Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Kazi kweli kweli bwashe...! Mie ninao masista kibao..nawakaribisha wote wenye uhitaji wa kuoa.

ni wakorofi ndo maana hawaoleki,endelea kukaribisha usichoke,hivi lami imeshafika kikweni?
 
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......

umefanya uchunguzi au umesikia?
 
Last edited by a moderator:
Nimebahatika kutembelea
sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa
mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio
katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha
sana ndani ya ndoa zao. Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume
wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni
kama zifuatazo:
1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana
2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi
2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili
kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!
4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema
5.Ni wachapakazi sana
Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.
HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA WANGU!NINGEENDA
UPARENI!

ila umesahau ile sifa yao wote ke na me- ubahilisation.
 
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......

Kwenye RED nakuunga mkono kabisa na kwenye Blue pia ninao ushahidi wa mwanaume, We acha tu ni watu wa ajabu kidogo ingawa ndo hivyo ni watanzania wenzetu
 
kumbe na we mpare, haya tuambie anachosema ni kweli au anapaka mafuta kwa mgongo wa chupa

naona unaanza kuvutika kidogo kidogo,usije mpiga chini mdogo wangu bhana,huyu anawapaka mafuta tu wang'ae,mambo yote yako kule
 
naona unaanza kuvutika kidogo kidogo,usije mpiga chini mdogo wangu bhana,huyu anawapaka mafuta tu wang'ae,mambo yote yako kule

yule mtoto wa kichaga, Sina hata jeuli ya kumwacha nitapata wapi kama yeye, Sifa zote hizi anazo shem.
 
Back
Top Bottom