ddcmanesto
Senior Member
- Nov 16, 2016
- 122
- 39
Ukikwama nenda baypot au tunakopesha ltd
hapav nilikuwa nina maana usipende kukaa watu ambao wanaweza kukukatisha tamaa katika maishaHiyo inamaanisha aliyefaulu maisha amuepuke ambaye amefeli maisha. Na mwanadamu ni mnyama anahitaji kuwa atakapoona hapa ninakubalika hivyo aliyeshindwa maisha atajikuta anarudi alipotoka na aliyefaulu kwenda kwa wenzie.
ni bora mtu aende uko kukopa asikwambie mtu kudai deniUkikwama nenda baypot au tunakopesha ltd
Fact aseeTumia kinachobaki baada ya kusevu, na sio kusevu kinacho baki baada ya matumizi
Mleta thread kamalizia kwa kusema " ongeza kama una mengine............."Kwa hio ukiacha vtu hivi unafanikiwa Kimaisha?
Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
Msamehe broovery true 6,7 na 8 zimeniathiri sana hasa mawaka jana, pia kuna binamu yangu nilimkopesha laki 3 na nusu tangu mwaka 2014 mpaka leo naona hana mpango wa kurudisha, inagawa kiukweli hali yake kiuchumi si nzuri ni mwanachuo diploma hana stable financial supporters ila inaniuma sana hela yangu hasa kwa usawa huu sasa hivi wa uncle magu kila nikifulia naikumbuka.
cc. pastor kuryamoney is a reward after solving someone problem.....amka 2017
Hakika mkuu12.Amini kwamba mafanikio yako yanatokana na wewe si mtu/watu.
epuka kupoteza muda mwingi kwenye mitandao: whatsAPP, fb, int, jf, twitter, ectkama wewe ni kijana na ungependa kuona mwaka huu ukipata mafanikio katika maisha basi achana na hizi tabia .
1.tabia ya kufatilia maisha ya watu na familia zao.
2.tabia ya kujilinganisha uwezo wako kimaisha na wengine .
3.tabia ya kutaka kuonekana kwa watu unajua kila kitu.
4.kumpenda mtu asiyekupenda
5.usipende kuwa na urafiki na watu walioshidwa maisha.
6.usipende kuwa na tabia za kukopesha watu pesa
7.usipende kuwa na moyo wa kusaidia watu ili uonekane mtu mwema mtu akikuomba kama huna mwambie sina.
8.achana na tabia ya kufanya mambo kwa ndugu au marafiki upate sifa uonekana uwe una pesa.
9.achana na tabia ya kuhonga ovyo
10.tabia za ubishi usiokuwa na maana achana naoo.
haya jamani kama una mengine hebu ongezea iwe kama somo