jamani mbona hata mie nimempata mwenzangu humu tatizo hajiamini kabisa' cjui tatizo nn anaona kama namtania na tangu 2fahamiane sasa yapata 2 month ashakuja na kupaona kwangu sasa cjui hakuridhika na maisha yangu?coz hadi sasa nimempa ahadi ya kwenda kwao bt haeleweki then kuna vi2 vingi naona anaficha sana coz nahisi kama ana mtoto bt hajaniambia pamoja na kumwuliza nami nipeni msaada!.
Hivi Ashadii alijipiga naye life ban kama Husninyo? Angemfaa jackson kwa maushauri katika ishu yake.Ngoja wanajamvi wengine watakushauri vizuri tu.jamani mbona hata mie nimempata mwenzangu humu tatizo hajiamini kabisa' cjui tatizo nn anaona kama namtania na tangu 2fahamiane sasa yapata 2 month ashakuja na kupaona kwangu sasa cjui hakuridhika na maisha yangu?coz hadi sasa nimempa ahadi ya kwenda kwao bt haeleweki then kuna vi2 vingi naona anaficha sana coz nahisi kama ana mtoto bt hajaniambia pamoja na kumwuliza nami nipeni msaada!.
daah m2 mwenyewe nashindwa kumwelewa coz mala aje na tiketi ya ndege eti anafanya kazi zanzibar mala ooh nataka nisome chuo'bt yote kwa yote mimi nilipenda aje kuwa mama watoto pindi muda mwafaka ukifika sasa bado niko njia panda.mkuu endelea kumchunguza kwanza, ucjipeleke kwao ilhali hujajiridhisha...
nitamuita Paw