lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,444
Kigamboni ukishuka Panton tu unakutana na maeneo skwata ta kufa mtu.Kwa sisi ambao tumetoa tongotongo za macho.naweza kusema sehemu ya KIGAMBONI ilitakiwa iwe ni sehemu ambayo yenye mvuto mkubwa wa kuishi watu na siajabu ndio ingekuwa sehemu ghali kuishi lkn bahati mbaya kwenye miti hakuna wajenzi.
Tazama hiyo attached pic hapo angalia kwa umakini kisha analyse the location wisely .View attachment 1822546
Eneo Kama kigamboni ingebidi iwe Kama Masaki au ostabay ila kwasababu sisi watanzania hatuwezi kupanga Basi ni balaa tupu.