🤣🤣Unataka sherehe, uza nyumba piga party wiki nzima. Chenji nenda kapange
Ukitaka kuoa, tusisumbuaneHuwa sichangii huo ujinga.. mke wako wewe utamu unaenda kupewa ww alaf nichange mimi kweli?
Wema ni akibaKwa wiki najikuta nimeunganishwa magroup kibao ya mchango wa harusi.
Wema ni akibaHuwa sichangii huo ujinga.. mke wako wewe utamu unaenda kupewa ww alaf nichange mimi kweli?
Kwa shekh nani utakuta huo udwanzi sie tunaoa kwa elfu ishirini mpk laki sometimes tunapewa mke bureeeeee tuWachungaji, mapadri na masheikh wakemee upuuzi huo, hizo harusi za bajeti kubwa ipo siku wachangiaji wataona maajabu, watachanga halafu bwana na bibi harusi wanaoana kimyakimya michango inageuzwa mtaji wa kufungua biashara maisha yaendelee
Hii ndio ndoa murua, waache wajipe stress,,ingekuwa nimebakiwa Dada mmoja ningekuunganisha bwashee.nimesubili siku ambayo nitampata demu atakaekubali kufunga ndoa ya 'kisunna' siku hiyo hiyo namaliza game....
Ha haaaaa mzee Buji nakupa Dada Kasie hapo uza nyumba unipe changuUnataka sherehe, uza nyumba piga party wiki nzima. Chenji nenda kapange
Yalishatokea sana hayo ndio mana bwana harusi haruhusiwi kushika pesa,wanaweka kamatiWachungaji, mapadri na masheikh wakemee upuuzi huo, hizo harusi za bajeti kubwa ipo siku wachangiaji wataona maajabu, watachanga halafu bwana na bibi harusi wanaoana kimyakimya michango inageuzwa mtaji wa kufungua biashara maisha yaendelee
Umenena ukweli mtupuHii tabia ya kupanga sherehe kwa kutegemea michango ya watu Ife mtakuja kununia watu bure[emoji2219][emoji2219]
Mtu unapanga sendoff ya milioni kumi wakati wewe mwenyewe huna hata uwezo wa kutoa milioni mbili, unapanga ndoa ya milioni 20 wakati wewe mwenyewe hata hela ya suti unategemea uchangiwe acheni huu ujinga.
Ukipanga shughuli angalia na mfuko wako acha mambo ya kuiga iga kisa umeona rafiki zako wamefanya sherehe ya kifahari. Ishi maisha Yako na sio kuigaiga ndio maana wengi wenu hamuoi/hamuolewi.
Unakaa na binti wa watu anakuambia anataka kwenye ndoa yake apande Range Rover wakati kwao uwani wamepaki ndala mbovu zilizotoboka, Shela unataka litoke Italy, Viatu vya Uturuki, Manukato ya Dubai, Suti ya Uingereza, wakati hata passport huna, umekazana kabisa mimi bila sherehe ya bajeti ya milioni 30 siolewi nyau wewe ungekuwa na misimamo hiyo si angekukuta na bikira yako.
Acheni kuwatesa vijana kihisia mnawalazimisha wafanye vitu vilivyo nje ya uwezo wao mwisho mnajikuta mnazalishwa na kuachwa. Sio kila unachokiona kwenye vipindi vya CHEREKO CHEREKO na Ndoa Yako na wewe uviige. Chukua Bwana/Bibi Yako nenda kwa Pastor/ Shehe/ Mfungisha ndoa ukiwa na mashahidi wako na watu wachache maliza shughuli. Unaalika watu 400 umekuwa serikali wewe kwamba umeitisha bunge?
Kadi unapanga mchango laki unaijua laki ni asilimia ngapi ya mshahara wa mtu?Ukipanga jambo lako hakikisha asilimia 60 kwenda juu unaitoa kwenye mfuko wako vinginevyo utakuja kulaumu watu bure.
Nimeandika hapa kuna mtu kapanga sendoff ya milioni kumi kabakiza vikao vitano na michango mpaka sasa kapata laki nane anaishia kulaumu watu na ndugu tu[emoji2219][emoji2219]
Mdogo wangu miaka 5 iliyopita alikuja na mtu wake akawaeleza wazaz anataka kuoa,swali likawa una kias gan? Akasema ana 2million wazee waka afiki,lqkn mimi nikatilia shaka mana namjua mdogo wangu ndo kwanza alikua ameanza kifanya kaz yenye mshahara mkubwa nikamuonya usikimbilie ndoa jipange kwanza utengeneze foundation kumbuken hapo alikua anaish kwenye nyumba aliyokua ka rent mwanamke. Utata ukaanza kwenye kupeleka mahari tumefika kule ukwen tuko na mshenga wakwe wakasema wanataka 5milion ile mshenga anataka kupambana nao dogo kainukw kasema haina shida ntatoa tuliingiwa na ubarid muda wakutoa pesa hana ikabid mzee wangu atoe 1million cash...kuondoa aibu,tukaanza vikao vya harus kila akiambiwa toa hela ya ile ahad yako ya 2milion anasema tusiwe na was was ebana mpaka mwisho wa vikao dogo hajatoa na hapo bajet ilikuw 22milion yan kesho ndoa michango 8milion ikabid mzee atoe akiba yake 5mil ikafika 13 yan dogo wala hana was was ndo kwanza anasema anataka benz kwakwel harus ilibid tukaifanyie msimbaz center crate za bia zilikua 8 tu ilikua ni aibu...Hii tabia ya kupanga sherehe kwa kutegemea michango ya watu Ife mtakuja kununia watu bure[emoji2219][emoji2219]
Mtu unapanga sendoff ya milioni kumi wakati wewe mwenyewe huna hata uwezo wa kutoa milioni mbili, unapanga ndoa ya milioni 20 wakati wewe mwenyewe hata hela ya suti unategemea uchangiwe acheni huu ujinga.
Ukipanga shughuli angalia na mfuko wako acha mambo ya kuiga iga kisa umeona rafiki zako wamefanya sherehe ya kifahari. Ishi maisha Yako na sio kuigaiga ndio maana wengi wenu hamuoi/hamuolewi.
Unakaa na binti wa watu anakuambia anataka kwenye ndoa yake apande Range Rover wakati kwao uwani wamepaki ndala mbovu zilizotoboka, Shela unataka litoke Italy, Viatu vya Uturuki, Manukato ya Dubai, Suti ya Uingereza, wakati hata passport huna, umekazana kabisa mimi bila sherehe ya bajeti ya milioni 30 siolewi nyau wewe ungekuwa na misimamo hiyo si angekukuta na bikira yako.
Acheni kuwatesa vijana kihisia mnawalazimisha wafanye vitu vilivyo nje ya uwezo wao mwisho mnajikuta mnazalishwa na kuachwa. Sio kila unachokiona kwenye vipindi vya CHEREKO CHEREKO na Ndoa Yako na wewe uviige. Chukua Bwana/Bibi Yako nenda kwa Pastor/ Shehe/ Mfungisha ndoa ukiwa na mashahidi wako na watu wachache maliza shughuli. Unaalika watu 400 umekuwa serikali wewe kwamba umeitisha bunge?
Kadi unapanga mchango laki unaijua laki ni asilimia ngapi ya mshahara wa mtu?Ukipanga jambo lako hakikisha asilimia 60 kwenda juu unaitoa kwenye mfuko wako vinginevyo utakuja kulaumu watu bure.
Nimeandika hapa kuna mtu kapanga sendoff ya milioni kumi kabakiza vikao vitano na michango mpaka sasa kapata laki nane anaishia kulaumu watu na ndugu tu[emoji2219][emoji2219]
Tatizo kuna Jina Moja Linaitwa KAMATI. utajua Hujui hawa watu hulazimisha Mambo sana Maana Wanapata Faida HukoMimi nachangia misiba tu, pia sitegemei kumchangisha mtu kwenye harusi yangu.
Hahaha Kwahiyo Zile Tuma Mchango wako kwenye Namba Hii . Halafu jina ni la Bwana Harusi [emoji546] huwa ni Namba Za Wana KamatiYalishatokea sana hayo ndio mana bwana harusi haruhusiwi kushika pesa,wanaweka kamati