Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 788
Ivi ukienda gereji ni wewe ndo unaweka au mafundi?wewe unaweka engine oil kwenye gear box?.....hilo gari kimeo.....uza skrepa
Ivi ukienda gereji ni wewe ndo unaweka au mafundi?wewe unaweka engine oil kwenye gear box?.....hilo gari kimeo.....uza skrepa
ukiweka reverse gear usishangae ukaona gari linakwenda mbele heheheeh
Hahahha...Kloro kila mtu anajua bili geti haoni ndani kwako....nawasogeza tu kidogo wasije wakakupeleka kwenye gereji za ajabu ajabu!unachafua CV dada. bora turudi kwenye mada ya magari na garage kuliko mtindo huu.
basi kuanzia leo tutakuwa tunatumia overide hata kama tunaenda nusu kilometa.....sawa bebi...
Ivi ukienda gereji ni wewe ndo unaweka au mafundi?
Preta full tank hiyo...kazi ni kwakoheheeh thats my babe! usjali babe, when u have me, full tank diesel is always guaranteed, u dont have to worry about distance.
Kumbe inategemea na aina ya gari lol
now you are talking Lizzy! hivi gari lako unapaki wapi? njoo upaki home siku moja bana! safety guaranteed kwa siku mbili 3. Ukipaki muda mrefu ndio balaa linaweza kuzuka.Hahahha...Kloro kila mtu anajua bili geti haoni ndani kwako....nawasogeza tu kidogo wasije wakakupeleka kwenye gereji za ajabu ajabu!
Preta full tank hiyo...kazi ni kwako
ndio inatakiwa....ukizingatia gari ina airbags...no worries kwa kweli
Hivi ukigongwa kwa nyuma air bags ina msaada?ndio inatakiwa....ukizingatia gari ina airbags...no worries kwa kweli
Hahahah unatangaza biashara jamvini huogopi wadandiaji!!????Nwy utanichaji?now you are talking Lizzy! hivi gari lako unapaki wapi? njoo upaki home siku moja bana! safety guaranteed kwa siku mbili 3. Ukipaki muda mrefu ndio balaa linaweza kuzuka.
Hivi ukigongwa kwa nyuma air bags ina msaada?
Inategemea airbags zenyewe ziko wapi, maana gari nyingine unakuta airbag kwa dereva tu, usalama wa abiria unakuwa mdogo
Hivi ukigongwa kwa nyuma air bags ina msaada?
garage bubu je?
Hehehe unaweza kua na air bags nane kama hukufunga siti belti kwishneygari yangu ina airbags 8....msinichoshe kutaka kujua ziko wapi na wapi
gari yangu ina airbags 8....msinichoshe kutaka kujua ziko wapi na wapi
Hehehe unaweza kua na air bags nane kama hukufunga siti belti kwishney
usiogope wadandiaji hapa tupo kicharity zaidi kila wakidandia ndio manufaa ya sadaka yanaongezeka! hauchajiwi dada, ondoa hofu kabisa.Hahahah unatangaza biashara jamvini huogopi wadandiaji!!????Nwy utanichaji?