- Thread starter
- #21
Nafikiri watu watachoka kuendelea kuomba kama hawaoni matunda ya maombi yao.jpm anahitaji sana maombi maana hata yeye aelewi tunaenda wapi,kila siku matamko,matendo yake ni tofauti na maneno mikopo hakuna,dawa hakuna mahakama ya mafisadi hakuna jaani shida tupu