Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Tatizo siyo no. Ya airbag inategemea impact, unaweza ukagongwa mbele/ nyuma kama impact siyo kubwa hizo airbag zako 8 zote zikagoma kufumuka
lakini kweli......au nikaangukiwa na container kabisa......uhh God forbid