johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,005
- 142,040
Ni zaidi ya Mwaka tangu Mikutano ya Siasa iruhusiwe lakini imefanyika Mikutano kiduchu.
Hata CCM Mikutano yao inabebwa na Watu wa serikali Ndio Unasikia kule Chato Bavicha wakalalamika msafara wa Komredi Makonda umesheheni magari ya serikali.
Ukiona Chama cha Upinzani kinamudu Mikutano ujue kimelipwa na Wahuni fulani ili kuleta chokochoko mfano Operesheni naniliu.
Magufuli Alikuwa sahihi kuzuia Mikutano ili Watu wafanye Kazi badala ya kuendesha Majungu.
Mungu wa mbinguni awabariki!
Hata CCM Mikutano yao inabebwa na Watu wa serikali Ndio Unasikia kule Chato Bavicha wakalalamika msafara wa Komredi Makonda umesheheni magari ya serikali.
Ukiona Chama cha Upinzani kinamudu Mikutano ujue kimelipwa na Wahuni fulani ili kuleta chokochoko mfano Operesheni naniliu.
Magufuli Alikuwa sahihi kuzuia Mikutano ili Watu wafanye Kazi badala ya kuendesha Majungu.
Mungu wa mbinguni awabariki!