Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 2,217
- 4,276
ila yote kwa yote mchizi wangu remix ilikuwa bonge la ngoma
Chidi hakuuwa kwenye mchizi wangu sababu ananza na mistari ya kujisifu kwanza na sio kumuongela mchizi wake.Ila Chid aliua kwenye mchizi wangu
hata Adam Mchomvu aliendana na maana ya ngomaChidi hakuuwa kwenye mchizi wangu sababu ananza na mistari ya kujisifu kwanza na sio kumuongela mchizi wake.
Mskilize mule
Fid Q
FA
J moo
Lordeyez