umemuonea mwalimu wetu,,hajaleta yanayo msibu kazin,,ila kaleta yanayo msibu huku mtaani na sie tuliopevushwa na wao ila saiv tunawananga๐๐๐พ, sasa ticha si umetuletea mwenyewe yanayokusibu huko kazini?
๐ ๐ kwahiyo anachotaka ni kusifiwa na kushukuriwa? Kwani huko kutupevusha na kutufundisha wanafanya bure? Au wanalipwa?umemuonea mwalimu wetu,,hajaleta yanayo msibu kazin,,ila kaleta yanayo msibu huku mtaani na sie tuliopevushwa na wao ila saiv tunawananga๐๐๐พ
Halafu Kikwete alivyo mtoto wa mjini alivyopata Urais tu waziri wa elimu akamteuwa mwalimu mwenzao Magreth Sitta alifanya nini?, sasa ticha si umetuletea mwenyewe yanayokusibu huko kazini?
Kwamba naishi vibaya na watu? Ni ukweli nikikwambia uthibitishe unaweza kuthibitisha?Never,ni ukweli tu nimeandika....Kama nawe upo sahihi ni vyema kwako pia
Sasa serikali ikuumize wewe uumize mwalimu...eti mnatumika na serikali....hii ajabu kweli...Boss anakulipa mshahara akuagize Kaz umgomee!?...sekta binafsi mwafanyishwa kazi mpaka nightkali lakini hamjawahi mgomea boss...Leo mwalimu mwalimu mwalimu..jamanSiyo na ccm, labda tupate serikali nyingine lakini siyo hawa manyang'au nasikia yamejiongezea yenyewe mshahara kwa 100%
Yule Kigagula wa Marekani ana ushahidi maafisa ubalozi waliopo Marekani na Canada wanalipwa million 30 kwa mwezi posho, na familia zao zinahudumiwa, halafu anatokea mwalimu wa UPE anajiona yeye ni muhimu serikalini, Chinekeee!
Oooh jaman mbona una hasira na mwalimu wetu humu jf leo๐คฃau kuna ticha keshawahi kubutua bila kosa enzi zako๐ ๐ kwahiyo anachotaka ni kusifiwa na kushukuriwa? Kwani huko kutupevusha na kutufundisha wanafanya bure? Au wanalipwa?
Hawezi kuyajibu ataishia kuniambia nisihangaike na yasiyonihusu๐ ๐ mara najiinua, anataka nijilaze labdaHalafu Kikwete alivyo mtoto wa mjini alivyopata Urais tu waziri wa elimu akamteuwa mwalimu mwenzao Magreth Sitta alifanya nini?
Waulize kitega uchumi cha mwalimu house pale pesa zinakwenda wapi? Na bank ya walimu faida zinakwenda wapi? Na kwa nini viongozi wa CWT wajilipe mishahara na posho kubwa kuwazidi maradufu wanaowaongoza ambao ni walimu?
Akikujibu maswali haya mpelekee mwanao amfundishe ujuwe huyo ni mwalimu kweli.
Kumbe wajua kwamba twalipwa,haya hiyo kupelekeshwa Mara kutumika imetoka wapi? Ushauri serikali watumie sekta ingine bas๐ ๐ kwahiyo anachotaka ni kusifiwa na kushukuriwa? Kwani huko kutupevusha na kutufundisha wanafanya bure? Au wanalipwa?
Hongera ya nini ticha?Sina la kuthibitisha Ila hongera Sana cute...yaan saana
Walimu wa Tanzania hususan wa shule za serikali mna kalba zifuatazo;Yupo sahihi,lakini kwanini asimwache huyo mwalimu ambaye kwake baada ya kumfundisha aeiou kageuka kilaza....si lazima umdharau mtu hata Kama wewe ni mbora mkuu
Mbona ndoa zenyewe hazina issue yoyote, msiwatamanishe watu vitu ambavyo vimeshapoteza hata maana.Una stress za kutoolewa tu wewe
Mbona ndoa zenyewe hazina issue yoyote, msiwatamanishe watu vitu ambavyo vimeshapoteza hata maana.
Yote nimekuelewa mkuu,lakini bado mwapeleka watoto kwa hao wasioweza jiongoza,je hamuoni kwamba nyie ndo wapumbavu?Walimu wa Tanzania hususan wa shule za serikali mna kalba zifuatazo;
1)Mna inferiority complex kubwa sana hiyo ndio imezalisha nidhamu ya uoga kiasi cha kunyenyekea hadi wasiopaswa kunyenyekewa,japo haistahili mtu kunyenyekewa.
2)Mna play victim too much,kiasi mnajidogosha kuonekana wenye shida ni ninyi na mnaoonewa sana kuliko wote ni ninyi.
3)Mambo mengi yanapozungumzwa kuhusu ninyi mnayachukulia kwa mawazo Hasi/negativity,mfano mkubwa ni wewe hapo madam.
Hizi kalba tatu zimewaletea tabu kiasi mmekua watu wa kuburuzwa sana aisee katika maisha in all aspects.
Angalau wenzenu wa English medium wamejitutumua kiasi chake.
Sasa hizo kalba za hapo juu ndizo zikazalisha mambo ambayo madam Kapeace ameyaelezea.
Pia ninyi ndio mfano kwa jamii nzima,ila imekua tofauti ninyi mkajisahau badala ya kuwa viongozi wa mfano mkawa nyumbu fuata mkumbo.
Ninyi ni sawa na viongozi wasioweza kujiongoza.
Ndo mtulizane mnafanya kazi mliyoomba kwa utashi wenu na mnalipwa, mwajiri wenu ambayo ni serikali ndo ina jukumu na nyie, pelekeni malamiko yenu hukoKumbe wajua kwamba twalipwa,haya hiyo kupelekeshwa Mara kutumika imetoka wapi? Ushauri serikali watumie sekta ingine bas
We mdada una kauli nyoofu duh!!kama hayatuhusu mada umeleta ya nini? Si ungetulizana ujilie mshahara wako, umeona sasa akili zenu zinavyofanya kazi km watoto wewe mwenyewe ukiwa mfano, yani mada umeileta kwa mayowe mengi ili muonewe huruma, nakupa uhalisia wa tabia zenu umeshageuka mtabiri nani kakwambia siishi vizuri na watu?
Msijibanze kwenye kutufundisha ili kuficha uhalisia wenu,