tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Wanabodi,
Kama kweli Rais Magufuli anataka kujipima ufanisi wake, basi aruhusu, mikutano ya Siasa kwa vyama vyote, kwa Mujibu wa Ibara ya 3 ya Katiba ya Tanzania.
Hii itasaidia kukosorewa na kujirekebisha.
Kuzuia vyama vingine vya siasa kufanya Mikutano, ili hali Rais na Waziri Mkuu, wanafanya siasa, kwa resources za Serikali, ni sawa na kuingiza Timu fainali bila timu pinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kweli Rais Magufuli anataka kujipima ufanisi wake, basi aruhusu, mikutano ya Siasa kwa vyama vyote, kwa Mujibu wa Ibara ya 3 ya Katiba ya Tanzania.
Hii itasaidia kukosorewa na kujirekebisha.
Kuzuia vyama vingine vya siasa kufanya Mikutano, ili hali Rais na Waziri Mkuu, wanafanya siasa, kwa resources za Serikali, ni sawa na kuingiza Timu fainali bila timu pinzani.
Sent using Jamii Forums mobile app