Ukitaka kufanikiwa kibiashara jitahidi kuwa nadhifu

Ukitaka kufanikiwa kibiashara jitahidi kuwa nadhifu

Shinnok

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
236
Reaction score
564
Ukitaka kufanikiwa kibiashara nunua kwanza nguo nzuri ,ukiwa na nguo nzuri na muonekano mzuri bei ya vitu unavyouza haitakuwa tatizo maana utakuwa unaenda na hadhi yake, we fikiria unavaa manguo ya hovyo hovyo hupendezi halafu unauza vitu vya gharama utampata nani?

Hata mademu wanapenda kununua vitu kwa mtu msafi na nadhifu

Huyu shemeji yenu niliyemtia mimba amepata mimba kwa sababu napendeza.
 
MWENYE KUJUA MIMBA NI YA NANI NI MWANAMKE MWENYE MIMBA HIYO
Alisikika mlevi mmoja akiropoka
 
Back
Top Bottom