moja kwa miaka yote mitano

Ni Raisi gani aliye wahi Kuwaongezea watumishi wake shillingi 10,000 kwa mwaka?

Hii imepunguza Bima, pensheni, matumizi, NHIF, lumpsum ya kustaafu nk.
Ambavyo ni haki ya mfanya kazi kikatiba.
Nakadhalika.

Una lingine
 
Shule gani inayochangisha watu laki mbili? Kamdanganye mama yako.
We Huna mtoto unayemsomesha
Kuna michango kibao kama
Chamgo wa chakula
Mchango wa ulinzi
Mchango wa bweni
Mchango wa mitihani
Mchango wa dhalula
Mchango wa karatasi
Mchango wa wapishi
Nk

Nimekuambia nitajie shule japo moja inayo somesha watoto BURE na hujajibu.
Mimi nina watoto wanao soma nawalipia ghalama hizo zinazozidi ada ya awali.

Hiyo ya kumdanganya mama ni kukosa hoja na ujuha.
 
Back
Top Bottom