Ukisikia chama kushika hatamu ni huku

Ukisikia chama kushika hatamu ni huku

Wewe msukule wangeshiriki vipi huku fomu walijaza vibaya?? Au mnasahau hizo kauli nyinyi vilaza??
kwani mkuu baada ya kumnyima nauli demu wako,kisha akasema haji halafu ukamwambia sawa usije.unakuwa umekosea wapi?

mimi ninavyofahamu,ilitakiwa wautangazie uma kwamba wamefanyiwa figisu,kisha tuende kwenye box la kura tukijua hivyo.

mambo ya kususa/kuzira zira ni dalili ya utoto.
 
Nimeshangaa wagombea wa upinzani pekee ndo hawajui majina ya maeneo yao mfano kata au jimbo
inawezekana kabisaa.

sifa ya kuwa mgombea upinzani,uwe unajua kubwabwaja,baaasi.
 
kwani mkuu baada ya kumnyima nauli demu wako,kisha akasema haji halafu ukamwambia sawa usije.unakuwa umekosea wapi?

mimi ninavyofahamu,ilitakiwa wautangazie uma kwamba wamefanyiwa figisu,kisha tuende kwenye box la kura tukijua hivyo.

mambo ya kususa/kuzira zira ni dalili ya utoto.
Kwenye uma wa watanzania nani asiyejua kuwa wapinzani wanafanyiwa figisu??Unaenda kwenye box la kura kufanya nini huku hamtaki ushindani??Au ndiyo mnataka kujeruhi,kutesa na kuua watanzania sababu ya kura?? Wameacha sasa muwafuate makwao ili muwashughulikie kwa kususa
 
Ndio hivyo
74421709_1156769881200374_272939815836581888_n.jpeg
 
Kwenye uma wa watanzania nani asiyejua kuwa wapinzani wanafanyiwa figisu??Unaenda kwenye box la kura kufanya nini huku hamtaki ushindani??Au ndiyo mnataka kujeruhi,kutesa na kuua watanzania sababu ya kura?? Wameacha sasa muwafuate makwao ili muwashughulikie kwa kususa
hayupo wa kuwafuata kwao.

na itakuwa ni uanaume kufanya kazi nyingine,sio kuendelea kuzungumzia ccm hivi ccm vile.mmejitoa basi inatosha sasa.acheni wakose wa kumfanyia uharamia.mkiendeleza kuwataja taja watawafanya vitu vibaya maana sio kazi.
 
hayupo wa kuwafuata kwao.

na itakuwa ni uanaume kufanya kazi nyingine,sio kuendelea kuzungumzia ccm hivi ccm vile.mmejitoa basi inatosha sasa.acheni wakose wa kumfanyia uharamia.mkiendeleza kuwataja taja watawafanya vitu vibaya maana sio kazi.
Mwehu wewe unajisifia kuwafanya watu vitu vibaya nani sasa anajali toka muanze kufanya mmeongezewa nini zaidi ya laana na vihoro na watu ndiyo wamejitoa sasa mnaangaika nini mara muyarudishe majina huku mmeyaengua
 
Nani kasusa wakati wagombea wameondolewa? Siasa inaelekea kuwa Sawa na dawa za kulevya, vijana hawana tena utimamu
 
Mwehu wewe unajisifia kuwafanya watu vitu vibaya nani sasa anajali toka muanze kufanya mmeongezewa nini zaidi ya laana na vihoro na watu ndiyo wamejitoa sasa mnaangaika nini mara muyarudishe majina huku mmeyaengua
mkuu mimi unaniparua bure,mwenyewe niko nashangaa kama tunaowategemea wameweka mpira kwapani halafu wanatuhubiria matumaini kwa njia ipi?
 
Back
Top Bottom