Ukisikia chama kushika hatamu ni huku

Ukisikia chama kushika hatamu ni huku

[emoji30][emoji30][emoji30]
Screenshot_20191108-222422-picsay.jpeg
 
wajitambue kwanza wao ni wapinzani wa kitu gani,sio kick kwa kila jambo.

siku hizi kama huna hoja ni vigumu kueleweka,siasa za mihemko hazina nafasi.
Wewe mzee kwa yanayofanywa na CCM dhidi ya wapinzani huyajui??
 
wajitambue kwanza wao ni wapinzani wa kitu gani,sio kick kwa kila jambo.

siku hizi kama huna hoja ni vigumu kueleweka,siasa za mihemko hazina nafasi.
Utakua na matatizo hauko sawa kwani huoni kweli tatizo liko wapi, mihemuko ya upinzani hapo iko wapi, hiv inaingia akirin uoinzani wote hawajui kujaza form alafu ccm wao ndo mabigwa, kama huna hoja unaweza nyamaza kuliko kutuharibia weekend
 
Mkuu hawa jamaa hawajielewi
Utakua na matatizo hauko sawa kwani huoni kweli tatizo liko wapi, mihemuko ya upinzani hapo iko wapi, hiv inaingia akirin uoinzani wote hawajui kujaza form alafu ccm wao ndo mabigwa, kama huna hoja unaweza nyamaza kuliko kutuharibia weekend
Mkuu hawa jamaa hawajielewi kabisa,na km wanajielewa basi wanajitoa ufahamu. Hivi wagombea wote wameondolewa,walitaka wakampgie kuta nani?
 
Back
Top Bottom