SoC01 Kwa Rasilimali Zilizopo Tanzania, Tunastahili kuwa na Maendeleo haya tuliyo nayo?

Stories of Change - 2021 Competition

Smartkahn

JF-Expert Member
Jun 22, 2020
293
564
1: UTANGULIZI.
Tanzania katika miaka ya hivi karibuni imepata maendeleo mazuri katika nyanja za kisiasa kiuchumi na katika ustawi wa jamii. Ingawa bado nchi inakumbana na changamoto kubwa za kimaendeleo, kama vile rushwa ongezeko kubwa la watu magonjwa na kukosa usawa wa mgawanyo wa mapato nchini. Wakati huo huo kuna fursa mpya zinazaliwa.

Tanzania inasifika kwa kua na rasilimali nyingi, lakini richa ya hayo yote nchi imekosa muunganiko mzuri kati ya rasilimali zilizopo na kiwango cha maendeleo tulichofikia. Ni kivipi? Tuangazie mchanganuo huu kidogo.

=> Rasilimali; huhusisha vitu vyote vinavyopatikana katika mazingira yanayotuzunguka ambavyo vinaweza kutusaidia kukidhi mahitaji yetu. Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali mbalimbali na za kujitosheleza. Mfano; Tanzania ina...;

Ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilomo takribani hekari milioni 44, ila asilimia 33% tu ya hilo eneo ndio hulimwa. Pia tumezungukwa na vyanzo vya maji, bahari mito na mabonde, na maziwa makuu yasiyopungua matano(5).

Inamadini adimu duniani yanayopatikana kwa wingi kama vile Almasi, dhahabu, Tanzanite, ulanga, nikeli, uraniumu, lithium nk. Pia kuna gasi asilia inayokadiliwa kua na ujazo wa futi cubic trilioni 25-30, Kwa mujibu wa PFC Energy.

Vivutio vya utalii vinapatikana kila pembe na katikati ya nchi, hifadhi za taifa zipatazo 22, ambazo kwa ujumla wake zinachukua asilimia 15% ya eneo la nchi ambalo ni sawa na nchi ya Croatia.

Rasilimali watu/nguvu kazi ya taifa inakadiliwa Tanzania inaidadi kubwa ya watu wapatao milioni 61, ambao wanaweza kutumika katika sekta mbalimbali za uzalishaji.

Ina jiografia nzuri iliyokaa kimkakati na kifaida zaidi, kuna bahari inayotumika kusafirisha na kuingizia mizigo wakati huo huo kuna nchi jirani zisizopungua nane(8), kati ya hizo kuna nchi sita(6) zisizokuwa na bahari hivyo kwa namna moja au nyingine zitaitegemea Tanzania katika usafirishaji.

=> Uchumi ni nini; ni namna ambavyo jamii ya nchi husika inaweza kuzichunga/kuzitunza na kuzitenga rasilimali zao adimu kimkakati zaidi ili ziwaletee maendeleo. Kuna uchumi mbalimbali kulingana na rasilimali zilizopo mfano; uchumi wa bluu(blue economy) unatokana na shughuli za majini, uchumi wa viwanda, uchumi wa kilimo , madini, utalii biashara, huduma mbalimbali nk.

=> Maendeleo ni nini; ni mchakato mzima unaepelekea kuimarika ama kufanikiwa kwa uchumi na maisha bora kwa raia(ustawi wa jamii) katika nchi husika. Kwa mfano; kuimarika kwa miundombinu ya mawasiliano na usafirishaji, viwanda, biashara na huduma za kijamii.

Maendeleo endelevu ni maendeleo yalio bora zaidi kwakua yanahakikisha upatikanaji wa mahitaji ya kizazi cha sasa pasipo kuathiri upatikanaji wa hayo mahitaji kwa kizazi cha baadae.

Kutokana na kukua maradufu kwa idadi ya watu inatakiwa hayo maendeleo yaendane na sayansi na teknologia iliyopo kinyume na hapo itakua ni uvunaji wa rasilimali uliokithili na utaharibu sana rasilimali kwa faida kidogo.

Kwa kuangalia mchanganuo huo tunapata mwangaza na kujitasmini sisi kama taifa, Je? tunastahili kuwa katika kiwango hiki cha maendeleo ( cha uchumi wa kati kiwango cha chini), tukilinganisha na utajili wa rasilimali tulizonazo. Hebu tufanye tasmini ndogo isiyohitaji hata milinganyo ya kihesabu.

Je, Tunamiundombinu ya uchukuzi na mawasiliano iliyojitosheleza na imara, kama vile reli balabala madalaja bandari na viwanja vya ndege pia kasi na mtawanjiko wa mikongo ya njia za mawasiliano. Itakayo rahisisha biashara na shughuli nyingine za kijamii na kiuchumi.

Je, Huduma ya elimu nchini imeimarika, yaani elimu bora kwa wote, kuna vitendeakazi vyakutosha, viti vyakutosha, madalasa na je shule zinajitosheleza nchini?.

Je, huduma za afya nchini zimeimalika, vifaatiba na madawa yanapatikana , matabibu vitanda na hospitali zinatosha kanda mbalimbali nchini.

Je, Huduma za maji safi na salama pamoja na umeme vinapatikana kwa uhakika(masaa 24).

Je, Ulinzi na usalama wa raia na mali zao unaridhisha hapa nchini, vitengo vya polisi na zimamoto utendaji wake ukoje wanavitendea kazi vya kisasa.

Bila shaka maendeleo tuliyonayo tokea uhuru (miaka 61) ukilinganisha na rasilimali tulizonazo haviendani (ni mbingu na ardhi). Fikilia nchi kama Korea, Israel au hata Rwanda wangekua na hizi rasilimali, Tanzania tungekua kwenye orodha ya nchi zinazopokea msaada kutoka kwao.

Pia maendeleo tuliyonayo hayaendani na kasi ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia, serikali haina muamko. raia ndio tunawahamasisha kila siku kama vile, kuboresha masuala ya miamala ya kidijitali.

Sasa kama ni hivyo tatizo ni nini/tunakwama wapi.?

2: Sababu Zinazopeleke Kukwama au Kusuasua Kwa Maendeleo Tanzania.

=> Kukosa mfumo madhubuti wa uongozi:

Katika sehemu ya ndani kabisa/kiini cha nchi(sistimu) ilishidwa kufanikisha kuundwa kwa mfumo imara usio teteleka na vuguvugu za kisiasa (vyama mbalimbali). Ilitakiwa nchi kama nchi iwe na misimamo yake halafu hayo matakwa ya ilani za vyama yawe kama mapendekeza tu na sio nchi kutekeleza kwa kegezo kua chama fulani kinaongoza.

Kuna baadhi ya vitengo hasa kitengo cha intelijensia vimekosa weledi yawezekana kuna mamluki waliopenyezwa kwa maslahi ya watu shilika au kampuni binafsi, kama sio sasa wanashidwaje kutoa taarifa mamlaka husika na kwa wakati sahihi nakushinikiza hatua zichukuliwe kwa wahisiwa. Matukio ya ufisadi mkubwa, rushwa, madawa ya kulevya kwanini hatua za makusudi hazichukuliwi kukomesha haya. Laiti kama pesa zilizopotea kwa ufisadi zingetumika kama ilivyopangwa leo hii tusingekua tunahangaika kukatana tozo kwaajili ya ujenzi wa vituo vya afya, tungekua hatua nyingine kabisa. Wananchi tunajitahidi kuchagua viongozi bora ili tupate utawala bora, lakini unazongwazongwa na kupoteza mvuto.

Tuangalie mfano huu unaoendana na asilimia 80% ya watanzania wanaotegemea kilimo (uti wa mgogo wa taifa).

Fikilia kwamba;
•Serikali ==> shamba,
•Wananchi ==> wakulima,
•Viongozi ==> mazao yaliyopo shambani bado ambayo yametokana na wakulima kuchagua mbegu bora kwa kutarajia kupata mazao mengi yenye ubora.

Wakulima wanashauriwa kua makini katika kuandaa shamba na mbegu, mara baada ya kupanda na mimea kumea, magugu huwa yanatokea kusikojulikana, lakini huwa yanakua na mbegu zake ambazo inawezekana zilifika shambani kwa kuletwa na wanyama, upepo, zilizochangamana na mbegu za mazao zilizopandwa na mkulima(seed mimicry), ama zilikuepo tu shambani miaka na miaka(Striga weed seeds).

Kiasili magugu huwa yanakua na nguvu kushinda mazao, yanastawi pasipo hata matunzo yoyote, yakiachwa bila kuondolewa kwa wakati hasa kipindi ambacho mazao yanakaribia kuchanua utakosa kabisa mavuno, huku magugu yakiwa yamesheheni mazao yake.

Ni hivyo hivyo hata kwa wadudu waharibifu, (ukicheka na nyani utavuna mabua).

=> Rushwa/Siasa rushwa (Malpolitics):
Nimatumizi ya nguvu ya dola yanayofanywa na baadhi ya watumishi wa serikali au/na mitandao ya watu wao wa karibu kwa kujipatia au kufanikisha jambo lao binafsi kwa njia isiyo halali. Hapa siajabu ukakuta kiongozi anashilikiana na wafanyabiashara,makampuni makubwa nchini na nnje ya nchi tokea kipindi cha kampeni mpaka anapata madaraka, tutarajie nini hapa? Watakua wananufaika hao wafanyabiashara na makampuni kwa kutekeleza miladi isiyokua na tija kwa taifa bali wao tu.

Kwahiyo rushwa ni adui wa haki na maendeleo katika nyanja zote uchumi,kijamii na kisiasa.

=> Kufifia kwa hari ya uzalendo na uwajibikaji kwa viongozi na raia kwa ujumla (patriotism):
Asilimia kubwa ya viongozi hapa nchini huwa wanakua wazalendo mwanzoni, wakishakaa madalakani mitazamo na misimamo inabadilika hii ni kwasababu wanajitenga na jamii, makazi yao na harakati zao zinafanyika mazingira ya hadhi fulani kila siku, wanakua kwenye obwe la faraja(comfort zone). Hapa siajabu ukakuta wabunge wanajadili mambo muhimu katika hari ya mzaha mzaha na kupitisha vitu ambavyo kwa wananchi ni mkuki, pasipo kupata maoni kwa wananchi hawatastuka kuwa tunawabebesha mizigo mizito wananchi, (aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa).

Tungekuwa wazalendo haya mambo yangekuwa yamerekebishika, viongozi wangetembelea wilaya majimbo na vijiji mbalimbali kijionea hari halisi na kutatua changamoto mbalimbali, na pia wananchi wamekua ni watu wakuiraumu na kuisusia serikali.

=> Kukosa dira ya maendeleo yenye kupewa nguvu na kipaumbele:
Dira ya maendeleo haipewi kipaumbele/uzito wake unaostahili katika utekelezaji wake. Yaani dira ya maendeleo inachukuliwa kama ahadi za kwenye kampeni, itekelezwe isitekelezwe sawa tu.

Tanzania hatuna vipaumbele maalumu katika kujenga uchumi, na ndio maana kila serikali inayoundwa inakuja na sera zake mpya zitakazo tegemea ilani ya chama husika. Kila awamu malengo yanabadilikabadilika kabla hili halijakamilika linaletwa lingine mara kilimo kwanza mara tanzania ya viwanda. Sasa kama taifa kwa mfumo huu ni ngumu kufanikiwa, tunakosa msingi na uchumi wa nchi unakosa muunganiko mzuri. Kuna msemo unasema "Badilisha mbinu/njia za kuyafikia malengo, usibadilishe malengo).

3: Ni Nini Kifanyike Ili Kuinua Uchumi Wa Tanzania Uendane na Rasilimali Zilizopo:

=> Kuimarisha mfumo mzima wa uongozi na utendajiwake wa kazi:

Maboresho zaidi yanahitajika katika sheria na katiba ya nchi, kuwe na kiwango kikubwa cha uwazi haki na utawala wa sheria. Pia kufanyike maboresho makubwa katika vitengo vya ulinzi na usalama hasa kitengo cha intelijensia, hivi vitengo utendaji wake wa kazi unatia shaka. Vichunguzwe je? Kuna watumishi wanaofaa wenye weledi wajuu na wanaoweza kuendana na hii kasi ya sayansi na teknolojia.

Hayo maboresho yataongeza uwajibikaji na uzalendo kwa viongozi na raia na kupunguza vitendo vya kiharifu kama vile rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma kwa wananchi na viongozi kwa ujumla.

=> Kupambana na rushwa na ufisadi kwa nguvu zote:
Hadi kufikia kiwango ambacho hakitaathiri mwenendo wa uchumi wa nchi. Hili litafanikiwa endapo tutakua na uongozi imara, wenye sheria itakayo muwajibisha yeyote pasipo kujali hadhi yake katika jamii. Isiwe kama hili, makosa yanafanywa na raia wa matawi yote ila wanao onekana magelezani ni masikini tu.

Ufisadi umechangi pakubwa mno kwenye kudidimia kimaendeleo nchini, pesa ambayo ilipotea kwenye skendo za ufisadi hapo nyuma ingetatua changamoto za huduma za afya elimu na maji mijini na vijijini kipindi kile, leo hii tungekua tunafanya hatua nyingine za maendeleo za juu zaidi. Inatakiwa haya mambo mabaya yasijirudie tena ili tuweza kusonga mbele, inatakiwa hili swala la ufisadi na rushwa lipewe nguvu ya kisheri ili mali ya umma iwe ya moto kwa fisadi yeyote yaana asiitamani kabisa ili tusonge mbele.

=> Kuandaa dira ya maendeleo ambayo itapewa nguvu/uzito na kipaumbele kwa mujibu wa sheria:
Dira ijumuishe mambo muhimu yenye maslahi mapana kwa taifa ambayo yatakua kama dira au maono, ambapo kabla maamuzi hayajachukuliwa juu ya utekelezaji wa jambo lolote inatakiwa turudi(kurejelea ) katika dira na kuona dira inasemaje? Unakua ndio msingi kupitia huo mambo mengine yanafanyika(Organizing principle). Inatakiwa pia hiyo dira iwe inaweza kunyumbulika ili kuendana na mabadiliko ya rasilimali sayansi na teknolojia,(Architectural thinking).

Dira ambayo itaangazia katika sekta mbalimbali huku kipaumbele kikielekezwa katika tafiti za kisayansi na teknolojia mahususi katika sekta husika kama vile;

sekta ya sayansi na teknolojia: ili tuweze kua na uchumi wenye nguvu na ushindani ni muhimu kujiimalisha katika hii sekta, tuweze kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia kwa kujikita katika tafiti za tiba vyombo vya moto na tehama(wenzetu huko duniani wako kwenye mapindizi ya nne ya viwanda (fourth industrial revolution)).

Je tunaweza kupambana na vita ya kiuchumi, mashambulio yakimtandao, uharifu wa kibiolojia? Tumejipanga vipi na hizi changamoto?

Tuige mfano hata kwa majilani zetu Rwanda kwa hatua wanazopiga wakati huohuo sisi tunaangalia tu nasioni jitihada zozote zikichukuliwa.

Kama ilivyo Israel pale mashariki ya kati inawezekana Rwanda ikawa hivyo huku kwetu kusini mwa jagwa la Sahara hapo baadae, tuchunge sana.

Sekta ya kilimo: bajeti iongezeke maradufu katika sekta ya kilimo ili kuchochea tafiti za mbegu bora kuendana na kanda husika, kuongeza wataalamu wa kilimo wa ngazi ya juu kufanya kilimo kiwe cha kisasa zaidi, harafu viongozi waache siasa kwenye kilimo, kilimo ni sayansi kama sayansi nyingine! Wengi wetu hatujui hilo kwasababu asilimia kubwa ya wakulima wetu wanafanya kilimo cha kienyeni kwa matumizi ya nyumbani. Kwenye kilimo cha kisasa na chenye tija haitakiwi kuharibu kanuni, pembejeo iwe mbegu mbolea au viwatilifu zinatakiwa kutumika kwa kiwango sahihi, mahali husika na kwa wakati sahihi kinyume na hapo kilimo kimekushinda. Ni sawa tu sayansi ya umeme ili taa iwake inatakiwa kuwe na chaji hasi (-) na chanya (+) katika mfatano maalumu ukienda tofauti na hapo taa haiwaki.

Sasa je? Kama kweli kilimo ni uti wa mgongo wa taifa na asilimia 80% ya raia wanategemea kilimo, inakuwaje tena pembejeo hazifiki kwa wakati, wakati huohuo bei ni ghari sana. Sasa kilimo ni uti wa mgongo au unyayo? Maana selikali mnabebwa sana na kilimo ila hambebeki. Asilimia 65% ya mizigo ilivyo safirishwa nje kibiashara ni inatokana na kilimo, pia kilimo kinachangia pato kubwa zaidi kuliko sekta nyingine yoyote ile asilimia 28% ya pato la taifa.

Tanzania haistahili kwenda kujifunza kilimo kwenye nnchi yenye jangwa na ndogo vile(Israel).

Kwahiyo kilimo nako kuwe na muelekeo ili tuweze kujitosheleza kwa chakula na mazao yanayobakia yasafirishwe sokoni pia ni moja ya malighafi viwandani kwa ukuaji wa uchumi.

Sekta ya viwanda:
Viwanda vya ngazi zote dira iangazie huku pia. Idadi ya viwanda nchini hairidhishi vinatakiwa viwanda vingi hasa vinavyotegemea malighafi za kilimo na madini. Tena viwanda vikishamili vitasaidia kupunguza tatizo la ajira nchini kwa kiwango kikubwa.

Nisawa kunauwezekano tusiweze kuendesha viwanda vyenye teknolojia kubwa lakini je?tutashidwa kupunguza uagizaji wa mitumba na nguo dalaja la tatu kwa ubora, na kuanzisha viwanda vyandani vya nguo bora kabisa mbona pamba tunalima ya kutosha.! Mafuta yakula, sukali vipuri na magurudumu ya gari je?

Changamoto zingine kama upungufu wa ajira kwa vijana utakao kuja kushuhudiwa ndani ya muongo mmoja na nusu baadae ni kujitakia tu kwa serikali, hivyo dira maalumu inahitajika sasa.

Madini yanayohitajika kwenye ulimwengu wa sasa (mapindizi ya nne ya viwanda) wa magari na treni za umeme, uundwe mpango maalumu wa kutafuta wawekezaji ikiwezekana zitengenezwe bidhaa ziliyokamilika hapahapa nchini. Mfano Lithium hadi kua betiri (batteries) za magari.

Ukiangalia rasilimali za madini ya Lithium, chuma, makaa ya mawe na nasikia kuna Helium ya kutosha, kwa malighafi hizi naona zimeendana na Elon Musk kabisa, tunaweza tukamshawishi aje awekeza tawi la Tesla(terafactory) na utafiti wa anga za juu hapa Tanzania (Space X branch in Tanzania).

=> Ushirikishwaji wa raia katika kutunza na kuendeleza rasilimali za taifa:

Raia wanakua wanafuatilia kwa umakini kabisa rasilimali, miradi inayoendelea mikataba yake ikoje, pamoja na mapato na matumizi yanaenda sawa sawa.? Hii itakuwa kama tu vile raia tunavyoshilikishwa kwenye ulinzi na usalama , utalii na katika utunzaji wa mazingira. Ila hii yasafari hii itakua rahisi kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia hasa katika mawasiliano, tutatumia mitandao ya kijamii kwa mujibu wa sheria serikali inaweza ikaanda jukwaa maalumu pengine hata katika mtandao wa Jamiiforum, watu maalumu au wote wataruhusiwa kuperuzi takwimu mbalimbani na kuhoji au kutoa michango yao.

Hii itaongeza uwajibikaji, uwazi na kupunguza vitendo viovu kama vile ufisadi ubdhilifu rushwa na utoroshwaji wa mali za taifa.

4: HITIMISHO.
Licha ya kuwa na maendeleo ya wastani, Tanzania tumekua na amani mshikamano na umoja tangu uhuru. Ukiachilia mbali jitihada kubwa tulizozichukua kupigania uhuru wetu na wamajirani zetu,Kumtia adabu Iddy Amin Dada na majanga yakiasili yaliyojitokeza huku tukiwa bado taifa changa, hatuna budi kujipongeza na kuzishukuru serikali na viongozi wote wa Jamhuri Ya Muungani wa Tanzania.

#Kazi Iendelee...!
 
Habari wakuu.

Karibuni katika mjadala huu... kama kichwa cha andiko kinavyosema hapo juu;

=>Wewe kama mwananchi unamaoni gani juu ya hali halisi ya uchumi Tanzania?

=>Kwa mtizamo wako unadhani sisi kama taifa huwa tunakwama wapi hadi kuwa na maendeleo haya.

=>Unapendekeza hatua gani zichukuliwe ili tuweze kuimarika/kuendelea kiuchumi.

=>Bila kusahau pongezi, unalipongeza taifa katika nyanja ipi na kwanini.

Kwa maoni zaidi karibuni katika comment section below 👇👇.
 
Habari wakuu.

Karibuni katika mjadala huu... kama kichwa cha andiko kinavyosema hapo juu;

=>Wewe kama mwananchi unamaoni gani juu ya hali halisi ya uchumi Tanzania?

=>Kwa mtizamo wako unadhani sisi kama taifa huwa tunakwama wapi hadi kuwa na maendeleo haya.

=>Unapendekeza hatua gani zichukuliwe ili tuweze kuimarika/kuendelea kiuchumi.

=>Bila kusahau pongezi, unalipongeza taifa katika nyanja ipi na kwanini.

Kwa maoni zaidi karibuni katika comment section below 👇👇.

Very nice topic mkuu...i hope Uongozi Jamii Forums kwenye hili shindano wasiangalie kura pekee bali na quality ya andiko,umezungumza vyema viongozi wakishapata uongozi wanajisahau na kufanya vitendo vya kifisadi,i just think kuwe na chombo cha kuwawajibisha, kiwe kama 'watch dog' kuhakikisha viongozi wanafanya kazi kwa uadilifu
 
Hakika
Very nice topic mkuu...i hope Uongozi Jamii Forums kwenye hili shindano wasiangalie kura pekee bali na quality ya andiko,umezungumza vyema viongozi wakishapata uongozi wanajisahau na kufanya vitendo vya kifisadi,i just think kuwe na chombo cha kuwawajibisha, kiwe kama 'watch dog' kuhakikisha viongozi wanafanya kazi kwa uadilifu
Hakika mkuu... kuwe na utawala wa sheria, asitokee mtu akawa juu ya sheria.

Utawala wa sheria upo ila tu hauna ile nguvu iliyodhamiriwa, vyombo husika vinapaswa kutimiza wajibu wao kwa usawa na haki, tofauti na hapo basi yatahitajika maboresho.
 
1: UTANGULIZI.
Tanzania katika miaka ya hivi karibuni imepata maendeleo mazuri katika nyanja za kisiasa kiuchumi na katika ustawi wa jamii. Ingawa bado nchi inakumbana na changamoto kubwa za kimaendeleo, kama vile rushwa ongezeko kubwa la watu magonjwa na kukosa usawa wa mgawanyo wa mapato nchini. Wakati huo huo kuna fursa mpya zinazaliwa.

Tanzania inasifika kwa kua na rasilimali nyingi, lakini richa ya hayo yote nchi imekosa muunganiko mzuri kati ya rasilimali zilizopo na kiwango cha maendeleo tulichofikia. Ni kivipi? Tuangazie mchanganuo huu kidogo.

=> Rasilimali; huhusisha vitu vyote vinavyopatikana katika mazingira yanayotuzunguka ambavyo vinaweza kutusaidia kukidhi mahitaji yetu. Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali mbalimbali na za kujitosheleza. Mfano; Tanzania ina...;

Ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilomo takribani hekari milioni 44, ila asilimia 33% tu ya hilo eneo ndio hulimwa. Pia tumezungukwa na vyanzo vya maji, bahari mito na mabonde, na maziwa makuu yasiyopungua matano(5).

Inamadini adimu duniani yanayopatikana kwa wingi kama vile Almasi, dhahabu, Tanzanite, ulanga, nikeli, uraniumu, lithium nk. Pia kuna gasi asilia inayokadiliwa kua na ujazo wa futi cubic trilioni 25-30, Kwa mujibu wa PFC Energy.

Vivutio vya utalii vinapatikana kila pembe na katikati ya nchi, hifadhi za taifa zipatazo 22, ambazo kwa ujumla wake zinachukua asilimia 15% ya eneo la nchi ambalo ni sawa na nchi ya Croatia.

Rasilimali watu/nguvu kazi ya taifa inakadiliwa Tanzania inaidadi kubwa ya watu wapatao milioni 61, ambao wanaweza kutumika katika sekta mbalimbali za uzalishaji.

Ina jiografia nzuri iliyokaa kimkakati na kifaida zaidi, kuna bahari inayotumika kusafirisha na kuingizia mizigo wakati huo huo kuna nchi jirani zisizopungua nane(8), kati ya hizo kuna nchi sita(6) zisizokuwa na bahari hivyo kwa namna moja au nyingine zitaitegemea Tanzania katika usafirishaji.

=> Uchumi ni nini; ni namna ambavyo jamii ya nchi husika inaweza kuzichunga/kuzitunza na kuzitenga rasilimali zao adimu kimkakati zaidi ili ziwaletee maendeleo. Kuna uchumi mbalimbali kulingana na rasilimali zilizopo mfano; uchumi wa bluu(blue economy) unatokana na shughuli za majini, uchumi wa viwanda, uchumi wa kilimo , madini, utalii biashara, huduma mbalimbali nk.

=> Maendeleo ni nini; ni mchakato mzima unaepelekea kuimarika ama kufanikiwa kwa uchumi na maisha bora kwa raia(ustawi wa jamii) katika nchi husika. Kwa mfano; kuimarika kwa miundombinu ya mawasiliano na usafirishaji, viwanda, biashara na huduma za kijamii.

Maendeleo endelevu ni maendeleo yalio bora zaidi kwakua yanahakikisha upatikanaji wa mahitaji ya kizazi cha sasa pasipo kuathiri upatikanaji wa hayo mahitaji kwa kizazi cha baadae.

Kutokana na kukua maradufu kwa idadi ya watu inatakiwa hayo maendeleo yaendane na sayansi na teknologia iliyopo kinyume na hapo itakua ni uvunaji wa rasilimali uliokithili na utaharibu sana rasilimali kwa faida kidogo.

Kwa kuangalia mchanganuo huo tunapata mwangaza na kujitasmini sisi kama taifa, Je? tunastahili kuwa katika kiwango hiki cha maendeleo ( cha uchumi wa kati kiwango cha chini), tukilinganisha na utajili wa rasilimali tulizonazo. Hebu tufanye tasmini ndogo isiyohitaji hata milinganyo ya kihesabu.

Je, Tunamiundombinu ya uchukuzi na mawasiliano iliyojitosheleza na imara, kama vile reli balabala madalaja bandari na viwanja vya ndege pia kasi na mtawanjiko wa mikongo ya njia za mawasiliano. Itakayo rahisisha biashara na shughuli nyingine za kijamii na kiuchumi.

Je, Huduma ya elimu nchini imeimarika, yaani elimu bora kwa wote, kuna vitendeakazi vyakutosha, viti vyakutosha, madalasa na je shule zinajitosheleza nchini?.

Je, huduma za afya nchini zimeimalika, vifaatiba na madawa yanapatikana , matabibu vitanda na hospitali zinatosha kanda mbalimbali nchini.

Je, Huduma za maji safi na salama pamoja na umeme vinapatikana kwa uhakika(masaa 24).

Je, Ulinzi na usalama wa raia na mali zao unaridhisha hapa nchini, vitengo vya polisi na zimamoto utendaji wake ukoje wanavitendea kazi vya kisasa.

Bila shaka maendeleo tuliyonayo tokea uhuru (miaka 61) ukilinganisha na rasilimali tulizonazo haviendani (ni mbingu na ardhi). Fikilia nchi kama Korea, Israel au hata Rwanda wangekua na hizi rasilimali, Tanzania tungekua kwenye orodha ya nchi zinazopokea msaada kutoka kwao.

Pia maendeleo tuliyonayo hayaendani na kasi ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia, serikali haina muamko. raia ndio tunawahamasisha kila siku kama vile, kuboresha masuala ya miamala ya kidijitali.

Sasa kama ni hivyo tatizo ni nini/tunakwama wapi.?

2: Sababu Zinazopeleke Kukwama au Kusuasua Kwa Maendeleo Tanzania.

=> Kukosa mfumo madhubuti wa uongozi:

Katika sehemu ya ndani kabisa/kiini cha nchi(sistimu) ilishidwa kufanikisha kuundwa kwa mfumo imara usio teteleka na vuguvugu za kisiasa (vyama mbalimbali). Ilitakiwa nchi kama nchi iwe na misimamo yake halafu hayo matakwa ya ilani za vyama yawe kama mapendekeza tu na sio nchi kutekeleza kwa kegezo kua chama fulani kinaongoza.

Kuna baadhi ya vitengo hasa kitengo cha intelijensia vimekosa weledi yawezekana kuna mamluki waliopenyezwa kwa maslahi ya watu shilika au kampuni binafsi, kama sio sasa wanashidwaje kutoa taarifa mamlaka husika na kwa wakati sahihi nakushinikiza hatua zichukuliwe kwa wahisiwa. Matukio ya ufisadi mkubwa, rushwa, madawa ya kulevya kwanini hatua za makusudi hazichukuliwi kukomesha haya. Laiti kama pesa zilizopotea kwa ufisadi zingetumika kama ilivyopangwa leo hii tusingekua tunahangaika kukatana tozo kwaajili ya ujenzi wa vituo vya afya, tungekua hatua nyingine kabisa. Wananchi tunajitahidi kuchagua viongozi bora ili tupate utawala bora, lakini unazongwazongwa na kupoteza mvuto.

Tuangalie mfano huu unaoendana na asilimia 80% ya watanzania wanaotegemea kilimo (uti wa mgogo wa taifa).

Fikilia kwamba;
•Serikali ==> shamba,
•Wananchi ==> wakulima,
•Viongozi ==> mazao yaliyopo shambani bado ambayo yametokana na wakulima kuchagua mbegu bora kwa kutarajia kupata mazao mengi yenye ubora.

Wakulima wanashauriwa kua makini katika kuandaa shamba na mbegu, mara baada ya kupanda na mimea kumea, magugu huwa yanatokea kusikojulikana, lakini huwa yanakua na mbegu zake ambazo inawezekana zilifika shambani kwa kuletwa na wanyama, upepo, zilizochangamana na mbegu za mazao zilizopandwa na mkulima(seed mimicry), ama zilikuepo tu shambani miaka na miaka(Striga weed seeds).

Kiasili magugu huwa yanakua na nguvu kushinda mazao, yanastawi pasipo hata matunzo yoyote, yakiachwa bila kuondolewa kwa wakati hasa kipindi ambacho mazao yanakaribia kuchanua utakosa kabisa mavuno, huku magugu yakiwa yamesheheni mazao yake.

Ni hivyo hivyo hata kwa wadudu waharibifu, (ukicheka na nyani utavuna mabua).

=> Rushwa/Siasa rushwa (Malpolitics):
Nimatumizi ya nguvu ya dola yanayofanywa na baadhi ya watumishi wa serikali au/na mitandao ya watu wao wa karibu kwa kujipatia au kufanikisha jambo lao binafsi kwa njia isiyo halali. Hapa siajabu ukakuta kiongozi anashilikiana na wafanyabiashara,makampuni makubwa nchini na nnje ya nchi tokea kipindi cha kampeni mpaka anapata madaraka, tutarajie nini hapa? Watakua wananufaika hao wafanyabiashara na makampuni kwa kutekeleza miladi isiyokua na tija kwa taifa bali wao tu.

Kwahiyo rushwa ni adui wa haki na maendeleo katika nyanja zote uchumi,kijamii na kisiasa.

=> Kufifia kwa hari ya uzalendo na uwajibikaji kwa viongozi na raia kwa ujumla (patriotism):
Asilimia kubwa ya viongozi hapa nchini huwa wanakua wazalendo mwanzoni, wakishakaa madalakani mitazamo na misimamo inabadilika hii ni kwasababu wanajitenga na jamii, makazi yao na harakati zao zinafanyika mazingira ya hadhi fulani kila siku, wanakua kwenye obwe la faraja(comfort zone). Hapa siajabu ukakuta wabunge wanajadili mambo muhimu katika hari ya mzaha mzaha na kupitisha vitu ambavyo kwa wananchi ni mkuki, pasipo kupata maoni kwa wananchi hawatastuka kuwa tunawabebesha mizigo mizito wananchi, (aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa).

Tungekuwa wazalendo haya mambo yangekuwa yamerekebishika, viongozi wangetembelea wilaya majimbo na vijiji mbalimbali kijionea hari halisi na kutatua changamoto mbalimbali, na pia wananchi wamekua ni watu wakuiraumu na kuisusia serikali.

=> Kukosa dira ya maendeleo yenye kupewa nguvu na kipaumbele:
Dira ya maendeleo haipewi kipaumbele/uzito wake unaostahili katika utekelezaji wake. Yaani dira ya maendeleo inachukuliwa kama ahadi za kwenye kampeni, itekelezwe isitekelezwe sawa tu.

Tanzania hatuna vipaumbele maalumu katika kujenga uchumi, na ndio maana kila serikali inayoundwa inakuja na sera zake mpya zitakazo tegemea ilani ya chama husika. Kila awamu malengo yanabadilikabadilika kabla hili halijakamilika linaletwa lingine mara kilimo kwanza mara tanzania ya viwanda. Sasa kama taifa kwa mfumo huu ni ngumu kufanikiwa, tunakosa msingi na uchumi wa nchi unakosa muunganiko mzuri. Kuna msemo unasema "Badilisha mbinu/njia za kuyafikia malengo, usibadilishe malengo).

3: Ni Nini Kifanyike Ili Kuinua Uchumi Wa Tanzania Uendane na Rasilimali Zilizopo:

=> Kuimarisha mfumo mzima wa uongozi na utendajiwake wa kazi:

Maboresho zaidi yanahitajika katika sheria na katiba ya nchi, kuwe na kiwango kikubwa cha uwazi haki na utawala wa sheria. Pia kufanyike maboresho makubwa katika vitengo vya ulinzi na usalama hasa kitengo cha intelijensia, hivi vitengo utendaji wake wa kazi unatia shaka. Vichunguzwe je? Kuna watumishi wanaofaa wenye weledi wajuu na wanaoweza kuendana na hii kasi ya sayansi na teknolojia.

Hayo maboresho yataongeza uwajibikaji na uzalendo kwa viongozi na raia na kupunguza vitendo vya kiharifu kama vile rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma kwa wananchi na viongozi kwa ujumla.

=> Kupambana na rushwa na ufisadi kwa nguvu zote:
Hadi kufikia kiwango ambacho hakitaathiri mwenendo wa uchumi wa nchi. Hili litafanikiwa endapo tutakua na uongozi imara, wenye sheria itakayo muwajibisha yeyote pasipo kujali hadhi yake katika jamii. Isiwe kama hili, makosa yanafanywa na raia wa matawi yote ila wanao onekana magelezani ni masikini tu.

Ufisadi umechangi pakubwa mno kwenye kudidimia kimaendeleo nchini, pesa ambayo ilipotea kwenye skendo za ufisadi hapo nyuma ingetatua changamoto za huduma za afya elimu na maji mijini na vijijini kipindi kile, leo hii tungekua tunafanya hatua nyingine za maendeleo za juu zaidi. Inatakiwa haya mambo mabaya yasijirudie tena ili tuweza kusonga mbele, inatakiwa hili swala la ufisadi na rushwa lipewe nguvu ya kisheri ili mali ya umma iwe ya moto kwa fisadi yeyote yaana asiitamani kabisa ili tusonge mbele.

=> Kuandaa dira ya maendeleo ambayo itapewa nguvu/uzito na kipaumbele kwa mujibu wa sheria:
Dira ijumuishe mambo muhimu yenye maslahi mapana kwa taifa ambayo yatakua kama dira au maono, ambapo kabla maamuzi hayajachukuliwa juu ya utekelezaji wa jambo lolote inatakiwa turudi(kurejelea ) katika dira na kuona dira inasemaje? Unakua ndio msingi kupitia huo mambo mengine yanafanyika(Organizing principle). Inatakiwa pia hiyo dira iwe inaweza kunyumbulika ili kuendana na mabadiliko ya rasilimali sayansi na teknolojia,(Architectural thinking).

Dira ambayo itaangazia katika sekta mbalimbali huku kipaumbele kikielekezwa katika tafiti za kisayansi na teknolojia mahususi katika sekta husika kama vile;

sekta ya sayansi na teknolojia: ili tuweze kua na uchumi wenye nguvu na ushindani ni muhimu kujiimalisha katika hii sekta, tuweze kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia kwa kujikita katika tafiti za tiba vyombo vya moto na tehama(wenzetu huko duniani wako kwenye mapindizi ya nne ya viwanda (fourth industrial revolution)).

Je tunaweza kupambana na vita ya kiuchumi, mashambulio yakimtandao, uharifu wa kibiolojia? Tumejipanga vipi na hizi changamoto?

Tuige mfano hata kwa majilani zetu Rwanda kwa hatua wanazopiga wakati huohuo sisi tunaangalia tu nasioni jitihada zozote zikichukuliwa.

Kama ilivyo Israel pale mashariki ya kati inawezekana Rwanda ikawa hivyo huku kwetu kusini mwa jagwa la Sahara hapo baadae, tuchunge sana.

Sekta ya kilimo: bajeti iongezeke maradufu katika sekta ya kilimo ili kuchochea tafiti za mbegu bora kuendana na kanda husika, kuongeza wataalamu wa kilimo wa ngazi ya juu kufanya kilimo kiwe cha kisasa zaidi, harafu viongozi waache siasa kwenye kilimo, kilimo ni sayansi kama sayansi nyingine! Wengi wetu hatujui hilo kwasababu asilimia kubwa ya wakulima wetu wanafanya kilimo cha kienyeni kwa matumizi ya nyumbani. Kwenye kilimo cha kisasa na chenye tija haitakiwi kuharibu kanuni, pembejeo iwe mbegu mbolea au viwatilifu zinatakiwa kutumika kwa kiwango sahihi, mahali husika na kwa wakati sahihi kinyume na hapo kilimo kimekushinda. Ni sawa tu sayansi ya umeme ili taa iwake inatakiwa kuwe na chaji hasi (-) na chanya (+) katika mfatano maalumu ukienda tofauti na hapo taa haiwaki.

Sasa je? Kama kweli kilimo ni uti wa mgongo wa taifa na asilimia 80% ya raia wanategemea kilimo, inakuwaje tena pembejeo hazifiki kwa wakati, wakati huohuo bei ni ghari sana. Sasa kilimo ni uti wa mgongo au unyayo? Maana selikali mnabebwa sana na kilimo ila hambebeki. Asilimia 65% ya mizigo ilivyo safirishwa nje kibiashara ni inatokana na kilimo, pia kilimo kinachangia pato kubwa zaidi kuliko sekta nyingine yoyote ile asilimia 28% ya pato la taifa.

Tanzania haistahili kwenda kujifunza kilimo kwenye nnchi yenye jangwa na ndogo vile(Israel).

Kwahiyo kilimo nako kuwe na muelekeo ili tuweze kujitosheleza kwa chakula na mazao yanayobakia yasafirishwe sokoni pia ni moja ya malighafi viwandani kwa ukuaji wa uchumi.

Sekta ya viwanda:
Viwanda vya ngazi zote dira iangazie huku pia. Idadi ya viwanda nchini hairidhishi vinatakiwa viwanda vingi hasa vinavyotegemea malighafi za kilimo na madini. Tena viwanda vikishamili vitasaidia kupunguza tatizo la ajira nchini kwa kiwango kikubwa.

Nisawa kunauwezekano tusiweze kuendesha viwanda vyenye teknolojia kubwa lakini je?tutashidwa kupunguza uagizaji wa mitumba na nguo dalaja la tatu kwa ubora, na kuanzisha viwanda vyandani vya nguo bora kabisa mbona pamba tunalima ya kutosha.! Mafuta yakula, sukali vipuri na magurudumu ya gari je?

Changamoto zingine kama upungufu wa ajira kwa vijana utakao kuja kushuhudiwa ndani ya muongo mmoja na nusu baadae ni kujitakia tu kwa serikali, hivyo dira maalumu inahitajika sasa.

Madini yanayohitajika kwenye ulimwengu wa sasa (mapindizi ya nne ya viwanda) wa magari na treni za umeme, uundwe mpango maalumu wa kutafuta wawekezaji ikiwezekana zitengenezwe bidhaa ziliyokamilika hapahapa nchini. Mfano Lithium hadi kua betiri (batteries) za magari.

Ukiangalia rasilimali za madini ya Lithium, chuma, makaa ya mawe na nasikia kuna Helium ya kutosha, kwa malighafi hizi naona zimeendana na Elon Musk kabisa, tunaweza tukamshawishi aje awekeza tawi la Tesla(terafactory) na utafiti wa anga za juu hapa Tanzania (Space X branch in Tanzania).

=> Ushirikishwaji wa raia katika kutunza na kuendeleza rasilimali za taifa:

Raia wanakua wanafuatilia kwa umakini kabisa rasilimali, miradi inayoendelea mikataba yake ikoje, pamoja na mapato na matumizi yanaenda sawa sawa.? Hii itakuwa kama tu vile raia tunavyoshilikishwa kwenye ulinzi na usalama , utalii na katika utunzaji wa mazingira. Ila hii yasafari hii itakua rahisi kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia hasa katika mawasiliano, tutatumia mitandao ya kijamii kwa mujibu wa sheria serikali inaweza ikaanda jukwaa maalumu pengine hata katika mtandao wa Jamiiforum, watu maalumu au wote wataruhusiwa kuperuzi takwimu mbalimbani na kuhoji au kutoa michango yao.

Hii itaongeza uwajibikaji, uwazi na kupunguza vitendo viovu kama vile ufisadi ubdhilifu rushwa na utoroshwaji wa mali za taifa.

4: HITIMISHO.
Licha ya kuwa na maendeleo ya wastani, Tanzania tumekua na amani mshikamano na umoja tangu uhuru. Ukiachilia mbali jitihada kubwa tulizozichukua kupigania uhuru wetu na wamajirani zetu,Kumtia adabu Iddy Amin Dada na majanga yakiasili yaliyojitokeza huku tukiwa bado taifa changa, hatuna budi kujipongeza na kuzishukuru serikali na viongozi wote wa Jamhuri Ya Muungani wa Tanzania.

#Kazi Iendelee...!
Andiko lako ni zuri na lina onesha mafanikio na pia linaonesha rsilimali na mambo ya uongozi lipo vizuri. Kura umepata yangu wala sio kificho.
 
Wewe binafsi nini kinakuzuia kuvuna rasilimali zote hizi for your own benefit unaikabidhi serikali which is useless and inefficient?

Wewe kama wewe nini kimekushinda usivune utalii,madini ya helium,etc etc ukafanikiwa kujikusanyia mali zako wewe binafsi?Nini kinazuia yeyote kufanya hili?Hakuna

Tuko watu milioni 60,kila mmoja kwa nafasi yake akavuna rasilimali hizi kwa kiasi anachoweza akajenga mali,kuna haja ya kuitaja serikali popote au kufanya kazi yeyote popote?

Theory unazotoa ni umeiweka serikali at the centre of the equation wananchi umewaweka nje as if hawahusiki which is totally wrong.

Wananchi ndio wanaweza hiyo kazi serikali ikae makaburini huko.
Mkuu nimekuelewa vizuri kabisa,

Sisi wananchi ndio wazalishaji kupitia shughulu mbalimbali za kiuchumi, wakati serikali imejikita sana kutoa huduma muhimu.
Ndio maana wanachukua kodi kwetu.

Na ndivyo inavyotakiwa, kwa dunia ya sasa... na nadhani serikali imejikita huku... kwamba wananchi mmoja mmoja au kampuni binafsi zichangamkie fursa na ziwekeze huko.

Nimeiweka serikali yetu at the center ya hili andiko kwasababu wao ndio waratibu wakuu wa mambo yote kwa namna moja ama nyingine, wao ndio wanaotuwakilisha na matamko yao yananguvu kwa jamii.

Kwaiyo wao kama serikali ndio wanawajibu wa kuandaa mazingira mazuri kwa wawekezaji wa ndani na wanje, katika secta zote iwe kilimo, madini biashara, viwanda utalii nakadharika.

Mfano; kilimo hasa vijijini bado wanalima kienyeji sana (nguvu nyingi utaalamu kidogo sana). Serikali iongeze watalamu wakatoe elimu huko.
 
Mkuu naona unaikataa kabisa serikali pengine kutokana na mwenendo wake hauridhishi kwa namna moja au nyingine... hasa muhimili wa kiutendaji (Executive)
Na ndimo andiko hili limegusia.👇
3: Ni Nini Kifanyike Ili Kuinua Uchumi Wa Tanzania Uendane na Rasilimali Zilizopo:

=> Kuimarisha mfumo mzima wa uongozi na utendajiwake wa kazi:

Maboresho zaidi yanahitajika katika sheria na katiba ya nchi, kuwe na kiwango kikubwa cha uwazi haki na utawala wa sheria. Pia kufanyike maboresho makubwa katika vitengo vya ulinzi na usalama hasa kitengo cha intelijensia, hivi vitengo utendaji wake wa kazi unatia shaka. Vichunguzwe je? Kuna watumishi wanaofaa wenye weledi wajuu na wanaoweza kuendana na hii kasi ya sayansi na teknolojia.

Hakika

Hakika mkuu... kuwe na utawala wa sheria, asitokee mtu akawa juu ya sheria.

Utawala wa sheria upo ila tu hauna ile nguvu iliyodhamiriwa, vyombo husika vinapaswa kutimiza wajibu wao kwa usawa na haki, tofauti na hapo basi yatahitajika maboresho.
 
1: UTANGULIZI.
Tanzania katika miaka ya hivi karibuni imepata maendeleo mazuri katika nyanja za kisiasa kiuchumi na katika ustawi wa jamii. Ingawa bado nchi inakumbana na changamoto kubwa za kimaendeleo, kama vile rushwa ongezeko kubwa la watu magonjwa na kukosa usawa wa mgawanyo wa mapato nchini. Wakati huo huo kuna fursa mpya zinazaliwa.

Tanzania inasifika kwa kua na rasilimali nyingi, lakini richa ya hayo yote nchi imekosa muunganiko mzuri kati ya rasilimali zilizopo na kiwango cha maendeleo tulichofikia. Ni kivipi? Tuangazie mchanganuo huu kidogo.

=> Rasilimali; huhusisha vitu vyote vinavyopatikana katika mazingira yanayotuzunguka ambavyo vinaweza kutusaidia kukidhi mahitaji yetu. Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali mbalimbali na za kujitosheleza. Mfano; Tanzania ina...;

Ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilomo takribani hekari milioni 44, ila asilimia 33% tu ya hilo eneo ndio hulimwa. Pia tumezungukwa na vyanzo vya maji, bahari mito na mabonde, na maziwa makuu yasiyopungua matano(5).

Inamadini adimu duniani yanayopatikana kwa wingi kama vile Almasi, dhahabu, Tanzanite, ulanga, nikeli, uraniumu, lithium nk. Pia kuna gasi asilia inayokadiliwa kua na ujazo wa futi cubic trilioni 25-30, Kwa mujibu wa PFC Energy.

Vivutio vya utalii vinapatikana kila pembe na katikati ya nchi, hifadhi za taifa zipatazo 22, ambazo kwa ujumla wake zinachukua asilimia 15% ya eneo la nchi ambalo ni sawa na nchi ya Croatia.

Rasilimali watu/nguvu kazi ya taifa inakadiliwa Tanzania inaidadi kubwa ya watu wapatao milioni 61, ambao wanaweza kutumika katika sekta mbalimbali za uzalishaji.

Ina jiografia nzuri iliyokaa kimkakati na kifaida zaidi, kuna bahari inayotumika kusafirisha na kuingizia mizigo wakati huo huo kuna nchi jirani zisizopungua nane(8), kati ya hizo kuna nchi sita(6) zisizokuwa na bahari hivyo kwa namna moja au nyingine zitaitegemea Tanzania katika usafirishaji.

=> Uchumi ni nini; ni namna ambavyo jamii ya nchi husika inaweza kuzichunga/kuzitunza na kuzitenga rasilimali zao adimu kimkakati zaidi ili ziwaletee maendeleo. Kuna uchumi mbalimbali kulingana na rasilimali zilizopo mfano; uchumi wa bluu(blue economy) unatokana na shughuli za majini, uchumi wa viwanda, uchumi wa kilimo , madini, utalii biashara, huduma mbalimbali nk.

=> Maendeleo ni nini; ni mchakato mzima unaepelekea kuimarika ama kufanikiwa kwa uchumi na maisha bora kwa raia(ustawi wa jamii) katika nchi husika. Kwa mfano; kuimarika kwa miundombinu ya mawasiliano na usafirishaji, viwanda, biashara na huduma za kijamii.

Maendeleo endelevu ni maendeleo yalio bora zaidi kwakua yanahakikisha upatikanaji wa mahitaji ya kizazi cha sasa pasipo kuathiri upatikanaji wa hayo mahitaji kwa kizazi cha baadae.

Kutokana na kukua maradufu kwa idadi ya watu inatakiwa hayo maendeleo yaendane na sayansi na teknologia iliyopo kinyume na hapo itakua ni uvunaji wa rasilimali uliokithili na utaharibu sana rasilimali kwa faida kidogo.

Kwa kuangalia mchanganuo huo tunapata mwangaza na kujitasmini sisi kama taifa, Je? tunastahili kuwa katika kiwango hiki cha maendeleo ( cha uchumi wa kati kiwango cha chini), tukilinganisha na utajili wa rasilimali tulizonazo. Hebu tufanye tasmini ndogo isiyohitaji hata milinganyo ya kihesabu.

Je, Tunamiundombinu ya uchukuzi na mawasiliano iliyojitosheleza na imara, kama vile reli balabala madalaja bandari na viwanja vya ndege pia kasi na mtawanjiko wa mikongo ya njia za mawasiliano. Itakayo rahisisha biashara na shughuli nyingine za kijamii na kiuchumi.

Je, Huduma ya elimu nchini imeimarika, yaani elimu bora kwa wote, kuna vitendeakazi vyakutosha, viti vyakutosha, madalasa na je shule zinajitosheleza nchini?.

Je, huduma za afya nchini zimeimalika, vifaatiba na madawa yanapatikana , matabibu vitanda na hospitali zinatosha kanda mbalimbali nchini.

Je, Huduma za maji safi na salama pamoja na umeme vinapatikana kwa uhakika(masaa 24).

Je, Ulinzi na usalama wa raia na mali zao unaridhisha hapa nchini, vitengo vya polisi na zimamoto utendaji wake ukoje wanavitendea kazi vya kisasa.

Bila shaka maendeleo tuliyonayo tokea uhuru (miaka 61) ukilinganisha na rasilimali tulizonazo haviendani (ni mbingu na ardhi). Fikilia nchi kama Korea, Israel au hata Rwanda wangekua na hizi rasilimali, Tanzania tungekua kwenye orodha ya nchi zinazopokea msaada kutoka kwao.

Pia maendeleo tuliyonayo hayaendani na kasi ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia, serikali haina muamko. raia ndio tunawahamasisha kila siku kama vile, kuboresha masuala ya miamala ya kidijitali.

Sasa kama ni hivyo tatizo ni nini/tunakwama wapi.?

2: Sababu Zinazopeleke Kukwama au Kusuasua Kwa Maendeleo Tanzania.

=> Kukosa mfumo madhubuti wa uongozi:

Katika sehemu ya ndani kabisa/kiini cha nchi(sistimu) ilishidwa kufanikisha kuundwa kwa mfumo imara usio teteleka na vuguvugu za kisiasa (vyama mbalimbali). Ilitakiwa nchi kama nchi iwe na misimamo yake halafu hayo matakwa ya ilani za vyama yawe kama mapendekeza tu na sio nchi kutekeleza kwa kegezo kua chama fulani kinaongoza.

Kuna baadhi ya vitengo hasa kitengo cha intelijensia vimekosa weledi yawezekana kuna mamluki waliopenyezwa kwa maslahi ya watu shilika au kampuni binafsi, kama sio sasa wanashidwaje kutoa taarifa mamlaka husika na kwa wakati sahihi nakushinikiza hatua zichukuliwe kwa wahisiwa. Matukio ya ufisadi mkubwa, rushwa, madawa ya kulevya kwanini hatua za makusudi hazichukuliwi kukomesha haya. Laiti kama pesa zilizopotea kwa ufisadi zingetumika kama ilivyopangwa leo hii tusingekua tunahangaika kukatana tozo kwaajili ya ujenzi wa vituo vya afya, tungekua hatua nyingine kabisa. Wananchi tunajitahidi kuchagua viongozi bora ili tupate utawala bora, lakini unazongwazongwa na kupoteza mvuto.

Tuangalie mfano huu unaoendana na asilimia 80% ya watanzania wanaotegemea kilimo (uti wa mgogo wa taifa).

Fikilia kwamba;
•Serikali ==> shamba,
•Wananchi ==> wakulima,
•Viongozi ==> mazao yaliyopo shambani bado ambayo yametokana na wakulima kuchagua mbegu bora kwa kutarajia kupata mazao mengi yenye ubora.

Wakulima wanashauriwa kua makini katika kuandaa shamba na mbegu, mara baada ya kupanda na mimea kumea, magugu huwa yanatokea kusikojulikana, lakini huwa yanakua na mbegu zake ambazo inawezekana zilifika shambani kwa kuletwa na wanyama, upepo, zilizochangamana na mbegu za mazao zilizopandwa na mkulima(seed mimicry), ama zilikuepo tu shambani miaka na miaka(Striga weed seeds).

Kiasili magugu huwa yanakua na nguvu kushinda mazao, yanastawi pasipo hata matunzo yoyote, yakiachwa bila kuondolewa kwa wakati hasa kipindi ambacho mazao yanakaribia kuchanua utakosa kabisa mavuno, huku magugu yakiwa yamesheheni mazao yake.

Ni hivyo hivyo hata kwa wadudu waharibifu, (ukicheka na nyani utavuna mabua).

=> Rushwa/Siasa rushwa (Malpolitics):
Nimatumizi ya nguvu ya dola yanayofanywa na baadhi ya watumishi wa serikali au/na mitandao ya watu wao wa karibu kwa kujipatia au kufanikisha jambo lao binafsi kwa njia isiyo halali. Hapa siajabu ukakuta kiongozi anashilikiana na wafanyabiashara,makampuni makubwa nchini na nnje ya nchi tokea kipindi cha kampeni mpaka anapata madaraka, tutarajie nini hapa? Watakua wananufaika hao wafanyabiashara na makampuni kwa kutekeleza miladi isiyokua na tija kwa taifa bali wao tu.

Kwahiyo rushwa ni adui wa haki na maendeleo katika nyanja zote uchumi,kijamii na kisiasa.

=> Kufifia kwa hari ya uzalendo na uwajibikaji kwa viongozi na raia kwa ujumla (patriotism):
Asilimia kubwa ya viongozi hapa nchini huwa wanakua wazalendo mwanzoni, wakishakaa madalakani mitazamo na misimamo inabadilika hii ni kwasababu wanajitenga na jamii, makazi yao na harakati zao zinafanyika mazingira ya hadhi fulani kila siku, wanakua kwenye obwe la faraja(comfort zone). Hapa siajabu ukakuta wabunge wanajadili mambo muhimu katika hari ya mzaha mzaha na kupitisha vitu ambavyo kwa wananchi ni mkuki, pasipo kupata maoni kwa wananchi hawatastuka kuwa tunawabebesha mizigo mizito wananchi, (aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa).

Tungekuwa wazalendo haya mambo yangekuwa yamerekebishika, viongozi wangetembelea wilaya majimbo na vijiji mbalimbali kijionea hari halisi na kutatua changamoto mbalimbali, na pia wananchi wamekua ni watu wakuiraumu na kuisusia serikali.

=> Kukosa dira ya maendeleo yenye kupewa nguvu na kipaumbele:
Dira ya maendeleo haipewi kipaumbele/uzito wake unaostahili katika utekelezaji wake. Yaani dira ya maendeleo inachukuliwa kama ahadi za kwenye kampeni, itekelezwe isitekelezwe sawa tu.

Tanzania hatuna vipaumbele maalumu katika kujenga uchumi, na ndio maana kila serikali inayoundwa inakuja na sera zake mpya zitakazo tegemea ilani ya chama husika. Kila awamu malengo yanabadilikabadilika kabla hili halijakamilika linaletwa lingine mara kilimo kwanza mara tanzania ya viwanda. Sasa kama taifa kwa mfumo huu ni ngumu kufanikiwa, tunakosa msingi na uchumi wa nchi unakosa muunganiko mzuri. Kuna msemo unasema "Badilisha mbinu/njia za kuyafikia malengo, usibadilishe malengo).

3: Ni Nini Kifanyike Ili Kuinua Uchumi Wa Tanzania Uendane na Rasilimali Zilizopo:

=> Kuimarisha mfumo mzima wa uongozi na utendajiwake wa kazi:

Maboresho zaidi yanahitajika katika sheria na katiba ya nchi, kuwe na kiwango kikubwa cha uwazi haki na utawala wa sheria. Pia kufanyike maboresho makubwa katika vitengo vya ulinzi na usalama hasa kitengo cha intelijensia, hivi vitengo utendaji wake wa kazi unatia shaka. Vichunguzwe je? Kuna watumishi wanaofaa wenye weledi wajuu na wanaoweza kuendana na hii kasi ya sayansi na teknolojia.

Hayo maboresho yataongeza uwajibikaji na uzalendo kwa viongozi na raia na kupunguza vitendo vya kiharifu kama vile rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma kwa wananchi na viongozi kwa ujumla.

=> Kupambana na rushwa na ufisadi kwa nguvu zote:
Hadi kufikia kiwango ambacho hakitaathiri mwenendo wa uchumi wa nchi. Hili litafanikiwa endapo tutakua na uongozi imara, wenye sheria itakayo muwajibisha yeyote pasipo kujali hadhi yake katika jamii. Isiwe kama hili, makosa yanafanywa na raia wa matawi yote ila wanao onekana magelezani ni masikini tu.

Ufisadi umechangi pakubwa mno kwenye kudidimia kimaendeleo nchini, pesa ambayo ilipotea kwenye skendo za ufisadi hapo nyuma ingetatua changamoto za huduma za afya elimu na maji mijini na vijijini kipindi kile, leo hii tungekua tunafanya hatua nyingine za maendeleo za juu zaidi. Inatakiwa haya mambo mabaya yasijirudie tena ili tuweza kusonga mbele, inatakiwa hili swala la ufisadi na rushwa lipewe nguvu ya kisheri ili mali ya umma iwe ya moto kwa fisadi yeyote yaana asiitamani kabisa ili tusonge mbele.

=> Kuandaa dira ya maendeleo ambayo itapewa nguvu/uzito na kipaumbele kwa mujibu wa sheria:
Dira ijumuishe mambo muhimu yenye maslahi mapana kwa taifa ambayo yatakua kama dira au maono, ambapo kabla maamuzi hayajachukuliwa juu ya utekelezaji wa jambo lolote inatakiwa turudi(kurejelea ) katika dira na kuona dira inasemaje? Unakua ndio msingi kupitia huo mambo mengine yanafanyika(Organizing principle). Inatakiwa pia hiyo dira iwe inaweza kunyumbulika ili kuendana na mabadiliko ya rasilimali sayansi na teknolojia,(Architectural thinking).

Dira ambayo itaangazia katika sekta mbalimbali huku kipaumbele kikielekezwa katika tafiti za kisayansi na teknolojia mahususi katika sekta husika kama vile;

sekta ya sayansi na teknolojia: ili tuweze kua na uchumi wenye nguvu na ushindani ni muhimu kujiimalisha katika hii sekta, tuweze kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia kwa kujikita katika tafiti za tiba vyombo vya moto na tehama(wenzetu huko duniani wako kwenye mapindizi ya nne ya viwanda (fourth industrial revolution)).

Je tunaweza kupambana na vita ya kiuchumi, mashambulio yakimtandao, uharifu wa kibiolojia? Tumejipanga vipi na hizi changamoto?

Tuige mfano hata kwa majilani zetu Rwanda kwa hatua wanazopiga wakati huohuo sisi tunaangalia tu nasioni jitihada zozote zikichukuliwa.

Kama ilivyo Israel pale mashariki ya kati inawezekana Rwanda ikawa hivyo huku kwetu kusini mwa jagwa la Sahara hapo baadae, tuchunge sana.

Sekta ya kilimo: bajeti iongezeke maradufu katika sekta ya kilimo ili kuchochea tafiti za mbegu bora kuendana na kanda husika, kuongeza wataalamu wa kilimo wa ngazi ya juu kufanya kilimo kiwe cha kisasa zaidi, harafu viongozi waache siasa kwenye kilimo, kilimo ni sayansi kama sayansi nyingine! Wengi wetu hatujui hilo kwasababu asilimia kubwa ya wakulima wetu wanafanya kilimo cha kienyeni kwa matumizi ya nyumbani. Kwenye kilimo cha kisasa na chenye tija haitakiwi kuharibu kanuni, pembejeo iwe mbegu mbolea au viwatilifu zinatakiwa kutumika kwa kiwango sahihi, mahali husika na kwa wakati sahihi kinyume na hapo kilimo kimekushinda. Ni sawa tu sayansi ya umeme ili taa iwake inatakiwa kuwe na chaji hasi (-) na chanya (+) katika mfatano maalumu ukienda tofauti na hapo taa haiwaki.

Sasa je? Kama kweli kilimo ni uti wa mgongo wa taifa na asilimia 80% ya raia wanategemea kilimo, inakuwaje tena pembejeo hazifiki kwa wakati, wakati huohuo bei ni ghari sana. Sasa kilimo ni uti wa mgongo au unyayo? Maana selikali mnabebwa sana na kilimo ila hambebeki. Asilimia 65% ya mizigo ilivyo safirishwa nje kibiashara ni inatokana na kilimo, pia kilimo kinachangia pato kubwa zaidi kuliko sekta nyingine yoyote ile asilimia 28% ya pato la taifa.

Tanzania haistahili kwenda kujifunza kilimo kwenye nnchi yenye jangwa na ndogo vile(Israel).

Kwahiyo kilimo nako kuwe na muelekeo ili tuweze kujitosheleza kwa chakula na mazao yanayobakia yasafirishwe sokoni pia ni moja ya malighafi viwandani kwa ukuaji wa uchumi.

Sekta ya viwanda:
Viwanda vya ngazi zote dira iangazie huku pia. Idadi ya viwanda nchini hairidhishi vinatakiwa viwanda vingi hasa vinavyotegemea malighafi za kilimo na madini. Tena viwanda vikishamili vitasaidia kupunguza tatizo la ajira nchini kwa kiwango kikubwa.

Nisawa kunauwezekano tusiweze kuendesha viwanda vyenye teknolojia kubwa lakini je?tutashidwa kupunguza uagizaji wa mitumba na nguo dalaja la tatu kwa ubora, na kuanzisha viwanda vyandani vya nguo bora kabisa mbona pamba tunalima ya kutosha.! Mafuta yakula, sukali vipuri na magurudumu ya gari je?

Changamoto zingine kama upungufu wa ajira kwa vijana utakao kuja kushuhudiwa ndani ya muongo mmoja na nusu baadae ni kujitakia tu kwa serikali, hivyo dira maalumu inahitajika sasa.

Madini yanayohitajika kwenye ulimwengu wa sasa (mapindizi ya nne ya viwanda) wa magari na treni za umeme, uundwe mpango maalumu wa kutafuta wawekezaji ikiwezekana zitengenezwe bidhaa ziliyokamilika hapahapa nchini. Mfano Lithium hadi kua betiri (batteries) za magari.

Ukiangalia rasilimali za madini ya Lithium, chuma, makaa ya mawe na nasikia kuna Helium ya kutosha, kwa malighafi hizi naona zimeendana na Elon Musk kabisa, tunaweza tukamshawishi aje awekeza tawi la Tesla(terafactory) na utafiti wa anga za juu hapa Tanzania (Space X branch in Tanzania).

=> Ushirikishwaji wa raia katika kutunza na kuendeleza rasilimali za taifa:

Raia wanakua wanafuatilia kwa umakini kabisa rasilimali, miradi inayoendelea mikataba yake ikoje, pamoja na mapato na matumizi yanaenda sawa sawa.? Hii itakuwa kama tu vile raia tunavyoshilikishwa kwenye ulinzi na usalama , utalii na katika utunzaji wa mazingira. Ila hii yasafari hii itakua rahisi kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia hasa katika mawasiliano, tutatumia mitandao ya kijamii kwa mujibu wa sheria serikali inaweza ikaanda jukwaa maalumu pengine hata katika mtandao wa Jamiiforum, watu maalumu au wote wataruhusiwa kuperuzi takwimu mbalimbani na kuhoji au kutoa michango yao.

Hii itaongeza uwajibikaji, uwazi na kupunguza vitendo viovu kama vile ufisadi ubdhilifu rushwa na utoroshwaji wa mali za taifa.

4: HITIMISHO.
Licha ya kuwa na maendeleo ya wastani, Tanzania tumekua na amani mshikamano na umoja tangu uhuru. Ukiachilia mbali jitihada kubwa tulizozichukua kupigania uhuru wetu na wamajirani zetu,Kumtia adabu Iddy Amin Dada na majanga yakiasili yaliyojitokeza huku tukiwa bado taifa changa, hatuna budi kujipongeza na kuzishukuru serikali na viongozi wote wa Jamhuri Ya Muungani wa Tanzania.

#Kazi Iendelee...!
Na pia kupambana na "wawekezaji wanyonyaji" kama wale aliopambana nao JPM, kwani unaweza kufanya hayo yote hapo juu lakini kama kuna mifereji ya kutolea utajiri wetu - kwa namna ya haya mabepari yanayojiita mawekezaji - TUTAKWAMA TU!
 
Kuiweka serikali kwa centre hapo ndio mnakosea....

Serikali ni kusimamia sheria mlizopangiana kama jamii jinsi ya kuvuna hizo mali,basi!

Centre ya kila kitu ni wananchi na ubunifu wao jinsi ya kugeuza hizo mali into real mali....

Bila akili na ubunifu wa wananchi mmoja mmoja kutumia labour na akili zao na jasho lao kugeuza hili mali mfu kua pesa,ndugu yangu serikali ni mavi

Serikali imejengwa na watu wasio na akili kama wewe,hawana hela kama wewe,wana njaa ya mali kama wewe,hawajui kujenga mali kama wewe...then wewe kukaa na kudhani hawa wapumbavu wanaweza kukusaidia akili yeyote ni kusubiri meli nchi kavu.

Serikali-Parliement ndio ina kazi ya kujenga hizo sera na sheria tulizokubaliana tuzifuate wakati tunavuna hizi mali mfu kua mali halisi ya kifedha kumnufaisha mmoja mmoja kutokana na nguvu zake binafsi

Serikali-Executive ni kusimamia hizo sheria hapo juu tu basi....Ila cha ajabu Serikali-Executive ndio ina matatizo na ndio inadhani ipo juu ya kila mwanadamu ndani ya hii nchi,hivyo wao ndio wanatumia ubongo zao kuamua binafsi yao nani afanye nini na kwa upendeleo kiasi gani....Ndio maana tunataka katiba mpya

Serikali-Mahakama ndio ipitishe hukumu kwa wale wote wasiofuata zile sheria tulizokubaliana..Ila ndio imevamiwa na kuendeshwa na Serikali-Executive,hivyo hakuna la maana hapo.Tunataka katiba mpya

Kilimo cha kienyeji,mwananchi ameamua kulima kwa kienyeji,wewe utamzuia au kumpangia kama nani?

Hana hela ya kulima kisasa,wewe kama nani umpangie?

Serikali ilete wataalamu,hivi serikali ina kiwanda cha kujenga wataalamu wa jambo lolote dunia hii?

Mwananchi hataki kusomea kilimo,utamlazimisha?Hao wataalamu unaodhani serikali inakaa tu inawajenga from nowhere itawapatia wapi?

Na hao wataalamu wakija,wanatoa utaalamu bure kwa wananchi kwani?Mwananchi pays for everything,msije kusema serikali "imesaidia" kwa kuleta wataalamu..Hakuna kitu kama hicho

Ukiona wataalamu kwenye nchi,ni wananchi wenyewe wameamua kusomea huo utaalamu kwa juhudi zao binafsi na kulipa ada kwa jasho lao na kuamua kwa utashi wao kwenda kusomea huo utaalamu wao kwa mioyo yao na hawajatumwa na mtu...Sifa zote apewe mwananchi na sio serikali...Serikali haina nafasi popote hapo..Serikali ni infact useless
Naunga hoja kua katika harakati zako za kiutaftaji usiitegemee serikali, we pambana unavyoweza wewe ikitokea siku sera zake zimekuangukia Kwenye secta yako sawa, siku zikikukandamiza we chapa mwendo.

=>Watalamu wa kilimo wapo kuanzia mimea mifugo misitu nk labda serikali haijatoa kipaumbele katika kilimo hasa mkulima mdogo(pengine wamewaona hawana impact), imewaachia asasi za kiraia. Inawezekana kipaumbele kimekosekana kutokana na bajeti ndogo hivyo imeelekezwa sehemu nyingine.

=>Wakulima ndio ananguvu ya kutekeleza kilimo kwa maana kwamba garama zote zinamhusu yeye lakini serikali ipo nyuma ya pazia (inahusika indirectly)

•Wao ndio wanatoa vibari vya uagizaji pembejeo(Mbolea, viwatirifu, na zana nyingine), hivyo sisi wananchi tunategemea ituletee mahitaji husika maali husika kwa wakati sahihi.
•Wanaandaa sera kwenye mazao ya kimkakati.
•Vyama vya ushirika kupitia wizara ya kilimo.
•Masoko nje ya nchi michakato mizima ya mipakani.
•wanatafuta masoko kupitia mabalozi nchi mbalimbali.
 
Ni ngumu kufanya jambo bila serikali, unalima shambani bei wanapanga wao,,, ingekua serikali ni mkusanyiko wa viumbe wengine kutoka Jupiter huko labda ingekua rahisi kufanya nao kazi,sio hawa wanaojali interests zao, leo unataka kuvuna sijui helium unapeleka wazo lako wakubwa wanaangalia wana benefit vipi personally kwanza ndio wakuruhusu,,,nchi ngumu hii
 
1: UTANGULIZI.
Tanzania katika miaka ya hivi karibuni imepata maendeleo mazuri katika nyanja za kisiasa kiuchumi na katika ustawi wa jamii. Ingawa bado nchi inakumbana na changamoto kubwa za kimaendeleo, kama vile rushwa ongezeko kubwa la watu magonjwa na kukosa usawa wa mgawanyo wa mapato nchini. Wakati huo huo kuna fursa mpya zinazaliwa.

Tanzania inasifika kwa kua na rasilimali nyingi, lakini richa ya hayo yote nchi imekosa muunganiko mzuri kati ya rasilimali zilizopo na kiwango cha maendeleo tulichofikia. Ni kivipi? Tuangazie mchanganuo huu kidogo.

=> Rasilimali; huhusisha vitu vyote vinavyopatikana katika mazingira yanayotuzunguka ambavyo vinaweza kutusaidia kukidhi mahitaji yetu. Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali mbalimbali na za kujitosheleza. Mfano; Tanzania ina...;

Ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilomo takribani hekari milioni 44, ila asilimia 33% tu ya hilo eneo ndio hulimwa. Pia tumezungukwa na vyanzo vya maji, bahari mito na mabonde, na maziwa makuu yasiyopungua matano(5).

Inamadini adimu duniani yanayopatikana kwa wingi kama vile Almasi, dhahabu, Tanzanite, ulanga, nikeli, uraniumu, lithium nk. Pia kuna gasi asilia inayokadiliwa kua na ujazo wa futi cubic trilioni 25-30, Kwa mujibu wa PFC Energy.

Vivutio vya utalii vinapatikana kila pembe na katikati ya nchi, hifadhi za taifa zipatazo 22, ambazo kwa ujumla wake zinachukua asilimia 15% ya eneo la nchi ambalo ni sawa na nchi ya Croatia.

Rasilimali watu/nguvu kazi ya taifa inakadiliwa Tanzania inaidadi kubwa ya watu wapatao milioni 61, ambao wanaweza kutumika katika sekta mbalimbali za uzalishaji.

Ina jiografia nzuri iliyokaa kimkakati na kifaida zaidi, kuna bahari inayotumika kusafirisha na kuingizia mizigo wakati huo huo kuna nchi jirani zisizopungua nane(8), kati ya hizo kuna nchi sita(6) zisizokuwa na bahari hivyo kwa namna moja au nyingine zitaitegemea Tanzania katika usafirishaji.

=> Uchumi ni nini; ni namna ambavyo jamii ya nchi husika inaweza kuzichunga/kuzitunza na kuzitenga rasilimali zao adimu kimkakati zaidi ili ziwaletee maendeleo. Kuna uchumi mbalimbali kulingana na rasilimali zilizopo mfano; uchumi wa bluu(blue economy) unatokana na shughuli za majini, uchumi wa viwanda, uchumi wa kilimo , madini, utalii biashara, huduma mbalimbali nk.

=> Maendeleo ni nini; ni mchakato mzima unaepelekea kuimarika ama kufanikiwa kwa uchumi na maisha bora kwa raia(ustawi wa jamii) katika nchi husika. Kwa mfano; kuimarika kwa miundombinu ya mawasiliano na usafirishaji, viwanda, biashara na huduma za kijamii.

Maendeleo endelevu ni maendeleo yalio bora zaidi kwakua yanahakikisha upatikanaji wa mahitaji ya kizazi cha sasa pasipo kuathiri upatikanaji wa hayo mahitaji kwa kizazi cha baadae.

Kutokana na kukua maradufu kwa idadi ya watu inatakiwa hayo maendeleo yaendane na sayansi na teknologia iliyopo kinyume na hapo itakua ni uvunaji wa rasilimali uliokithili na utaharibu sana rasilimali kwa faida kidogo.

Kwa kuangalia mchanganuo huo tunapata mwangaza na kujitasmini sisi kama taifa, Je? tunastahili kuwa katika kiwango hiki cha maendeleo ( cha uchumi wa kati kiwango cha chini), tukilinganisha na utajili wa rasilimali tulizonazo. Hebu tufanye tasmini ndogo isiyohitaji hata milinganyo ya kihesabu.

Je, Tunamiundombinu ya uchukuzi na mawasiliano iliyojitosheleza na imara, kama vile reli balabala madalaja bandari na viwanja vya ndege pia kasi na mtawanjiko wa mikongo ya njia za mawasiliano. Itakayo rahisisha biashara na shughuli nyingine za kijamii na kiuchumi.

Je, Huduma ya elimu nchini imeimarika, yaani elimu bora kwa wote, kuna vitendeakazi vyakutosha, viti vyakutosha, madalasa na je shule zinajitosheleza nchini?.

Je, huduma za afya nchini zimeimalika, vifaatiba na madawa yanapatikana , matabibu vitanda na hospitali zinatosha kanda mbalimbali nchini.

Je, Huduma za maji safi na salama pamoja na umeme vinapatikana kwa uhakika(masaa 24).

Je, Ulinzi na usalama wa raia na mali zao unaridhisha hapa nchini, vitengo vya polisi na zimamoto utendaji wake ukoje wanavitendea kazi vya kisasa.

Bila shaka maendeleo tuliyonayo tokea uhuru (miaka 61) ukilinganisha na rasilimali tulizonazo haviendani (ni mbingu na ardhi). Fikilia nchi kama Korea, Israel au hata Rwanda wangekua na hizi rasilimali, Tanzania tungekua kwenye orodha ya nchi zinazopokea msaada kutoka kwao.

Pia maendeleo tuliyonayo hayaendani na kasi ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia, serikali haina muamko. raia ndio tunawahamasisha kila siku kama vile, kuboresha masuala ya miamala ya kidijitali.

Sasa kama ni hivyo tatizo ni nini/tunakwama wapi.?

2: Sababu Zinazopeleke Kukwama au Kusuasua Kwa Maendeleo Tanzania.

=> Kukosa mfumo madhubuti wa uongozi:

Katika sehemu ya ndani kabisa/kiini cha nchi(sistimu) ilishidwa kufanikisha kuundwa kwa mfumo imara usio teteleka na vuguvugu za kisiasa (vyama mbalimbali). Ilitakiwa nchi kama nchi iwe na misimamo yake halafu hayo matakwa ya ilani za vyama yawe kama mapendekeza tu na sio nchi kutekeleza kwa kegezo kua chama fulani kinaongoza.

Kuna baadhi ya vitengo hasa kitengo cha intelijensia vimekosa weledi yawezekana kuna mamluki waliopenyezwa kwa maslahi ya watu shilika au kampuni binafsi, kama sio sasa wanashidwaje kutoa taarifa mamlaka husika na kwa wakati sahihi nakushinikiza hatua zichukuliwe kwa wahisiwa. Matukio ya ufisadi mkubwa, rushwa, madawa ya kulevya kwanini hatua za makusudi hazichukuliwi kukomesha haya. Laiti kama pesa zilizopotea kwa ufisadi zingetumika kama ilivyopangwa leo hii tusingekua tunahangaika kukatana tozo kwaajili ya ujenzi wa vituo vya afya, tungekua hatua nyingine kabisa. Wananchi tunajitahidi kuchagua viongozi bora ili tupate utawala bora, lakini unazongwazongwa na kupoteza mvuto.

Tuangalie mfano huu unaoendana na asilimia 80% ya watanzania wanaotegemea kilimo (uti wa mgogo wa taifa).

Fikilia kwamba;
•Serikali ==> shamba,
•Wananchi ==> wakulima,
•Viongozi ==> mazao yaliyopo shambani bado ambayo yametokana na wakulima kuchagua mbegu bora kwa kutarajia kupata mazao mengi yenye ubora.

Wakulima wanashauriwa kua makini katika kuandaa shamba na mbegu, mara baada ya kupanda na mimea kumea, magugu huwa yanatokea kusikojulikana, lakini huwa yanakua na mbegu zake ambazo inawezekana zilifika shambani kwa kuletwa na wanyama, upepo, zilizochangamana na mbegu za mazao zilizopandwa na mkulima(seed mimicry), ama zilikuepo tu shambani miaka na miaka(Striga weed seeds).

Kiasili magugu huwa yanakua na nguvu kushinda mazao, yanastawi pasipo hata matunzo yoyote, yakiachwa bila kuondolewa kwa wakati hasa kipindi ambacho mazao yanakaribia kuchanua utakosa kabisa mavuno, huku magugu yakiwa yamesheheni mazao yake.

Ni hivyo hivyo hata kwa wadudu waharibifu, (ukicheka na nyani utavuna mabua).

=> Rushwa/Siasa rushwa (Malpolitics):
Nimatumizi ya nguvu ya dola yanayofanywa na baadhi ya watumishi wa serikali au/na mitandao ya watu wao wa karibu kwa kujipatia au kufanikisha jambo lao binafsi kwa njia isiyo halali. Hapa siajabu ukakuta kiongozi anashilikiana na wafanyabiashara,makampuni makubwa nchini na nnje ya nchi tokea kipindi cha kampeni mpaka anapata madaraka, tutarajie nini hapa? Watakua wananufaika hao wafanyabiashara na makampuni kwa kutekeleza miladi isiyokua na tija kwa taifa bali wao tu.

Kwahiyo rushwa ni adui wa haki na maendeleo katika nyanja zote uchumi,kijamii na kisiasa.

=> Kufifia kwa hari ya uzalendo na uwajibikaji kwa viongozi na raia kwa ujumla (patriotism):
Asilimia kubwa ya viongozi hapa nchini huwa wanakua wazalendo mwanzoni, wakishakaa madalakani mitazamo na misimamo inabadilika hii ni kwasababu wanajitenga na jamii, makazi yao na harakati zao zinafanyika mazingira ya hadhi fulani kila siku, wanakua kwenye obwe la faraja(comfort zone). Hapa siajabu ukakuta wabunge wanajadili mambo muhimu katika hari ya mzaha mzaha na kupitisha vitu ambavyo kwa wananchi ni mkuki, pasipo kupata maoni kwa wananchi hawatastuka kuwa tunawabebesha mizigo mizito wananchi, (aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa).

Tungekuwa wazalendo haya mambo yangekuwa yamerekebishika, viongozi wangetembelea wilaya majimbo na vijiji mbalimbali kijionea hari halisi na kutatua changamoto mbalimbali, na pia wananchi wamekua ni watu wakuiraumu na kuisusia serikali.

=> Kukosa dira ya maendeleo yenye kupewa nguvu na kipaumbele:
Dira ya maendeleo haipewi kipaumbele/uzito wake unaostahili katika utekelezaji wake. Yaani dira ya maendeleo inachukuliwa kama ahadi za kwenye kampeni, itekelezwe isitekelezwe sawa tu.

Tanzania hatuna vipaumbele maalumu katika kujenga uchumi, na ndio maana kila serikali inayoundwa inakuja na sera zake mpya zitakazo tegemea ilani ya chama husika. Kila awamu malengo yanabadilikabadilika kabla hili halijakamilika linaletwa lingine mara kilimo kwanza mara tanzania ya viwanda. Sasa kama taifa kwa mfumo huu ni ngumu kufanikiwa, tunakosa msingi na uchumi wa nchi unakosa muunganiko mzuri. Kuna msemo unasema "Badilisha mbinu/njia za kuyafikia malengo, usibadilishe malengo).

3: Ni Nini Kifanyike Ili Kuinua Uchumi Wa Tanzania Uendane na Rasilimali Zilizopo:

=> Kuimarisha mfumo mzima wa uongozi na utendajiwake wa kazi:

Maboresho zaidi yanahitajika katika sheria na katiba ya nchi, kuwe na kiwango kikubwa cha uwazi haki na utawala wa sheria. Pia kufanyike maboresho makubwa katika vitengo vya ulinzi na usalama hasa kitengo cha intelijensia, hivi vitengo utendaji wake wa kazi unatia shaka. Vichunguzwe je? Kuna watumishi wanaofaa wenye weledi wajuu na wanaoweza kuendana na hii kasi ya sayansi na teknolojia.

Hayo maboresho yataongeza uwajibikaji na uzalendo kwa viongozi na raia na kupunguza vitendo vya kiharifu kama vile rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma kwa wananchi na viongozi kwa ujumla.

=> Kupambana na rushwa na ufisadi kwa nguvu zote:
Hadi kufikia kiwango ambacho hakitaathiri mwenendo wa uchumi wa nchi. Hili litafanikiwa endapo tutakua na uongozi imara, wenye sheria itakayo muwajibisha yeyote pasipo kujali hadhi yake katika jamii. Isiwe kama hili, makosa yanafanywa na raia wa matawi yote ila wanao onekana magelezani ni masikini tu.

Ufisadi umechangi pakubwa mno kwenye kudidimia kimaendeleo nchini, pesa ambayo ilipotea kwenye skendo za ufisadi hapo nyuma ingetatua changamoto za huduma za afya elimu na maji mijini na vijijini kipindi kile, leo hii tungekua tunafanya hatua nyingine za maendeleo za juu zaidi. Inatakiwa haya mambo mabaya yasijirudie tena ili tuweza kusonga mbele, inatakiwa hili swala la ufisadi na rushwa lipewe nguvu ya kisheri ili mali ya umma iwe ya moto kwa fisadi yeyote yaana asiitamani kabisa ili tusonge mbele.

=> Kuandaa dira ya maendeleo ambayo itapewa nguvu/uzito na kipaumbele kwa mujibu wa sheria:
Dira ijumuishe mambo muhimu yenye maslahi mapana kwa taifa ambayo yatakua kama dira au maono, ambapo kabla maamuzi hayajachukuliwa juu ya utekelezaji wa jambo lolote inatakiwa turudi(kurejelea ) katika dira na kuona dira inasemaje? Unakua ndio msingi kupitia huo mambo mengine yanafanyika(Organizing principle). Inatakiwa pia hiyo dira iwe inaweza kunyumbulika ili kuendana na mabadiliko ya rasilimali sayansi na teknolojia,(Architectural thinking).

Dira ambayo itaangazia katika sekta mbalimbali huku kipaumbele kikielekezwa katika tafiti za kisayansi na teknolojia mahususi katika sekta husika kama vile;

sekta ya sayansi na teknolojia: ili tuweze kua na uchumi wenye nguvu na ushindani ni muhimu kujiimalisha katika hii sekta, tuweze kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia kwa kujikita katika tafiti za tiba vyombo vya moto na tehama(wenzetu huko duniani wako kwenye mapindizi ya nne ya viwanda (fourth industrial revolution)).

Je tunaweza kupambana na vita ya kiuchumi, mashambulio yakimtandao, uharifu wa kibiolojia? Tumejipanga vipi na hizi changamoto?

Tuige mfano hata kwa majilani zetu Rwanda kwa hatua wanazopiga wakati huohuo sisi tunaangalia tu nasioni jitihada zozote zikichukuliwa.

Kama ilivyo Israel pale mashariki ya kati inawezekana Rwanda ikawa hivyo huku kwetu kusini mwa jagwa la Sahara hapo baadae, tuchunge sana.

Sekta ya kilimo: bajeti iongezeke maradufu katika sekta ya kilimo ili kuchochea tafiti za mbegu bora kuendana na kanda husika, kuongeza wataalamu wa kilimo wa ngazi ya juu kufanya kilimo kiwe cha kisasa zaidi, harafu viongozi waache siasa kwenye kilimo, kilimo ni sayansi kama sayansi nyingine! Wengi wetu hatujui hilo kwasababu asilimia kubwa ya wakulima wetu wanafanya kilimo cha kienyeni kwa matumizi ya nyumbani. Kwenye kilimo cha kisasa na chenye tija haitakiwi kuharibu kanuni, pembejeo iwe mbegu mbolea au viwatilifu zinatakiwa kutumika kwa kiwango sahihi, mahali husika na kwa wakati sahihi kinyume na hapo kilimo kimekushinda. Ni sawa tu sayansi ya umeme ili taa iwake inatakiwa kuwe na chaji hasi (-) na chanya (+) katika mfatano maalumu ukienda tofauti na hapo taa haiwaki.

Sasa je? Kama kweli kilimo ni uti wa mgongo wa taifa na asilimia 80% ya raia wanategemea kilimo, inakuwaje tena pembejeo hazifiki kwa wakati, wakati huohuo bei ni ghari sana. Sasa kilimo ni uti wa mgongo au unyayo? Maana selikali mnabebwa sana na kilimo ila hambebeki. Asilimia 65% ya mizigo ilivyo safirishwa nje kibiashara ni inatokana na kilimo, pia kilimo kinachangia pato kubwa zaidi kuliko sekta nyingine yoyote ile asilimia 28% ya pato la taifa.

Tanzania haistahili kwenda kujifunza kilimo kwenye nnchi yenye jangwa na ndogo vile(Israel).

Kwahiyo kilimo nako kuwe na muelekeo ili tuweze kujitosheleza kwa chakula na mazao yanayobakia yasafirishwe sokoni pia ni moja ya malighafi viwandani kwa ukuaji wa uchumi.

Sekta ya viwanda:
Viwanda vya ngazi zote dira iangazie huku pia. Idadi ya viwanda nchini hairidhishi vinatakiwa viwanda vingi hasa vinavyotegemea malighafi za kilimo na madini. Tena viwanda vikishamili vitasaidia kupunguza tatizo la ajira nchini kwa kiwango kikubwa.

Nisawa kunauwezekano tusiweze kuendesha viwanda vyenye teknolojia kubwa lakini je?tutashidwa kupunguza uagizaji wa mitumba na nguo dalaja la tatu kwa ubora, na kuanzisha viwanda vyandani vya nguo bora kabisa mbona pamba tunalima ya kutosha.! Mafuta yakula, sukali vipuri na magurudumu ya gari je?

Changamoto zingine kama upungufu wa ajira kwa vijana utakao kuja kushuhudiwa ndani ya muongo mmoja na nusu baadae ni kujitakia tu kwa serikali, hivyo dira maalumu inahitajika sasa.

Madini yanayohitajika kwenye ulimwengu wa sasa (mapindizi ya nne ya viwanda) wa magari na treni za umeme, uundwe mpango maalumu wa kutafuta wawekezaji ikiwezekana zitengenezwe bidhaa ziliyokamilika hapahapa nchini. Mfano Lithium hadi kua betiri (batteries) za magari.

Ukiangalia rasilimali za madini ya Lithium, chuma, makaa ya mawe na nasikia kuna Helium ya kutosha, kwa malighafi hizi naona zimeendana na Elon Musk kabisa, tunaweza tukamshawishi aje awekeza tawi la Tesla(terafactory) na utafiti wa anga za juu hapa Tanzania (Space X branch in Tanzania).

=> Ushirikishwaji wa raia katika kutunza na kuendeleza rasilimali za taifa:

Raia wanakua wanafuatilia kwa umakini kabisa rasilimali, miradi inayoendelea mikataba yake ikoje, pamoja na mapato na matumizi yanaenda sawa sawa.? Hii itakuwa kama tu vile raia tunavyoshilikishwa kwenye ulinzi na usalama , utalii na katika utunzaji wa mazingira. Ila hii yasafari hii itakua rahisi kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia hasa katika mawasiliano, tutatumia mitandao ya kijamii kwa mujibu wa sheria serikali inaweza ikaanda jukwaa maalumu pengine hata katika mtandao wa Jamiiforum, watu maalumu au wote wataruhusiwa kuperuzi takwimu mbalimbani na kuhoji au kutoa michango yao.

Hii itaongeza uwajibikaji, uwazi na kupunguza vitendo viovu kama vile ufisadi ubdhilifu rushwa na utoroshwaji wa mali za taifa.

4: HITIMISHO.
Licha ya kuwa na maendeleo ya wastani, Tanzania tumekua na amani mshikamano na umoja tangu uhuru. Ukiachilia mbali jitihada kubwa tulizozichukua kupigania uhuru wetu na wamajirani zetu,Kumtia adabu Iddy Amin Dada na majanga yakiasili yaliyojitokeza huku tukiwa bado taifa changa, hatuna budi kujipongeza na kuzishukuru serikali na viongozi wote wa Jamhuri Ya Muungani wa Tanzania.

#Kazi Iendelee...!
Kwa viongozi wabovu tunaolazimishwa kuwa nao tunastahili kuwa na maendeleo tuliyonayo.
 
Na pia kupambana na "wawekezaji wanyonyaji" kama wale aliopambana nao JPM, kwani unaweza kufanya hayo yote hapo juu lakini kama kuna mifereji ya kutolea utajiri wetu - kwa namna ya haya mabepari yanayojiita mawekezaji - TUTAKWAMA TU!
Katika hili tutahakikisha tunatumia mitandao ya kijamii kuwasanua na kuwashinikiza serikali wafuatilie mradi flani kua unashida (kunaupigaji unafanyika)

Kama ni serikali yenyewe inaleta ufisadi tutaitaka iwajike...
Wakati huo kunakua na mabolesho ya sheria na katiba iliyojikita kwenye utawala wa sheria na haki.
=> Ushirikishwaji wa raia katika kutunza na kuendeleza rasilimali za taifa:

Raia wanakua wanafuatilia kwa umakini kabisa rasilimali, miradi inayoendelea mikataba yake ikoje, pamoja na mapato na matumizi yanaenda sawa sawa.? Hii itakuwa kama tu vile raia tunavyoshilikishwa kwenye ulinzi na usalama , utalii na katika utunzaji wa mazingira. Ila hii yasafari hii itakua rahisi kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia hasa katika mawasiliano, tutatumia mitandao ya kijamii kwa mujibu wa sheria serikali inaweza ikaanda jukwaa maalumu pengine hata katika mtandao wa Jamiiforum, watu maalumu au wote wataruhusiwa kuperuzi takwimu mbalimbani na kuhoji au kutoa michango yao.

Hii itaongeza uwajibikaji, uwazi na kupunguza vitendo viovu kama vile ufisadi ubdhilifu rushwa na utoroshwaji wa mali za taifa.
 
Kwa viongozi wabovu tunaolazimishwa kuwa nao tunastahili kuwa na maendeleo tuliyonayo.
Mkuu bila shaka unahitaji mabadiliko, we unapendekeza kifanyike kipi au yapi tuweze kuchangamka zaidi kiuchumi,

😂😂😂Hata kimuonekana maana hali ya sasa wengi tumenuna. Tumepoa na tunaboa.
 
Mkuu

Serikali hasa executive ni tatizo kubwa

Kila serikali inachofanya ni opposite na flow ya mfanyabiashara...serikali kazi yake ni kuweka hindrance kwenye kila kitu mfanyabiashara au mkulima anachofanya kwenda mbele:

1)Vibali ni aina ya hindrance
2)Kodi ni aina ya hindrance
3)Border control ni aina ya hindrance
4)Kupangia watu mazao yao bei ni hindrance
5)Kujenga banning lists ni hindrance tupu
6)Leseni ni hindrance tupu
7)etc

Yaani serikali juhudi zake na kila kitu inachofanya kila siku kwenye to-do list yake ni business of stopping or slowing down au killing wafanyabiashara au wakulima....hakuna kingine
Mhuu aloo umeongea vitu vinavyogusa neva za ubongo🤔, ni ukweli kabisa.

Ila ndio mfumo ilivyo serikali inajipatia mapato kwa maendeleo ya taifa huku muda huohuo ina-regulate (stabilize) bei ya bidhaa, na kuhakikisha chakula kinajitosheleza nchini (Food security)

Ila awamu hii wamebana sana mfano mbolea kupanda bei.

😂😁😁Serikali ya Saud Arabia ilinishangaza kidogo wakati sisi tozo zinapanda wao wanawalipia vijana wao wakaoe.
 
Ni ngumu kufanya jambo bila serikali, unalima shambani bei wanapanga wao,,, ingekua serikali ni mkusanyiko wa viumbe wengine kutoka Jupiter huko labda ingekua rahisi kufanya nao kazi,sio hawa wanaojali interests zao, leo unataka kuvuna sijui helium unapeleka wazo lako wakubwa wanaangalia wana benefit vipi personally kwanza ndio wakuruhusu,,,nchi ngumu hii
Kwakweli...! Ukifikilia unagundu kua serikali sio mashine wala sio malaika bali ni watu kama watu wengine na wanamazaifu, matamanio, shida ndio kila mtu anazo.

=>Ufisadi utakuwepo
=>Mikataba mibovu haitakosa(hapa muwekezaji akitoa tu fungu nene basi wananchi tumepigwa, kama ni anawekeza kwenye madini au kilimo wananchi wa hali ya chini mtatimuliwa kwa buduki, tayari haki hamna apo.
=> utoloshaji wa madini na biashara nyingine haramu utakuepo tu .

Tulitambua haya yote ndio maana zikaanzishwa sheria na katika. Sasa kama hazifuatwi ipasavyo. Hilo ni tatizo kutakosekana haki, na tutashidwa kwenye mambo mengi.

Hivyo basi watumishi wa serikali wafuate sheria kama zinamapungufu zilekebishwe asitokee mtu akawa juu ya sheria tena.
 
1: UTANGULIZI.
Tanzania katika miaka ya hivi karibuni imepata maendeleo mazuri katika nyanja za kisiasa kiuchumi na katika ustawi wa jamii. Ingawa bado nchi inakumbana na changamoto kubwa za kimaendeleo, kama vile rushwa ongezeko kubwa la watu magonjwa na kukosa usawa wa mgawanyo wa mapato nchini. Wakati huo huo kuna fursa mpya zinazaliwa.

Tanzania inasifika kwa kua na rasilimali nyingi, lakini richa ya hayo yote nchi imekosa muunganiko mzuri kati ya rasilimali zilizopo na kiwango cha maendeleo tulichofikia. Ni kivipi? Tuangazie mchanganuo huu kidogo.

=> Rasilimali; huhusisha vitu vyote vinavyopatikana katika mazingira yanayotuzunguka ambavyo vinaweza kutusaidia kukidhi mahitaji yetu. Tanzania imebarikiwa kuwa na rasilimali mbalimbali na za kujitosheleza. Mfano; Tanzania ina...;

Ardhi yenye rutuba inayofaa kwa kilomo takribani hekari milioni 44, ila asilimia 33% tu ya hilo eneo ndio hulimwa. Pia tumezungukwa na vyanzo vya maji, bahari mito na mabonde, na maziwa makuu yasiyopungua matano(5).

Inamadini adimu duniani yanayopatikana kwa wingi kama vile Almasi, dhahabu, Tanzanite, ulanga, nikeli, uraniumu, lithium nk. Pia kuna gasi asilia inayokadiliwa kua na ujazo wa futi cubic trilioni 25-30, Kwa mujibu wa PFC Energy.

Vivutio vya utalii vinapatikana kila pembe na katikati ya nchi, hifadhi za taifa zipatazo 22, ambazo kwa ujumla wake zinachukua asilimia 15% ya eneo la nchi ambalo ni sawa na nchi ya Croatia.

Rasilimali watu/nguvu kazi ya taifa inakadiliwa Tanzania inaidadi kubwa ya watu wapatao milioni 61, ambao wanaweza kutumika katika sekta mbalimbali za uzalishaji.

Ina jiografia nzuri iliyokaa kimkakati na kifaida zaidi, kuna bahari inayotumika kusafirisha na kuingizia mizigo wakati huo huo kuna nchi jirani zisizopungua nane(8), kati ya hizo kuna nchi sita(6) zisizokuwa na bahari hivyo kwa namna moja au nyingine zitaitegemea Tanzania katika usafirishaji.

=> Uchumi ni nini; ni namna ambavyo jamii ya nchi husika inaweza kuzichunga/kuzitunza na kuzitenga rasilimali zao adimu kimkakati zaidi ili ziwaletee maendeleo. Kuna uchumi mbalimbali kulingana na rasilimali zilizopo mfano; uchumi wa bluu(blue economy) unatokana na shughuli za majini, uchumi wa viwanda, uchumi wa kilimo , madini, utalii biashara, huduma mbalimbali nk.

=> Maendeleo ni nini; ni mchakato mzima unaepelekea kuimarika ama kufanikiwa kwa uchumi na maisha bora kwa raia(ustawi wa jamii) katika nchi husika. Kwa mfano; kuimarika kwa miundombinu ya mawasiliano na usafirishaji, viwanda, biashara na huduma za kijamii.

Maendeleo endelevu ni maendeleo yalio bora zaidi kwakua yanahakikisha upatikanaji wa mahitaji ya kizazi cha sasa pasipo kuathiri upatikanaji wa hayo mahitaji kwa kizazi cha baadae.

Kutokana na kukua maradufu kwa idadi ya watu inatakiwa hayo maendeleo yaendane na sayansi na teknologia iliyopo kinyume na hapo itakua ni uvunaji wa rasilimali uliokithili na utaharibu sana rasilimali kwa faida kidogo.

Kwa kuangalia mchanganuo huo tunapata mwangaza na kujitasmini sisi kama taifa, Je? tunastahili kuwa katika kiwango hiki cha maendeleo ( cha uchumi wa kati kiwango cha chini), tukilinganisha na utajili wa rasilimali tulizonazo. Hebu tufanye tasmini ndogo isiyohitaji hata milinganyo ya kihesabu.

Je, Tunamiundombinu ya uchukuzi na mawasiliano iliyojitosheleza na imara, kama vile reli balabala madalaja bandari na viwanja vya ndege pia kasi na mtawanjiko wa mikongo ya njia za mawasiliano. Itakayo rahisisha biashara na shughuli nyingine za kijamii na kiuchumi.

Je, Huduma ya elimu nchini imeimarika, yaani elimu bora kwa wote, kuna vitendeakazi vyakutosha, viti vyakutosha, madalasa na je shule zinajitosheleza nchini?.

Je, huduma za afya nchini zimeimalika, vifaatiba na madawa yanapatikana , matabibu vitanda na hospitali zinatosha kanda mbalimbali nchini.

Je, Huduma za maji safi na salama pamoja na umeme vinapatikana kwa uhakika(masaa 24).

Je, Ulinzi na usalama wa raia na mali zao unaridhisha hapa nchini, vitengo vya polisi na zimamoto utendaji wake ukoje wanavitendea kazi vya kisasa.

Bila shaka maendeleo tuliyonayo tokea uhuru (miaka 61) ukilinganisha na rasilimali tulizonazo haviendani (ni mbingu na ardhi). Fikilia nchi kama Korea, Israel au hata Rwanda wangekua na hizi rasilimali, Tanzania tungekua kwenye orodha ya nchi zinazopokea msaada kutoka kwao.

Pia maendeleo tuliyonayo hayaendani na kasi ya mabadiliko ya sayansi na teknolojia, serikali haina muamko. raia ndio tunawahamasisha kila siku kama vile, kuboresha masuala ya miamala ya kidijitali.

Sasa kama ni hivyo tatizo ni nini/tunakwama wapi.?

2: Sababu Zinazopeleke Kukwama au Kusuasua Kwa Maendeleo Tanzania.

=> Kukosa mfumo madhubuti wa uongozi:

Katika sehemu ya ndani kabisa/kiini cha nchi(sistimu) ilishidwa kufanikisha kuundwa kwa mfumo imara usio teteleka na vuguvugu za kisiasa (vyama mbalimbali). Ilitakiwa nchi kama nchi iwe na misimamo yake halafu hayo matakwa ya ilani za vyama yawe kama mapendekeza tu na sio nchi kutekeleza kwa kegezo kua chama fulani kinaongoza.

Kuna baadhi ya vitengo hasa kitengo cha intelijensia vimekosa weledi yawezekana kuna mamluki waliopenyezwa kwa maslahi ya watu shilika au kampuni binafsi, kama sio sasa wanashidwaje kutoa taarifa mamlaka husika na kwa wakati sahihi nakushinikiza hatua zichukuliwe kwa wahisiwa. Matukio ya ufisadi mkubwa, rushwa, madawa ya kulevya kwanini hatua za makusudi hazichukuliwi kukomesha haya. Laiti kama pesa zilizopotea kwa ufisadi zingetumika kama ilivyopangwa leo hii tusingekua tunahangaika kukatana tozo kwaajili ya ujenzi wa vituo vya afya, tungekua hatua nyingine kabisa. Wananchi tunajitahidi kuchagua viongozi bora ili tupate utawala bora, lakini unazongwazongwa na kupoteza mvuto.

Tuangalie mfano huu unaoendana na asilimia 80% ya watanzania wanaotegemea kilimo (uti wa mgogo wa taifa).

Fikilia kwamba;
•Serikali ==> shamba,
•Wananchi ==> wakulima,
•Viongozi ==> mazao yaliyopo shambani bado ambayo yametokana na wakulima kuchagua mbegu bora kwa kutarajia kupata mazao mengi yenye ubora.

Wakulima wanashauriwa kua makini katika kuandaa shamba na mbegu, mara baada ya kupanda na mimea kumea, magugu huwa yanatokea kusikojulikana, lakini huwa yanakua na mbegu zake ambazo inawezekana zilifika shambani kwa kuletwa na wanyama, upepo, zilizochangamana na mbegu za mazao zilizopandwa na mkulima(seed mimicry), ama zilikuepo tu shambani miaka na miaka(Striga weed seeds).

Kiasili magugu huwa yanakua na nguvu kushinda mazao, yanastawi pasipo hata matunzo yoyote, yakiachwa bila kuondolewa kwa wakati hasa kipindi ambacho mazao yanakaribia kuchanua utakosa kabisa mavuno, huku magugu yakiwa yamesheheni mazao yake.

Ni hivyo hivyo hata kwa wadudu waharibifu, (ukicheka na nyani utavuna mabua).

=> Rushwa/Siasa rushwa (Malpolitics):
Nimatumizi ya nguvu ya dola yanayofanywa na baadhi ya watumishi wa serikali au/na mitandao ya watu wao wa karibu kwa kujipatia au kufanikisha jambo lao binafsi kwa njia isiyo halali. Hapa siajabu ukakuta kiongozi anashilikiana na wafanyabiashara,makampuni makubwa nchini na nnje ya nchi tokea kipindi cha kampeni mpaka anapata madaraka, tutarajie nini hapa? Watakua wananufaika hao wafanyabiashara na makampuni kwa kutekeleza miladi isiyokua na tija kwa taifa bali wao tu.

Kwahiyo rushwa ni adui wa haki na maendeleo katika nyanja zote uchumi,kijamii na kisiasa.

=> Kufifia kwa hari ya uzalendo na uwajibikaji kwa viongozi na raia kwa ujumla (patriotism):
Asilimia kubwa ya viongozi hapa nchini huwa wanakua wazalendo mwanzoni, wakishakaa madalakani mitazamo na misimamo inabadilika hii ni kwasababu wanajitenga na jamii, makazi yao na harakati zao zinafanyika mazingira ya hadhi fulani kila siku, wanakua kwenye obwe la faraja(comfort zone). Hapa siajabu ukakuta wabunge wanajadili mambo muhimu katika hari ya mzaha mzaha na kupitisha vitu ambavyo kwa wananchi ni mkuki, pasipo kupata maoni kwa wananchi hawatastuka kuwa tunawabebesha mizigo mizito wananchi, (aliyeshiba hamkumbuki mwenye njaa).

Tungekuwa wazalendo haya mambo yangekuwa yamerekebishika, viongozi wangetembelea wilaya majimbo na vijiji mbalimbali kijionea hari halisi na kutatua changamoto mbalimbali, na pia wananchi wamekua ni watu wakuiraumu na kuisusia serikali.

=> Kukosa dira ya maendeleo yenye kupewa nguvu na kipaumbele:
Dira ya maendeleo haipewi kipaumbele/uzito wake unaostahili katika utekelezaji wake. Yaani dira ya maendeleo inachukuliwa kama ahadi za kwenye kampeni, itekelezwe isitekelezwe sawa tu.

Tanzania hatuna vipaumbele maalumu katika kujenga uchumi, na ndio maana kila serikali inayoundwa inakuja na sera zake mpya zitakazo tegemea ilani ya chama husika. Kila awamu malengo yanabadilikabadilika kabla hili halijakamilika linaletwa lingine mara kilimo kwanza mara tanzania ya viwanda. Sasa kama taifa kwa mfumo huu ni ngumu kufanikiwa, tunakosa msingi na uchumi wa nchi unakosa muunganiko mzuri. Kuna msemo unasema "Badilisha mbinu/njia za kuyafikia malengo, usibadilishe malengo).

3: Ni Nini Kifanyike Ili Kuinua Uchumi Wa Tanzania Uendane na Rasilimali Zilizopo:

=> Kuimarisha mfumo mzima wa uongozi na utendajiwake wa kazi:

Maboresho zaidi yanahitajika katika sheria na katiba ya nchi, kuwe na kiwango kikubwa cha uwazi haki na utawala wa sheria. Pia kufanyike maboresho makubwa katika vitengo vya ulinzi na usalama hasa kitengo cha intelijensia, hivi vitengo utendaji wake wa kazi unatia shaka. Vichunguzwe je? Kuna watumishi wanaofaa wenye weledi wajuu na wanaoweza kuendana na hii kasi ya sayansi na teknolojia.

Hayo maboresho yataongeza uwajibikaji na uzalendo kwa viongozi na raia na kupunguza vitendo vya kiharifu kama vile rushwa, ufisadi na ubadhirifu wa mali za uma kwa wananchi na viongozi kwa ujumla.

=> Kupambana na rushwa na ufisadi kwa nguvu zote:
Hadi kufikia kiwango ambacho hakitaathiri mwenendo wa uchumi wa nchi. Hili litafanikiwa endapo tutakua na uongozi imara, wenye sheria itakayo muwajibisha yeyote pasipo kujali hadhi yake katika jamii. Isiwe kama hili, makosa yanafanywa na raia wa matawi yote ila wanao onekana magelezani ni masikini tu.

Ufisadi umechangi pakubwa mno kwenye kudidimia kimaendeleo nchini, pesa ambayo ilipotea kwenye skendo za ufisadi hapo nyuma ingetatua changamoto za huduma za afya elimu na maji mijini na vijijini kipindi kile, leo hii tungekua tunafanya hatua nyingine za maendeleo za juu zaidi. Inatakiwa haya mambo mabaya yasijirudie tena ili tuweza kusonga mbele, inatakiwa hili swala la ufisadi na rushwa lipewe nguvu ya kisheri ili mali ya umma iwe ya moto kwa fisadi yeyote yaana asiitamani kabisa ili tusonge mbele.

=> Kuandaa dira ya maendeleo ambayo itapewa nguvu/uzito na kipaumbele kwa mujibu wa sheria:
Dira ijumuishe mambo muhimu yenye maslahi mapana kwa taifa ambayo yatakua kama dira au maono, ambapo kabla maamuzi hayajachukuliwa juu ya utekelezaji wa jambo lolote inatakiwa turudi(kurejelea ) katika dira na kuona dira inasemaje? Unakua ndio msingi kupitia huo mambo mengine yanafanyika(Organizing principle). Inatakiwa pia hiyo dira iwe inaweza kunyumbulika ili kuendana na mabadiliko ya rasilimali sayansi na teknolojia,(Architectural thinking).

Dira ambayo itaangazia katika sekta mbalimbali huku kipaumbele kikielekezwa katika tafiti za kisayansi na teknolojia mahususi katika sekta husika kama vile;

sekta ya sayansi na teknolojia: ili tuweze kua na uchumi wenye nguvu na ushindani ni muhimu kujiimalisha katika hii sekta, tuweze kuendana na kasi ya mabadiliko ya teknolojia kwa kujikita katika tafiti za tiba vyombo vya moto na tehama(wenzetu huko duniani wako kwenye mapindizi ya nne ya viwanda (fourth industrial revolution)).

Je tunaweza kupambana na vita ya kiuchumi, mashambulio yakimtandao, uharifu wa kibiolojia? Tumejipanga vipi na hizi changamoto?

Tuige mfano hata kwa majilani zetu Rwanda kwa hatua wanazopiga wakati huohuo sisi tunaangalia tu nasioni jitihada zozote zikichukuliwa.

Kama ilivyo Israel pale mashariki ya kati inawezekana Rwanda ikawa hivyo huku kwetu kusini mwa jagwa la Sahara hapo baadae, tuchunge sana.

Sekta ya kilimo: bajeti iongezeke maradufu katika sekta ya kilimo ili kuchochea tafiti za mbegu bora kuendana na kanda husika, kuongeza wataalamu wa kilimo wa ngazi ya juu kufanya kilimo kiwe cha kisasa zaidi, harafu viongozi waache siasa kwenye kilimo, kilimo ni sayansi kama sayansi nyingine! Wengi wetu hatujui hilo kwasababu asilimia kubwa ya wakulima wetu wanafanya kilimo cha kienyeni kwa matumizi ya nyumbani. Kwenye kilimo cha kisasa na chenye tija haitakiwi kuharibu kanuni, pembejeo iwe mbegu mbolea au viwatilifu zinatakiwa kutumika kwa kiwango sahihi, mahali husika na kwa wakati sahihi kinyume na hapo kilimo kimekushinda. Ni sawa tu sayansi ya umeme ili taa iwake inatakiwa kuwe na chaji hasi (-) na chanya (+) katika mfatano maalumu ukienda tofauti na hapo taa haiwaki.

Sasa je? Kama kweli kilimo ni uti wa mgongo wa taifa na asilimia 80% ya raia wanategemea kilimo, inakuwaje tena pembejeo hazifiki kwa wakati, wakati huohuo bei ni ghari sana. Sasa kilimo ni uti wa mgongo au unyayo? Maana selikali mnabebwa sana na kilimo ila hambebeki. Asilimia 65% ya mizigo ilivyo safirishwa nje kibiashara ni inatokana na kilimo, pia kilimo kinachangia pato kubwa zaidi kuliko sekta nyingine yoyote ile asilimia 28% ya pato la taifa.

Tanzania haistahili kwenda kujifunza kilimo kwenye nnchi yenye jangwa na ndogo vile(Israel).

Kwahiyo kilimo nako kuwe na muelekeo ili tuweze kujitosheleza kwa chakula na mazao yanayobakia yasafirishwe sokoni pia ni moja ya malighafi viwandani kwa ukuaji wa uchumi.

Sekta ya viwanda:
Viwanda vya ngazi zote dira iangazie huku pia. Idadi ya viwanda nchini hairidhishi vinatakiwa viwanda vingi hasa vinavyotegemea malighafi za kilimo na madini. Tena viwanda vikishamili vitasaidia kupunguza tatizo la ajira nchini kwa kiwango kikubwa.

Nisawa kunauwezekano tusiweze kuendesha viwanda vyenye teknolojia kubwa lakini je?tutashidwa kupunguza uagizaji wa mitumba na nguo dalaja la tatu kwa ubora, na kuanzisha viwanda vyandani vya nguo bora kabisa mbona pamba tunalima ya kutosha.! Mafuta yakula, sukali vipuri na magurudumu ya gari je?

Changamoto zingine kama upungufu wa ajira kwa vijana utakao kuja kushuhudiwa ndani ya muongo mmoja na nusu baadae ni kujitakia tu kwa serikali, hivyo dira maalumu inahitajika sasa.

Madini yanayohitajika kwenye ulimwengu wa sasa (mapindizi ya nne ya viwanda) wa magari na treni za umeme, uundwe mpango maalumu wa kutafuta wawekezaji ikiwezekana zitengenezwe bidhaa ziliyokamilika hapahapa nchini. Mfano Lithium hadi kua betiri (batteries) za magari.

Ukiangalia rasilimali za madini ya Lithium, chuma, makaa ya mawe na nasikia kuna Helium ya kutosha, kwa malighafi hizi naona zimeendana na Elon Musk kabisa, tunaweza tukamshawishi aje awekeza tawi la Tesla(terafactory) na utafiti wa anga za juu hapa Tanzania (Space X branch in Tanzania).

=> Ushirikishwaji wa raia katika kutunza na kuendeleza rasilimali za taifa:

Raia wanakua wanafuatilia kwa umakini kabisa rasilimali, miradi inayoendelea mikataba yake ikoje, pamoja na mapato na matumizi yanaenda sawa sawa.? Hii itakuwa kama tu vile raia tunavyoshilikishwa kwenye ulinzi na usalama , utalii na katika utunzaji wa mazingira. Ila hii yasafari hii itakua rahisi kutokana na kukua kwa sayansi na teknolojia hasa katika mawasiliano, tutatumia mitandao ya kijamii kwa mujibu wa sheria serikali inaweza ikaanda jukwaa maalumu pengine hata katika mtandao wa Jamiiforum, watu maalumu au wote wataruhusiwa kuperuzi takwimu mbalimbani na kuhoji au kutoa michango yao.

Hii itaongeza uwajibikaji, uwazi na kupunguza vitendo viovu kama vile ufisadi ubdhilifu rushwa na utoroshwaji wa mali za taifa.

4: HITIMISHO.
Licha ya kuwa na maendeleo ya wastani, Tanzania tumekua na amani mshikamano na umoja tangu uhuru. Ukiachilia mbali jitihada kubwa tulizozichukua kupigania uhuru wetu na wamajirani zetu,Kumtia adabu Iddy Amin Dada na majanga yakiasili yaliyojitokeza huku tukiwa bado taifa changa, hatuna budi kujipongeza na kuzishukuru serikali na viongozi wote wa Jamhuri Ya Muungani wa Tanzania.

#Kazi Iendelee...!
kikubwa ni kupunguza uzembe ,,tuwe wawazi viongozi wengi sana katika hii nchi yetu wamelala na wanafanya kazi kimazoea na kujali maisha yao binafsi ndiyo maana hawapiganii mambo kwa moyo kitaifa

Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
 
kikubwa ni kupunguza uzembe ,,tuwe wawazi viongozi wengi sana katika hii nchi yetu wamelala na wanafanya kazi kimazoea na kujali maisha yao binafsi ndiyo maana hawapiganii mambo kwa moyo kitaifa

Sent from my HUAWEI GRA-L09 using JamiiForums mobile app
kufanya kazi kimazoea hili nalo ni changamoto kwa viongozi waliowengi, hasa wabunge wakishapata tu kiti haonekani tena jimboni hata akionekana sio kwaajili ya wananchi bali anajitengenezea tu mazingira kwa uchaguzi ujao.

Viongozi mnaombwa muwe wabunifu,wawajibikaji hakikisha unaacha kitu halisi na chanya kwa wananchi wako "umelifanyia nini jimbo lako".

Kuweni wabunifu sio kila awamu unatumia mbinu zilezile kwa mfumo uleule, jiongezeni mkaa bure si sawa na mtembea bure.
 
Back
Top Bottom