Kuna msemo mashuhuri unasema "Ukitaka kujua tabia ya mtu wachunguze rafiki zake".
Hawa ni baadhi tu ya wateule wanaoaminiwa na mkulu....
1. Madelu ...kashifa ya majina.
2. January... kuiba mtihani Galanos.
3. Makonda... kashifa ya majina na kupiga wazee.
4. Gambo.....akiwa DC alipelekwa mahakamani ...degree za ch..p..
5. Muhongo...kashifa ya Escrow na kurudia shule.
6. ..... to be continued......
Kwa sisi ambao tulikuwa hutuijui tabia ya rais Magufuli mbali ya kuambiwa tumeanza kuijua kupitia kwa wateule wake.
Rais hawezi kukwepa matendo na matukio yanayofanywa na wateule wake ya kwamba hayamuhusu, kwa vile vituko vingi vinafanyika bila kuvikemea na wakati mwingine tumesikia akipongeza.
Kuna watu wengine wamefikia hatua ya kudhani huwa wanatumwa kufanya hayo wanayoyafanya na mteule wao.
DED anapompigisha deki mwalimu mbele ya mwanafunzi bila kukemea tabia hiyo, basi tunaweza kudhani bila shaka hata kama angekuwa yeye angefanya hivyo.
Siku RC wa Arusha mh. Gambo alivyotaka kukwamisha uzinduzi wa mradi wa Kituo cha Afya cha Mama na Mtoto tunaweza kudhani hata angekuwa yeye angefanya hivyo.
Vitendo vya polisi kuvamia na kuvuruga vikao na mikutano ya vyama vingine bila ya yeye kuona tatizo ni kuonyesha dhahiri anabariki.
Mifano iko mingi, hata kitendo cha kutokuchukua hatua juu ya Mkurugenzi wa manispaa ya Arusha na mbunge waliotuhumiwa kumteka mwalimu Batuli.
Kwa vile rais hufumbia macho vituko kama hivyo nilivyovitaja, na wakati mwingine kusikika akiwapongeza wahusika, ina maana tabia walizonazo hao anaowapongeza zina-reflect yeye alivyo.
Bound to be corrected.
Hawa ni baadhi tu ya wateule wanaoaminiwa na mkulu....
1. Madelu ...kashifa ya majina.
2. January... kuiba mtihani Galanos.
3. Makonda... kashifa ya majina na kupiga wazee.
4. Gambo.....akiwa DC alipelekwa mahakamani ...degree za ch..p..
5. Muhongo...kashifa ya Escrow na kurudia shule.
6. ..... to be continued......
Kwa sisi ambao tulikuwa hutuijui tabia ya rais Magufuli mbali ya kuambiwa tumeanza kuijua kupitia kwa wateule wake.
Rais hawezi kukwepa matendo na matukio yanayofanywa na wateule wake ya kwamba hayamuhusu, kwa vile vituko vingi vinafanyika bila kuvikemea na wakati mwingine tumesikia akipongeza.
Kuna watu wengine wamefikia hatua ya kudhani huwa wanatumwa kufanya hayo wanayoyafanya na mteule wao.
DED anapompigisha deki mwalimu mbele ya mwanafunzi bila kukemea tabia hiyo, basi tunaweza kudhani bila shaka hata kama angekuwa yeye angefanya hivyo.
Siku RC wa Arusha mh. Gambo alivyotaka kukwamisha uzinduzi wa mradi wa Kituo cha Afya cha Mama na Mtoto tunaweza kudhani hata angekuwa yeye angefanya hivyo.
Vitendo vya polisi kuvamia na kuvuruga vikao na mikutano ya vyama vingine bila ya yeye kuona tatizo ni kuonyesha dhahiri anabariki.
Mifano iko mingi, hata kitendo cha kutokuchukua hatua juu ya Mkurugenzi wa manispaa ya Arusha na mbunge waliotuhumiwa kumteka mwalimu Batuli.
Kwa vile rais hufumbia macho vituko kama hivyo nilivyovitaja, na wakati mwingine kusikika akiwapongeza wahusika, ina maana tabia walizonazo hao anaowapongeza zina-reflect yeye alivyo.
Bound to be corrected.