Sasa imetosha, Niachie SL na Kongosho wangu plz
kweli nimeamini lisemwalo lipo,hizi rumours za rejao kunilia vitu vyangu nimeanza kuzisikia siku nyingi,lol,haya bana,tenda wema nenda zako,yaani kununulia kote Harrier,nyumba kimara bado tu macho juu juu,we Konnie wewe!rejao, your eyez
yanani-melt kabisa my inside
take me.
Bishanga ni kismall tu
kweli nimeamini lisemwalo lipo,hizi rumours za rejao kunilia vitu vyangu nimeanza kuzisikia siku nyingi,lol,haya bana,tenda wema nenda zako,yaani kununulia kote Harrier,nyumba kimara bado tu macho juu juu,we Konnie wewe!
nikupe orodha ya hao waliobaki na ni mamemba wa mmu?Kaka Bishanga hakuna mabuzi siku hizi, 90 percent ya wanaume siku hizi wanatak kulelewa nao. Wanatafuta wanawake wenye mshiko na wao wapate relief.
Your subject is good anyway, inaweza kafanya kazi kwa wachache waliobaki.
Ila siku hizi mwanamke kujitafutia na si kusubiri kuchuna.
jamani bishanga mbona nachunika vizuri tu?
5.Mapishi:Usipende kula bar na bwanako.M encourage ale nyumbani kwako na umpikie a la uzi wa Ashadii to Cheusimangala.