Ukipata hela yako kula

Ukipata hela yako kula

M45

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2015
Posts
1,461
Reaction score
2,320
Habari za muda huu wanadau wa JamiiAfrica? Juzi kati nilikutana na wazee wawili njiani,wakipeana ushauri wa jinsi ya kutumia hela anayoipata kwenye shughuli zake,kilichonishangaza ni pale mmoja wao alipoomba ushauri wa hela anazopata kila siku azifanyeje,Yule mzee wa pili alimjibu kwa kumwabia,ukipata hela yako kula,hakuna sababu ya kuweka hela wakati ukifariki tu, kikao cha kwanza wataanda kwanza bajeti ya chakula. Je hawa wazee walikuwa sahihi ama wana sababu zao nyingine?
 
Habari za muda huu wanadau wa JamiiAfrica? Juzi kati nilikutana na wazee wawili njiani,wakipeana ushauri wa jinsi ya kutumia hela anayoipata kwenye shughuli zake,kilichonishangaza ni pale mmoja wao alipoomba ushauri wa hela anazopata kila siku azifanyeje,Yule mzee wa pili alimjibu kwa kumwabia,ukipata hela yako kula,hakuna sababu ya kuweka hela wakati ukifariki tu, kikao cha kwanza wataanda kwanza bajeti ya chakula. Je hawa wazee walikuwa sahihi ama wana sababu zao nyingine?
Nilipokuwa preform 1 2002, ushauri kama huu nilikuwa naona kama uhuni. Ila kujipongeza jambo la muhimu sana. Mwili upewe pole.
 
Back
Top Bottom