Mayai ya kichemsha nasikia huwa yanaleta mvurugano kabisa
plus ushuzi kwenye basi unaweza kupitiwa na usingizi kumbe huku
unatoa mashuzi ya kufa mtu
Kuepuka usumbufu wa kwenda kujisaidia unaposafiri pata huu mlo...!
mayai mawili tu ya kuchemsha na malta moja
mlo huu utakusaidia pia kama bajeti inabana kwakuwa hutaumwa njaa wala hutasikia kiu kwa zaidi ya masaa kumi
Mayai ya kichemsha nasikia huwa yanaleta mvurugano kabisa
plus ushuzi kwenye basi unaweza kupitiwa na usingizi kumbe huku
unatoa mashuzi ya kufa mtu
Kwani kujamba ni dhambi?
Kwani kujamba ni dhambi?
Sio dhambi ila pata picha unachia kitu kwenye Marcopolo full Kiyoyozi ? Duh!
Kifupi mimi huwa sili nakunywa mAji tu!, Ila ikibidi ni Nyama ya Kuchoma au Kukaanga tu.
Ila angalia unaweza ukala Mbwa au Kibudu.
kuna siku nikula mtindi then nikafakamia mahindi ya kuchoma. I will never forget that day, nilipata mateso ya hatari baada ya tumbo kujaa gesi
u think its funny ....hahahaaaaaaaaaaaaaa
u think its funny ....