Ukitaka kumuwin mwanamke yeyote chukua code hizi

Ukitaka kumuwin mwanamke yeyote chukua code hizi

Usiku mwema wadau.....Leo nimeona niwape siri mojawapo ya kuwawin hawa viumbe. Kwa maligendary hii haiwahusu sana labda muongeze maarifa tu.

Yafuatayo ni mazungumzo kati ya Jimmy na Suzzy (mfano)

Hayae twende sawa;

Jimmy: Mambo vipi mrembo

Suzzy: Safi tu Jimmy uko poa

Jimmy: Niko poa tu mrembo

Suzzy; Basi fresh

Jimmy: Mrembo samahani kuna jambo nawiwa nikwambie ila moyo unasita nahisi kama nitakukwaza

Suzzy; Jambo gani tena hilo Jimmy ujue we mchokozi

Jimmy; Yaani Suzzy ujue nilivokuona tu nimetokea kuvutiwa sana na wewe

Suzzy; Jamani kwa kipi tena mbona kawaida

Jimmy; Kiukweli umeumbika kinoma yaani I wish ningekuona mapema yani kwa uzuri ulionao huwezi fanana na yeyote

Suzzy; Ahsante

Jimmy: Natamani tuongee zaidi ya hapa unaweza nipa namba yako kama hutojali

Suzzy; Hayae 0769XXXXX8

Jimmy; Ahsante Suzzy

Baada ya hapo ukifika home mpigie mara moja au mtext tu kumjulia hali halafu mkaushie mkaushie kaushia mkaushie mkaushie na ujikeep buzy wanawake wanapenda wanaumee strong wanaoweza kucontrol hisia zao. Usimshobokee sana tulizana tu.
Mbinu hii inaitwa resilient trick

Yaani asipokukubali aisee jiite mbwa koko.
Ndo paroko alivyo kufundisha?
 
Haijalishi demu ni sister duu, pisi kali, mshangazi au hata mwanafunzi

Sasa demu unataka kupiga na kusepa, uanze kujisumbua kutongoza ya nini?

Mara maua, mara kupigiana simu mara vi text vya umekula??

Huoni kama hapo unatengeneza mazingira ya gharama zisizo za lazima??

Go straight to the point, hata akikataa inakua win win situation maana hajala hata tsh mia yako.

Otherwise labda kama unatongoza wa kuoa.
Akiruka kwenye hela, mwambie utampa simu Kali hapo hawachomoki, mwambie tu lini utakua free ukaxhague simu Kali, kwishaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Usiku mwema wadau.....Leo nimeona niwape siri mojawapo ya kuwawin hawa viumbe. Kwa maligendary hii haiwahusu sana labda muongeze maarifa tu.

Yafuatayo ni mazungumzo kati ya Jimmy na Suzzy (mfano)

Hayae twende sawa;

Jimmy: Mambo vipi mrembo

Suzzy: Safi tu Jimmy uko poa

Jimmy: Niko poa tu mrembo

Suzzy; Basi fresh

Jimmy: Mrembo samahani kuna jambo nawiwa nikwambie ila moyo unasita nahisi kama nitakukwaza

Suzzy; Jambo gani tena hilo Jimmy ujue we mchokozi

Jimmy; Yaani Suzzy ujue nilivokuona tu nimetokea kuvutiwa sana na wewe

Suzzy; Jamani kwa kipi tena mbona kawaida

Jimmy; Kiukweli umeumbika kinoma yaani I wish ningekuona mapema yani kwa uzuri ulionao huwezi fanana na yeyote

Suzzy; Ahsante

Jimmy: Natamani tuongee zaidi ya hapa unaweza nipa namba yako kama hutojali

Suzzy; Hayae 0769XXXXX8

Jimmy; Ahsante Suzzy

Baada ya hapo ukifika home mpigie mara moja au mtext tu kumjulia hali halafu mkaushie mkaushie kaushia mkaushie mkaushie na ujikeep buzy wanawake wanapenda wanaumee strong wanaoweza kucontrol hisia zao. Usimshobokee sana tulizana tu.
Mbinu hii inaitwa resilient trick

Yaani asipokukubali aisee jiite mbwa koko.
Watoto wa 2000 mnaamini sana kwenye mitongozo ya simu. Sisi wakubwa zenu enzi hizo tulitumia mbinu hatarishi sana kwenye kutongoza.
 
Usiku mwema wadau.....Leo nimeona niwape siri mojawapo ya kuwawin hawa viumbe. Kwa maligendary hii haiwahusu sana labda muongeze maarifa tu.

Yafuatayo ni mazungumzo kati ya Jimmy na Suzzy (mfano)

Hayae twende sawa;

Jimmy: Mambo vipi mrembo

Suzzy: Safi tu Jimmy uko poa

Jimmy: Niko poa tu mrembo

Suzzy; Basi fresh

Jimmy: Mrembo samahani kuna jambo nawiwa nikwambie ila moyo unasita nahisi kama nitakukwaza

Suzzy; Jambo gani tena hilo Jimmy ujue we mchokozi

Jimmy; Yaani Suzzy ujue nilivokuona tu nimetokea kuvutiwa sana na wewe

Suzzy; Jamani kwa kipi tena mbona kawaida

Jimmy; Kiukweli umeumbika kinoma yaani I wish ningekuona mapema yani kwa uzuri ulionao huwezi fanana na yeyote

Suzzy; Ahsante

Jimmy: Natamani tuongee zaidi ya hapa unaweza nipa namba yako kama hutojali

Suzzy; Hayae 0769XXXXX8

Jimmy; Ahsante Suzzy

Baada ya hapo ukifika home mpigie mara moja au mtext tu kumjulia hali halafu mkaushie mkaushie kaushia mkaushie mkaushie na ujikeep buzy wanawake wanapenda wanaumee strong wanaoweza kucontrol hisia zao. Usimshobokee sana tulizana tu.
Mbinu hii inaitwa resilient trick

Yaani asipokukubali aisee jiite mbwa koko.
Wanafunzi wa mapenzi itawajua! Wahi shule kuna pre-form five ujue
 
Usiku mwema wadau.....Leo nimeona niwape siri mojawapo ya kuwawin hawa viumbe. Kwa maligendary hii haiwahusu sana labda muongeze maarifa tu.

Yafuatayo ni mazungumzo kati ya Jimmy na Suzzy (mfano)

Hayae twende sawa;

Jimmy: Mambo vipi mrembo

Suzzy: Safi tu Jimmy uko poa

Jimmy: Niko poa tu mrembo

Suzzy; Basi fresh

Jimmy: Mrembo samahani kuna jambo nawiwa nikwambie ila moyo unasita nahisi kama nitakukwaza

Suzzy; Jambo gani tena hilo Jimmy ujue we mchokozi

Jimmy; Yaani Suzzy ujue nilivokuona tu nimetokea kuvutiwa sana na wewe

Suzzy; Jamani kwa kipi tena mbona kawaida

Jimmy; Kiukweli umeumbika kinoma yaani I wish ningekuona mapema yani kwa uzuri ulionao huwezi fanana na yeyote

Suzzy; Ahsante

Jimmy: Natamani tuongee zaidi ya hapa unaweza nipa namba yako kama hutojali

Suzzy; Hayae 0769XXXXX8

Jimmy; Ahsante Suzzy

Baada ya hapo ukifika home mpigie mara moja au mtext tu kumjulia hali halafu mkaushie mkaushie kaushia mkaushie mkaushie na ujikeep buzy wanawake wanapenda wanaumee strong wanaoweza kucontrol hisia zao. Usimshobokee sana tulizana tu.
Mbinu hii inaitwa resilient trick

Yaani asipokukubali aisee jiite mbwa koko.
Umalaya tu
 
Back
Top Bottom