Leo hii waletee habari ya kuuvunja huo Muungano.
Akina Jussa wanajirusharusha huko pembeni wakicheza sinema chovu, lakini husikii wakihimiza Muungano uvunjwe.
Kama paliwahi kutokea fursa nzuri ya kuuvunja huu Muungano, , hapajawahi kuwa kama ilivyo sasa, wakati ambapo mZanzibari yupo madarakani kama rais wa nchi, na huko ndani ya Chama Cha CCM kukiwa hakuna mtu yeyote mwenye ushawishi wa hoja juu ya kuuendeleza Muungano uliopo.
Leo hii Zanzibar wakisema hawataki Muungano, hakuna atakayepinga uamzi huo tokea huu upande wa Tanganyika.
Kwa hiyo, muungano huu upo na utaendelea kuwepo kwa vile waZanzibari hawaupingi tena; kwa sababu umekwishaonyesha kuwa una manufaa makubwa kwao.
Kwa sababu nisizoweza kuzielezea hapa, Tanganyika hawawezi kuuvunja Muungano. Wanacholilia wao ni kuipata Tanganyika tu iliyomezwa ndani ya Muungano, basi!
Akina Jussa wanajirusharusha huko pembeni wakicheza sinema chovu, lakini husikii wakihimiza Muungano uvunjwe.
Kama paliwahi kutokea fursa nzuri ya kuuvunja huu Muungano, , hapajawahi kuwa kama ilivyo sasa, wakati ambapo mZanzibari yupo madarakani kama rais wa nchi, na huko ndani ya Chama Cha CCM kukiwa hakuna mtu yeyote mwenye ushawishi wa hoja juu ya kuuendeleza Muungano uliopo.
Leo hii Zanzibar wakisema hawataki Muungano, hakuna atakayepinga uamzi huo tokea huu upande wa Tanganyika.
Kwa hiyo, muungano huu upo na utaendelea kuwepo kwa vile waZanzibari hawaupingi tena; kwa sababu umekwishaonyesha kuwa una manufaa makubwa kwao.
Kwa sababu nisizoweza kuzielezea hapa, Tanganyika hawawezi kuuvunja Muungano. Wanacholilia wao ni kuipata Tanganyika tu iliyomezwa ndani ya Muungano, basi!