To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 28,214
- 65,825
😂😂😂🙌Haikuwa Tanzania, ni ccm hiyo.
😂😂😂🙌Haikuwa Tanzania, ni ccm hiyo.
TV yako mbovu ita fundi arekebishe rangiIle sio red
Hata wewe mleta mada ngozi nyeusi ni laana kwa kuabudu ngozi nyeupe.. Kwanini useme angekuwa ngozi nyeupe..Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha
Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao
Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi
Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani
Tungekuwa tunachezeshwa na refa ngozi nyeupe, isingekuwa hivi kama tunavyonyanyaswa na huyu refa mweusi
Hii sheria ya wapiMzee hapa Duniani Muogope Mungu then Waarabu then wazazi
Acha ujuaji,Tv yako tu ndio unayaona hayo. But everything is clear
Hakuna aliyelalamikia goli ila kadi nyekundu ya uonevuGoli halali
Mfano mwarabu akitaka akukule utakubali?Mzee hapa Duniani Muogope Mungu then Waarabu then wazazi
Huyo ni ngozi ya🦁We mwenzetu ni ngozi ya njano?
Ya mtaani...kaa kijanja usiseme hukuambiwaHii sheria ya wapi
Ukitaka kujua kuwa ngozi nyeusi ni laana, ni pale hadi leo kuna wanaotamani kuvunja Tv ili wakachukue wale aliowaona kwenye Tv.Kidogo nivunje tv yangu ili nimtandike mangumi refa anayechezesha
Anatoa kadi zusizostahili, anaacha makosa ya warabu kwa kuogopa rangi yao
Anaruhusu goli la kuotea kwa kuogopa rangi
Ngozi nyeusi ni laana kuu duniani
Tungekuwa tunachezeshwa na refa ngozi nyeupe, isingekuwa hivi kama tunavyonyanyaswa na huyu refa mweusi