Jama kuishi kwingi kuona mengi.
Bro alikua bonge la mshua, ukirudi likizo ,akianza kukupa mipango ya badae lazinma upige saluti ,hapa tuna jembe la ukoo.
Jamaa full optmistic, kila mchongo unaomshirikisha ,mpe siku kazadhaa ngoma lazima itiki.
Kwenye majira kama haya ya sikukuu ,yaani home full shangwe, mamabo yakiwa hayaeleweki, utasikia mcheck bro mshua....!!!!
Sasa tangu alipooa, everything has fallen apart!!
Ukimpigia cm ,kuja kupokea ni mbinde
Ukimiss call, thubutu akikupigia.
Kifupi bro- mshua kachange ile mbaya....ila kimtindo kama mashambulizi kaelekeza ukweni,kule mashemeji wote wanamuona bonge la king- mswati.
Wadau ebu tulidadavue hili...mbona mashujaa wengi wakishaoa ndo basi tena?
Wapi tunakosea ili ujifunze yasitukute na sisi?
Wazee wa sampuli hizi ,ukisikiaga ndugu wanakwambia umechange uwa unachukuaga hatua gani?
Regards.
Merry christmass guys.