Ukisikia unyakuo ndio huu

Ukisikia unyakuo ndio huu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,417
Reaction score
829,763
Na Malisa GJ

. Kikosi maalumu cha jeshi la Marekani (Delta Force), kimetumia dakika 124 tu (masaa mawili na dakika 4) kutua Ikulu ya Venezuela (Palacio de Miraflores) na kumnyakua Rais Nicolás Maduro pamoja na mke wake Cilia Flores Maduro.

Kumbuka Rais wa Venezuela analindwa na kikosi maalum kiitwacho "Guardia de Honor Presidencial" chenye mamia ya wanajeshi na makomandoo waliobobea katika ulinzi wa viongozi. Kikosi hiki hutumia mchanganyiko wa silaha ndogo na nzito kama AK103, PKM, Mashine Gun, FN MAG etc.

Pia hutumia drones maalumu kama Mohajer-2/4 zilizotengenezwa Iran ambazo zina kamera za infrared na vifaa vya usiku (night vision) na zina uwezo wa kuruka muda mrefu kufanya upelelezi (surveillance) na kutuma taarifa moja kwa moja Ikulu.

Pia hutumia drones kutoka China (ASN-206/Wing Loong), ambazo hutumika kukwepa au kuzuia mashambulizi ya makombora yanayolengwa kwa Rais.

Kikosi kina magari maalumu yasiyopitisha risasi, aina ya Chevrolet Suburban armored SUV kutoka Urusi (yapo 200) na VN-4 armored personnel carriers kutoka China (yapo 100). Kina Helikopta za kijeshi Mi-17 na Super Puma AS332 kwa ajili ya kumtorosha Rais kukiwa na dharura. Helcopter hizo hazipitishi risasi na zina kinga dhidi ya makombora.

Pia kikosi hicho kina Ndege 5 za kivita kutoka Urusi aina ya Sukhoi Su-30MK2 na ndege za 7 za doria kutoka Pakistan aina ya K-8 Karakorum jets, zenye uwezo wa kukimbia hadi 1,000 KPH (480 knots). Ndege hizo pia zina uwezo wa kufanya manuva ya aerobatic kama kupinduka juu chini (inverted flight), kuruka kwa duara, spins, rolls, na kupiga mbizi (dives).

Hii ilimfanya Maduro kuwa Rais mwenye ulinzi mkali na wa kisasa kuliko Marais wote America kusini na Caribbean. Lakini pamoja na yote hayo, Marekani aliposema "tunakuhitaji kituoni uje uandike maelezo" wametumia dakika 124 tu kumnyakua 😂. Halafu kuna watu wanafananisha Marekani na vitu vya kijinga.

Jiulize kama Maduro mwenye nguvu zote hizo, lakini Marekani imetumia masaa mawili tu kumnyakua, itashindwa kuingia Malawi hadi itume vijana wapite mpakani na mabomu ya machozi? Ndio maana kuna story ukisikia mtu mzima anaongea unaona anajidhalilisha tu. Bata, Wahed.!


View: https://www.facebook.com/share/v/17we8GoEqF/
 
Tena hawa ambao kazi kugombania wanawake bar hata hizo dk 5 ni nyingi sana
 
Rais wa Marekani, Donald Trump ameshare picha ya Rais wa Venezuela Nicolas Maduro, akishuka kutoka kwenye meli ya kivita ya USS Iwo Jima. Rais Trump amesema Maduro anakabiliwa na mashtaka mawili ambayo ni uhalifu dhidi ya binadamu (crime against humanity) unaohusisha kuua waandamanaji mwaka 2017 na 2019, kuunda magenge ya utekaji, kuua wapinzani na kuwabambikizia kesi, kukandamiza uhuru wa maoni etc. Mashtaka ya pili yanayomkabili Maduro ni kufadhili biashara ya madawa ya kulevya. Muda wowote Maduro atapandishwa kizimbani ili kupatiwa haki yake ya kikatiba.!
1767482140450.jpg
 
Delta Force ni NANI?
Ni kikosi cha juu kabisa cha kivita Marekani
Kipo chini ya US Army, lakini hufanya kazi moja kwa moja na CIA, Pentagon na Rais
Kiliundwa mwaka 1977
👉 Kazi zao nyingi hazitangazwi kabisa (classified)
Kwanini wanaogopwa sana DUNIANI?
1️⃣ Mafunzo yao ni HATARI sana
Wanachaguliwa kutoka:
Green Berets
Rangers
Marines
Navy SEALs
👉 Asilimia chini ya 10% hupita mafunzo yao
Mafunzo ni:
Kupigana bila silaha
Kupiga shabaha gizani
Kupenya majengo yaliyojaa maadui
Kuvumilia njaa, usingizi mdogo, baridi, joto kali
2️⃣ Wanafanya kazi za “HAWEZI KUKATAA”
Kazi zao ni:
Kuua au kukamata magaidi wakubwa
Uokoaji wa mateka (hostage rescue)
Operesheni za siri nchi za nje
Kupindua mitandao ya magaidi kimyakimya
👉 Mfano maarufu:
Kuwinda Osama bin Laden (walishirikiana na Navy SEALs)
Operesheni Afghanistan, Iraq, Syria
3️⃣ Hawavai sare zinazoonekana
Wanaweza kuvaa nguo za kawaida
Wanaishi kama raia wa kawaida
Unaweza kupita karibu nao hujui kabisa
👉 Ndiyo maana wanaogopesha:
Huwaoni, lakini wapo.
4️⃣ Hawakosei shabaha
Wakipewa kazi → lazima ikamilike
Hawashindwi kirahisi
Wanatumia silaha za kisasa sana
👉 Ndani ya saa chache wanaweza:
Kuingia nchi
Kutekeleza kazi
Kutoweka bila mtu kujua
Mataifa yanayofanana na Delta Force
🇬🇧 SAS (Uingereza)
🇷🇺 Spetsnaz (Urusi)
🇫🇷 GIGN
🇮🇱 Sayeret Matkal (Israel)
Lakini Delta Force hupewa heshima ya juu kwa:
ukimya + ufanisi + hatari
1767482644797.jpg
1767482640682.jpg
 
Na Malisa GJ

. Kikosi maalumu cha jeshi la Marekani (Delta Force), kimetumia dakika 124 tu (masaa mawili na dakika 4) kutua Ikulu ya Venezuela (Palacio de Miraflores) na kumnyakua Rais Nicolás Maduro pamoja na mke wake Cilia Flores Maduro.

Kumbuka Rais wa Venezuela analindwa na kikosi maalum kiitwacho "Guardia de Honor Presidencial" chenye mamia ya wanajeshi na makomandoo waliobobea katika ulinzi wa viongozi. Kikosi hiki hutumia mchanganyiko wa silaha ndogo na nzito kama AK103, PKM, Mashine Gun, FN MAG etc.

Pia hutumia drones maalumu kama Mohajer-2/4 zilizotengenezwa Iran ambazo zina kamera za infrared na vifaa vya usiku (night vision) na zina uwezo wa kuruka muda mrefu kufanya upelelezi (surveillance) na kutuma taarifa moja kwa moja Ikulu.

Pia hutumia drones kutoka China (ASN-206/Wing Loong), ambazo hutumika kukwepa au kuzuia mashambulizi ya makombora yanayolengwa kwa Rais.

Kikosi kina magari maalumu yasiyopitisha risasi, aina ya Chevrolet Suburban armored SUV kutoka Urusi (yapo 200) na VN-4 armored personnel carriers kutoka China (yapo 100). Kina Helikopta za kijeshi Mi-17 na Super Puma AS332 kwa ajili ya kumtorosha Rais kukiwa na dharura. Helcopter hizo hazipitishi risasi na zina kinga dhidi ya makombora.

Pia kikosi hicho kina Ndege 5 za kivita kutoka Urusi aina ya Sukhoi Su-30MK2 na ndege za 7 za doria kutoka Pakistan aina ya K-8 Karakorum jets, zenye uwezo wa kukimbia hadi 1,000 KPH (480 knots). Ndege hizo pia zina uwezo wa kufanya manuva ya aerobatic kama kupinduka juu chini (inverted flight), kuruka kwa duara, spins, rolls, na kupiga mbizi (dives).

Hii ilimfanya Maduro kuwa Rais mwenye ulinzi mkali na wa kisasa kuliko Marais wote America kusini na Caribbean. Lakini pamoja na yote hayo, Marekani aliposema "tunakuhitaji kituoni uje uandike maelezo" wametumia dakika 124 tu kumnyakua 😂. Halafu kuna watu wanafananisha Marekani na vitu vya kijinga.

Jiulize kama Maduro mwenye nguvu zote hizo, lakini Marekani imetumia masaa mawili tu kumnyakua, itashindwa kuingia Malawi hadi itume vijana wapite mpakani na mabomu ya machozi? Ndio maana kuna story ukisikia mtu mzima anaongea unaona anajidhalilisha tu. Bata, Wahed.!


View: https://www.facebook.com/share/v/17we8GoEqF/

Huo si unyakuo bali ugaidi at best. Ni unyokonyoko tu. Natamani ungetokea kwetu. Akachukuliwa bi nkubwa na bwana ake Njaa Kaya.
 
Na Malisa GJ

. Kikosi maalumu cha jeshi la Marekani (Delta Force), kimetumia dakika 124 tu (masaa mawili na dakika 4) kutua Ikulu ya Venezuela (Palacio de Miraflores) na kumnyakua Rais Nicolás Maduro pamoja na mke wake Cilia Flores Maduro.

Kumbuka Rais wa Venezuela analindwa na kikosi maalum kiitwacho "Guardia de Honor Presidencial" chenye mamia ya wanajeshi na makomandoo waliobobea katika ulinzi wa viongozi. Kikosi hiki hutumia mchanganyiko wa silaha ndogo na nzito kama AK103, PKM, Mashine Gun, FN MAG etc.

Pia hutumia drones maalumu kama Mohajer-2/4 zilizotengenezwa Iran ambazo zina kamera za infrared na vifaa vya usiku (night vision) na zina uwezo wa kuruka muda mrefu kufanya upelelezi (surveillance) na kutuma taarifa moja kwa moja Ikulu.

Pia hutumia drones kutoka China (ASN-206/Wing Loong), ambazo hutumika kukwepa au kuzuia mashambulizi ya makombora yanayolengwa kwa Rais.

Kikosi kina magari maalumu yasiyopitisha risasi, aina ya Chevrolet Suburban armored SUV kutoka Urusi (yapo 200) na VN-4 armored personnel carriers kutoka China (yapo 100). Kina Helikopta za kijeshi Mi-17 na Super Puma AS332 kwa ajili ya kumtorosha Rais kukiwa na dharura. Helcopter hizo hazipitishi risasi na zina kinga dhidi ya makombora.

Pia kikosi hicho kina Ndege 5 za kivita kutoka Urusi aina ya Sukhoi Su-30MK2 na ndege za 7 za doria kutoka Pakistan aina ya K-8 Karakorum jets, zenye uwezo wa kukimbia hadi 1,000 KPH (480 knots). Ndege hizo pia zina uwezo wa kufanya manuva ya aerobatic kama kupinduka juu chini (inverted flight), kuruka kwa duara, spins, rolls, na kupiga mbizi (dives).

Hii ilimfanya Maduro kuwa Rais mwenye ulinzi mkali na wa kisasa kuliko Marais wote America kusini na Caribbean. Lakini pamoja na yote hayo, Marekani aliposema "tunakuhitaji kituoni uje uandike maelezo" wametumia dakika 124 tu kumnyakua 😂. Halafu kuna watu wanafananisha Marekani na vitu vya kijinga.

Jiulize kama Maduro mwenye nguvu zote hizo, lakini Marekani imetumia masaa mawili tu kumnyakua, itashindwa kuingia Malawi hadi itume vijana wapite mpakani na mabomu ya machozi? Ndio maana kuna story ukisikia mtu mzima anaongea unaona anajidhalilisha tu. Bata, Wahed.!


View: https://www.facebook.com/share/v/17we8GoEqF/

Kumbuka, kikosi cha Samia The Killer kinajumuisha pia mashehe ubwabwa waliobobea katika kuendesha dua al badri. Hapo ndiyo mwisho wa maneno! Kama huamini, muambie Trump ajaribu akione cha moto!😂
 
Kumbuka, kikosi cha Samia The Killer kinajumuisha pia mashehe ubwabwa waliobobea katika kuendesha dua al badri. Hapo ndiyo mwisho wa maneno! Kama huamini, muambie Trump ajaribu akione cha moto!😂
Rachel Dangwa katajwa🤣
 
Na Malisa

Kikosi kina magari maalumu yasiyopitisha risasi, aina ya Chevrolet Suburban armored SUV kutoka Urusi (yapo 200) na VN-4 armored personnel carriers kutoka China (yapo 100). Kina Helikopta za kijeshi Mi-17 na Super Puma AS332 kwa ajili ya kumtorosha Rais kukiwa na dharura. Helcopter hizo hazipitishi risasi na zina kinga dhidi ya makombora.
Chevrolet Suburban ni magari ya Kimarekani yanayotengenezwa na General Motors.

Ni lini yamekuwa ni ya kutoka Urusi?
 
#PichaYaKwanza: Venezuela ni taifa huru, hatuwezi kuingiliwa wala kupangiwa mambo yetu ya ndani. Hao wanaosema tunakandamiza haki za binadamu na hatuna demokrasia, jiulize kwao hayatokei? Washughulike na mambo yao, wasituingilie. This is sovereign state na mimi ndiye Amiri Jeshi Mkuu.
FB_IMG_1767498700464.jpg


#PichaYaPili: Aisee wakuu kuna mtu ana fegi hapo anisaidie pafu mbili nipunguze mawazo.!
FB_IMG_1767498703965.jpg
 
#PichaYaKwanza: Venezuela ni taifa huru, hatuwezi kuingiliwa wala kupangiwa mambo yetu ya ndani. Hao wanaosema tunakandamiza haki za binadamu na hatuna demokrasia, jiulize kwao hayatokei? Washughulike na mambo yao, wasituingilie. This is sovereign state na mimi ndiye Amiri Jeshi Mkuu.View attachment 3524954

#PichaYaPili: Aisee wakuu kuna mtu ana fegi hapo anisaidie pafu mbili nipunguze mawazo.!View attachment 3524955
Huo unyakuo wa maduro una sababu kuu ni mafuta mengine yote ni porojo tu,huko malawi unakokutaja hayo mafuta hakuna,wala hawatakuja abadan
 
Back
Top Bottom