Senee
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 954
- 1,054
Angalia pm mekutumia zote kuanzia ya tigo, airtel, voda, zantel, smart na halotelYeahh that's how we do...naomba nianze na wewe!
Kamatia fursa [emoji41]
Angalia pm mekutumia zote kuanzia ya tigo, airtel, voda, zantel, smart na halotelYeahh that's how we do...naomba nianze na wewe!
Dooh...hii fursa nzito...poa ntakupigia leo akishalala![emoji4]Angalia pm mekutumia zote kuanzia ya tigo, airtel, voda, zantel, smart na halotel
Kamatia fursa [emoji41]
Piga sasa hivi nikuelekeze ili baadae ukamatie chini, huoni hali ya hewaDooh...hii fursa nzito...poa ntakupigia leo akishalala![emoji4]
Piga sasa hivi nikuelekeze ili baadae ukamatie chini, huoni hali ya hewa
And mi auti [emoji125]
imagine unanitongoza alafu nidakie swala la kumuulizia rafk yako,,. utajskiaje?? alaf ck 2/3 unaona tunapatana kwel tofaut nkiwa na wew???
Piga sasa hivi nikuelekeze ili baadae ukamatie chini, huoni hali ya hewa
And mi auti [emoji125]
Hahahahaaa wait till I get stoned, get me some to smoke too
Mary Jane please [emoji6]Cuban or Mary Jane?
Ushasema yangu yake mpaka akubali mwenyewe...lolmbona ya kwako unatoa kirahisi ,kwamba unampenda rafiki yako kuliko unavyojipenda
ChaiWanawake viumbe wa ajabu unakuta mtu huna mpango nae lakini siku jaribu kumuomba namba ya rafiki yake, Utasikia muombe mwenyewe, wengine wanaenda mbali eti sina namba yake wakati ni marafiki walioshibana, bahati haivutwi kwa kamba wewe unayebania namba ukitongozwa unaleta pozi.
Sasa ole wako uipate namba kwa juhudi zako utazushiwa uzushi kila namna mara una ngoma mara we unabadilisha wanawake kama nguo, acheni kubania namba za wenzenu mtapata thawabu