mimi sikubaliani na wanaosema wapinzani wamefanyiwa figisu.Sasa kwanini Unasema wamesusa huku tayari mlikuwa hamuwataki wagombee??
Wanaogopa kunyimwa misaadaCha msingi wafute mfumo wa vyama vingi warudishe chama kimoja maana inavyoonesha jamaa hawahitaji upinzani, wanataka wabaki wenyewe.
weekend naiharibu mimi au stress zako za kukosa hela ya pombe??Utakua na matatizo hauko sawa kwani huoni kweli tatizo liko wapi, mihemuko ya upinzani hapo iko wapi, hiv inaingia akirin uoinzani wote hawajui kujaza form alafu ccm wao ndo mabigwa, kama huna hoja unaweza nyamaza kuliko kutuharibia weekend
Na baada ya miaka hiyo Tanzania iwe kama Uingereza na donor country sio kuwe na vilio zaidi.Tunaimani na chama. Tunaimani na mwenye chama. Kwa mwenendo huu wa kususa mjiandae kisaikolojia. Mpaka uchaguzi ujao kule bungeni itaongeleka lugha moja.
Na kutetea madudu ya ccm ni dalili ya ushoga kama ulikuwa hujui mkuu.kususa ni michezo ya kitoto.
kwani umeumia au umekwazika??Na kutetea madudu ya ccm ni dalili ya ushoga kama ulikuwa hujui mkuu.
Nyie ndio walewale so hamtuumizi kichwa kuwafikiria,tumewaachia ushindi wa mezani point 3 muhimu bado mnalalamikawajitambue kwanza wao ni wapinzani wa kitu gani,sio kick kwa kila jambo.
siku hizi kama huna hoja ni vigumu kueleweka,siasa za mihemko hazina nafasi.
nani analalamika?Nyie ndio walewale so hamtuumizi kichwa kuwafikiria,tumewaachia ushindi wa mezani point 3 muhimu bado mnalalamika
Unashindanaje na mtu ambaye dalili zinaonesha kabisa kwamba anataka apite bila ushindani?nani analalamika?
kimsingi tunawashangaa,uko vitani halafu unasusa.
So tukusaidie nini sasa??mimi sikubaliani na wanaosema wapinzani wamefanyiwa figisu.
duh walimu wako darasani walipata shida sana kukuelekeza,, any way ipo hivi nanukuu HATUTASHIRIKI KWA SABABU WAGOMBEA WETU WAMEENGULIWA KWA HILAkumbe sasa hoja isiwe hatutashiriki uchaguzi.
bali washiriki wetu wameenguliwa.
SIO DONOR COUNTRY NI DONOUR KANTRENa baada ya miaka hiyo Tanzania iwe kama Uingereza na donor country sio kuwe na vilio zaidi.
endeleeni kususa.So tukusaidie nini sasa??
mkifanya hivi 2020 nitawaelewa sana.duh walimu wako darasani walipata shida sana kukuelekeza,, any way ipo hivi nanukuu HATUTASHIRIKI KWA SABABU WAGOMBEA WETU WAMEENGULIWA KWA HILA
Unanufaikaje wewe msukule wa CCM?endeleeni kususa.
mimi sinufaiki kama vile ambavyo nisingenufaika wapinzani kushiriki.Unanufaikaje wewe msukule wa CCM?
Hahahahahahahahahahaha....!!!![emoji30][emoji30][emoji30] View attachment 1258072
Wewe msukule wangeshiriki vipi huku fomu walijaza vibaya?? Au mnasahau hizo kauli nyinyi vilaza??mimi sinufaiki kama vile ambavyo nisingenufaika wapinzani kushiriki.
ila ni katika kuheshimu na kubariki maamuzi yenu,umemsikia waitara bungeni??