Bacore
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 222
- 228
safi sana mdogo wangu, mimi mwenyewe kaka yako nilianza kutoboa maisha nikiwa na 23 years, by 24 years tayali ninajenga nyumba DSM, pia najiendeleza kimasomo, ninabiashara ninaheshimiwa na wazee, by 24 ninafanya kazi UN- Umoja wa mataifa! wanawake sikuwapa nafasi, kichwa changu kiliwaza zaidi, kumiliki feza na sio kumiliki wanawake! well said! big up! dogo!