Sawa nilishaisoma inasema, kuna Majini mema na mabayaKaisome.
Sasa huyo Ibilisi wengine husema asili yake ni malaika na wengine asili yake ni jini,vyovyote iwavyo ila nijuavyo Ibilisi anakuja kuitwa shetani baada ya kuasi.Basi tumwite Ibilisi.
Ni kiumbe cha Mungu
Nadhani ni sifa tu ya kiumbe kiovu. Sina uhakika sana.Sasa huyo Ibilisi wengine husema asili yake ni malaika na wengine asili yake ni jini,vyovyote iwavyo ila nijuavyo Ibilisi anakuja kuitwa shetani baada ya kuasi.
Yani baada ya kufanya uovu ndipo akaitwa hivyo,sasa labda tuulizane hilo neno shetani lina maana gani.
Vizuri.Sawa nilishaisoma inasema, kuna Majini mema na mabaya
chief kuwa makini........utapimwa mkojoKuamini majini ni upumbavu... naskia ukitaka kua shekhe unapewa majini kadhaaa ni kweli?
Nasema kitu nilicho hadithiwa na watu wa msikiti fulani kua kuna mtu alikufa coz alikua kashapewa hao viumbe ili awe shehe akazingua. The end aka diechief kuwa makini........utapimwa mkojo
Kumbe umehadithiwa na kusikia tu mzee. Nikajua umehadithiwa kisha ukathibitisha hizi.Nasema kitu nilicho hadithiwa na watu wa msikiti fulani kua kuna mtu alikufa coz alikua kashapewa hao viumbe ili awe shehe akazingua. The end aka die
Sawa mpaka hapo tunaona hakuna kiumbe kilichoumbwa na asili ya uovu ambacho ni shetani,hivyo hata binaadamu akifanya maovu nae atakuwa na hiyo sifa kama ilivyomtokea Ibilisi.Nadhani ni sifa tu ya kiumbe kiovu. Sina uhakika sana.
Unapewa na nani sasa?Kuamini majini ni upumbavu... naskia ukitaka kua shekhe unapewa majini kadhaaa ni kweli?
InawezekanaSawa mpaka hapo tunaona hakuna kiumbe kilichoumbwa na asili ya uovu ambacho ni shetani,hivyo hata binaadamu akifanya maovu nae atakuwa na hiyo sifa kama ilivyomtokea Ibilisi.
Kwahiyo tukisema jini na shetani ni kitu kimoja basi pia tumuongeze na binaadamu maana nae hufanya maovu.
Umenena vyema ChiefSawa mpaka hapo tunaona hakuna kiumbe kilichoumbwa na asili ya uovu ambacho ni shetani,hivyo hata binaadamu akifanya maovu nae atakuwa na hiyo sifa kama ilivyomtokea Ibilisi.
Kwahiyo tukisema jini na shetani ni kitu kimoja basi pia tumuongeze na binaadamu maana nae hufanya maovu.