Hahahhaha14. Acha kabisa kuwa mwana Ccm, itakugharimu 2017... Maana wamaweza kukuingiza na ww kumtafuta Faru John
Serving is not the aim of workin although I have to serveTumia kinachobaki baada ya kusevu, na sio kusevu kinacho baki baada ya matumizi
Usipende kuruka ukutakama wewe ni kijana na ungependa kuona mwaka huu ukipata mafanikio katika maisha basi achana na hizi tabia .
1.tabia ya kufatilia maisha ya watu na familia zao.
2.tabia ya kujilinganisha uwezo wako kimaisha na wengine .
3.tabia ya kutaka kuonekana kwa watu unajua kila kitu.
4.kumpenda mtu asiyekupenda
5.usipende kuwa na urafiki na watu walioshidwa maisha.
6.usipende kuwa na tabia za kukopesha watu pesa
7.usipende kuwa na moyo wa kusaidia watu ili uonekane mtu mwema mtu akikuomba kama huna mwambie sina.
8.achana na tabia ya kufanya mambo kwa ndugu au marafiki upate sifa uonekana uwe una pesa.
9.achana na tabia ya kuhonga ovyo
10.tabia za ubishi usiokuwa na maana achana naoo.
haya jamani kama una mengine hebu ongezea iwe kama somo