Synthesizer
JF-Expert Member
- Feb 15, 2010
- 11,143
- 18,774
Waziri mmoja wa Zambia akiongea na rais wake Lungu huko Zambia kipindi fulani hapo nyuma. Magufuli wetu hajafikia huku, swali ni kama siku moja atakuja kufikia huku!
Kwani shida iko wapi hapo, kuna mila na desturi za kupiga magoti unapoongea na wakubwa au viongozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri mmoja wa Zambia akiongea na raisi wake Lungu huko Zambia kipindi fulani hapo nyuma. Magufuli wetu hajafikia huku, swali ni kama siku moja atakuja kufikia huku!
View attachment 1372987
Wanampigia, yaani kihalisi?!?Mhhhh, una uhakika mkuu?
Utumwaa huoKwani shida iko wapi hapo, kuna mila na desturi za kupiga magoti unapoongea na wakubwa au viongozi
Sent using Jamii Forums mobile app